Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Monday 25/12 /2025 saaa Tano asubuhi our new story will be out, so stay tune shuhuli inaanza
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

The last emperor

Introduction.

Now she knows who is her enemy,
now she knows who are the fake friends , the so called friends and enemies
Now she knows it's either her blood or his blood if she wants to be the emperor


She is outnumbered but she has all the numbers, and numbers don't lie, deep she see her self as a new emperor inspite Kuna ugumu kwenye kulifikia Hilo .......... But atleast she has the faith.

Baada ya kuwa shaken many times with the lord of rings......... She came to understand that sometimes it better to bow the master, act like a servant and learn to be the master as the time goes.

One thing she hate was......... she is the boss yaani publically known that she is the top notch of the company!
So why aambiwe what to do, and what not to do?? Where to go... and where not to go. Who to see and whom not to see??????? Aghhhhhhh..... Ilimkera Sana hiiii.

Tena with some guy (the lord of rings) a retired CEO, whom at first was her idol but now a smiling enemy.

It hurted her Very bad to the point she was fustrated! She had limited number of people to trust, sababu she came to realize that........, 98% of all the top main servant in the company ni paid agents wa the lord of the rings.

Movements zake zoote kwa sasa zinapaswa kufanya kwa uangalifu mkubwa with very high calculations. As she knows that she is being watched! She felt like she is in the dome. No freedom to access her powers. at a certain point she came to say enough is enough. She was done with that kind of life. She wanted to retire, lakini atawaambia nini watu??

The one guy whom she thought angemsaidia..... Was handled quietly and very smoothly! What happened ??

So she still remembered one of her guys back in Dubai aliyempa kazi yakufind a way to win against the lord of rings (previously named as born town) the guy is missing, but his ideas and all of his works still on her mind!

She kept on remembering that guy plan. And that plan was very strictly and directive to her....! kwamba ili kuwin the war against the lord of rings, she need to do the followings
[emoji117]she need to find her own new investors for the company or manipulate lord of rings investors to be on her side
[emoji117]Anatakiwa kusafisha the whole secret service in her company,
[emoji117]she need the support of all deep owners of the company and letter to form new deep owners
[emoji117]she needs to be famous among the customers
[emoji117]and last she needs team late CEO on her side(and this is very important)

And all this should be done without the lord of rings to know! It was Funny sababu the guy has all eyes and ears of the company. He knows everything and monitor everything in the company

Still the deja Vu hits her as last time when she started to implement the same plan, the lord of rings cought her. And boom,.....The plan was dead.

She remember last time the flash aliyopewa na the lord of rings yenye lot of her secrecy, personal secrets that alitoshiwa kuwa itakuwa spreaded public na kudamage her own reputation na mbaya zaidi ita demage company reputation kitu kitakacho pelekea awe forced kujiidhuru wadhfawake wa CEO and after that the plan was kumpoteza kabisa.

So she thought of that and abort the plan very fast ...............


So time goes, and there she accepted to lay low, and wants to win back the general master's trust. She wanted to clear the air, she wanted to be seen as a good servant and to make a statement that , what happened was a mistake and she has learned her lesson!

Behind the scene akaaanza upya................



CHAPTER ONE: EPISODE ONE

................

Yoga time hii nipo na sherekea Christmass hope kesho niki amka saa sita mchana nita kuta uzi uko ubaoni.
 
Wakuu ombi langu kwenu, huyu dada hatumlipi, Kwa nini tunatumia nguvu nyingi kumforce?
Tumpe uhuru tusimpe presha.
Nadhani ni huo muda aliouandika was 25/12/2025 ni sahihi!

Inaonekana hataki kuingilia operations zinapoendelea hadi zitakapokamilika!!

Muda alioweka ni baada ya uchaguzi 2025 kama ukiwepo huo uchaguzi!!kana ukiwepo!!

Kwanini!?

Kwasababu Harryson mwakyembe aliwahi seems tumeshuhudia chaguzi nyingi tangu uhuru kwa katiba iliyopo!!

Nadhani hakutakua na uchaguzi Kwa katiba hii na na wakilazimisha TU Mabaka nchi ni Yao!

Itabidi uchaguzi uhairishwe Ili katiba iandikwe kwanza!

Dola ilishatoa Baraka zote Kwa katiba kuandikwa tangu 2022 Kwa bandiko la Tumia akili!!

Mtego tulionao CCM ni kuingia kwenye uchaguzi kupitia katiba hii tutapoteza Dola Kwa mabakabaka Lisa watasema tumegoma kuandika katiba mpya ambayo ni matakwa ya wananchi!!!

Uchu was madaraka umefanya makada kuwa kipofu was kuuona mtego huu!

Subirini mtaona!na yule whistle blower kishaanza kuingiza Hilo la mabaka kushika hatam huko mitandaoni!!

Chama changu ccm mtego ni katiba sio tume huru ya uchaguzi!

Nimeandika!
 
Nadhani ni huo muda aliouandika was 25/12/2025 ni sahihi!

Inaonekana hataki kuingilia operations zinapoendelea hadi zitakapokamilika!!

Muda alioweka ni baada ya uchaguzi 2025 kama ukiwepo huo uchaguzi!!kana ukiwepo!!

Kwanini!?

Kwasababu Harryson mwakyembe aliwahi seems tumeshuhudia chaguzi nyingi tangu uhuru kwa katiba iliyopo!!

Nadhani hakutakua na uchaguzi Kwa katiba hii na na wakilazimisha TU Mabaka nchi ni Yao!

Itabidi uchaguzi uhairishwe Ili katiba iandikwe kwanza!

