Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Wenye macho ya rohoni, vipi huko jikoni hali ya temperature 🌡️🌡️🌡️ ikoje huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu. Dada etu Yoga katiririka tena toka alivyotiririka March?
Nakuaminia maana hata maembe uliandika aprili na May kitu kikaitika.Rest in peace Yoga
👏👏👏👏👏Mmoja ya waandishi wa huu uzi tayar bado kuna mmoja
April 14, 2023.Kwisha habar
Ushindwe na ulegee!!!Rest in peace
Mbona code kali sana MAELEZO tafadhali!!Code ni "MTI-KILLER"
Niliandika pia kuhusu TEC kutoa waraka mzito ila wenye Jf yao wakafuta kuna lingine linakuja tusubirNakuaminia maana hata maembe uliandika aprili na May kitu kikaitika.
Niifute kwa nn? Unajua siasa ndo maisha ya kila siku kama Kuna mchafuko lazima tuanze jihami kwa kuamisha fedha ua biashara zetu kwahio mkuu kuwa na amani sijauliza kwa ubayaFuta comment Yako[emoji120]
Watanzania wazalendo wa rasilimali na taifa kama wewe nawapenda na kuwa kubali sana, Mungu azidi kuwalindeni na kuwatunza zaidi na zaidi.Niliandika pia kuhusu TEC kutoa waraka mzito ila wenye Jf yao wakafuta kuna lingine linakuja tusubir
Mbona code kali sana MAELEZO tafadhali!!
Anahusikaje sasa!!?maana alishaenda Kwenye usingizi wa milele!!Code kali sana hii inahitaji maelezo kuifungua. Ila ukiisoma kama ilivyo ni jina la mtu hili mbona. Rev ambaye alishaondoka 2021 kwenye aksident ya gari alikuwa priest na politician
Hakuna mapinduzi ila kuna mtu atatema bungoMapinduzi tuyatarajie au
Wacha tuoneWatanzania wazalendo wa rasilimali na taifa kama wewe nawapenda na kuwa kubali sana, Mungu azidi kuwalindeni na kuwatunza zaidi na zaidi.
Wacha tuone
Kuna vikao vingi Sana vinaendelea hapa kurasini kuna kiongozi mmoja mkubwa wa serekali naona kashuka kwenye Alphard kaingilia mlango wa nyuma alafu kaja anaendesha mwenyewe mmmmm nimeshituka
Ili kukamilisha uzimaji wa wale walionzisha story ya yoga!!?Hakuna mapinduzi ila kuna mtu atatema bungo
Ahaaaa ahaaaaa, vikao na DP world?Wacha tuone
Kuna vikao vingi Sana vinaendelea hapa kurasini kuna kiongozi mmoja mkubwa wa serekali naona kashuka kwenye Alphard kaingilia mlango wa nyuma alafu kaja anaendesha mwenyewe mmmmm nimeshituka