It's not fair ila wao hawana kosa, waliomba wapewe gharama za kuendesha muungano, imeshindikana kwasababu Wizara zote za muungano, pia ni Wizara za Bara, hivyo hakuna demarcation ni gharama zipi za muungano na zile za bara!.
P
Hapana si kweli
Ikiwa hakuna demarcation ya gharama za Muungano na za Tanganyika mbona Wazanzibar wamepewa 21% ya ajira?
Iko wapi demarcation katika ajira?
Ikiwa hakuna demarcation mbona wanapewa 4.5% ya pato la Tanganyika ikiwemo kodi za watu , madini, Utalii, mifugo, kilimo n.k. ambazo si za Muungano? Iko wapi demarcation?
Ikiwa wanataka demarcation Mbarawa anatia saini mikataba ya bandari kwa lipi?
Katibu mkuu wa Mbarawa ni Mzanzibar, mbona hatuoni demarcation?
Ikiwa wanataka demarcation Shaka Hamdu anafanya nini Kilosa?
Ikiwa wanataka demarcarion mbona wanapewa ardhi bara ambalo si jambo la Muungano?
Ikiwa kuna demarcation wale Wabunge wa Zanzibar kwanin wanajadili mambo ya Tanganyika pale Dodoma ?
Ni hivi linapokuja suala la gharama za kuendesha Muungano Wazanziba ni wepesi wa kutafuta sababu za kipuuzi.
Kukiwa na mgao wapo ''front seat' namimi , nataka, nipewe n.k
Mkoa wa Simiyu, ambao ni mchanga sana una mchango mkubwa kuliko Zanzibar lakini tunatumia mapesa mengi sana Zanzibar kuliko Simiyu.
Kura ya maoni ni jibu, waulizwe kama wanataka Muungano, kama hawataki safari njema! hatuna cha kupoteza