Dola ilishatoa Baraka zote Kwa katiba kuandikwa tangu 2022 Kwa bandiko la Tumia akili!!

Mtego tulionao CCM ni kuingia kwenye uchaguzi kupitia katiba hii tutapoteza Dola Kwa mabakabaka Lisa watasema tumegoma kuandika katiba mpya ambayo ni matakwa ya wananchi!!!

Uchu was madaraka umefanya makada kuwa kipofu was kuuona mtego huu!

Subirini mtaona!na yule whistle blower kishaanza kuingiza Hilo la mabaka kushika hatam huko mitandaoni!!

Chama changu ccm mtego ni katiba sio tume huru ya uchaguzi!

Nimeandika!
1. Tanzania inaonekana dipu siteti yao ni dhaifu sana,
Haina uzalendo kwa nchi ila kwa ajili ya maslahi yao tu.

2. Mabakamabaka kuchukua nyikani kwa tz haiwezekani,
Tizi na ccm wanandoa ya kudumu na tizi asilimia kubwa ni uvccm huko kwenye mabakamabaka kila Engle tizi wapo.

3. Kwa nini dipu siteti na mzee wa dokezo walikubali tuwe na top leader aina ya Eva?

4. Si wangeenda kinyume tu na kitabu?

5. Marekani, Urusi, China, Israel kwa umri wao hadi sasa kama taifa wa kuwa taifa huru wamewahi kuwa na rais au waziri mkuu Eva?

6. Kule Ngorogoro mzee wa dokezo alipewa cheo gani vile? Je haoni wamasai kilichowapata kule?
Haoni Waarabu wanavyolalamikiwa kule?
Kama mzee wa dokezo alishindwa kubadilisha chochote 2021 na huyo Mkunde kipi ambacho anaweza kufanya?
 
1. Tanzania inaonekana dipu siteti yao ni dhaifu sana,
Haina uzalendo kwa nchi ila kwa ajili ya maslahi yao tu.

2. Mabakamabaka kuchukua nyikani kwa tz haiwezekani,
Tizi na ccm wanandoa ya kudumu na tizi asilimia kubwa ni uvccm huko kwenye mabakamabaka kila Engle tizi wapo.

3. Kwa nini dipu siteti na mzee wa dokezo walikubali tuwe na top leader aina ya Eva?

4. Si wangeenda kinyume tu na kitabu?

5. Marekani, Urusi, China, Israel kwa umri wao hadi sasa kama taifa wa kuwa taifa huru wamewahi kuwa na rais au waziri mkuu Eva?

6. Kule Ngorogoro mzee wa dokezo alipewa cheo gani vile? Je haoni wamasai kilichowapata kule?
Haoni Waarabu wanavyolalamikiwa kule?
Kama mzee wa dokezo alishindwa kubadilisha chochote 2021 na huyo Mkunde kipi ambacho anaweza kufanya?
Mzee wa dokezo asingeweza kukataa uteuzi coz ingekua too toxic!Kuna tetesi kuwa alinusurika kwenda milele alipoletewa zawadi ya gari ikabidi msaidizi wake akawa mbuzi wa kafara!!

Kisa eti alipiga pin sana ishu ya drugs baharini na jamaa walipata hasara!!

Cheo hicho alipewa Ili ku monitor mvt zake!!

Eva alipewa Ili kuepusha minong'ono ya mapinduzi coz kampuni inaaminika Kwa usalama na amani isingekua na mantiki kufanya vile kisiwani wangejisikiaje!!?

Mabaka baka wanaweza coz ndani ya vitengo vyote kuna wazalendo ambao Wana lugha moja wengine wapo humo humo kwenye nembo hawafurahishwe mambo yalivyo hivi!!

Nembo pinzani ilikua turufu lakini imegawanyika Baada ya baadhi kulambishwa na kuahidiwa milambo ya kutosha hapo 2025!!

DS is there for real, operation zake ni za ki akili Ili wasiingilie katiba!!

Tusubiri!!
 
Mzee wa dokezo asingeweza kukataa uteuzi coz ingekua too toxic!Kuna tetesi kuwa alinusurika kwenda milele alipoletewa zawadi ya gari ikabidi msaidizi wake akawa mbuzi wa kafara!!

Kisa eti alipiga pin sana ishu ya drugs baharini na jamaa walipata hasara!!

Cheo hicho alipewa Ili ku monitor mvt zake!!

Eva alipewa Ili kuepusha minong'ono ya mapinduzi coz kampuni inaaminika Kwa usalama na amani isingekua na mantiki kufanya vile kisiwani wangejisikiaje!!?

Mabaka baka wanaweza coz ndani ya vitengo vyote kuna wazalendo ambao Wana lugha moja wengine wapo humo humo kwenye nembo hawafurahishwe mambo yalivyo hivi!!

Nembo pinzani ilikua turufu lakini imegawanyika Baada ya baadhi kulambishwa na kuahidiwa milambo ya kutosha hapo 2025!!

DS is there for real, operation zake ni za ki akili Ili wasiingilie katiba!!

Tusubiri!!
Sawa.
Though we are tired of waiting anyway!
 
Etsi sumus defessi exspectans usquam
Йога, вы именно имели в виду 11:00 в понедельник, 13 декабря 2023 года, или вы упомянули 2025 год как закодированную информацию?

"Yoga, vy imenno imeli v vidu 11:00 v ponedel'nik, 13 Dekabrya 2023 goda, ili vy upomyanuli 2025 god kak zakodirovannuyu informatsiyu?"
 
Mzee wa dokezo asingeweza kukataa uteuzi coz ingekua too toxic!Kuna tetesi kuwa alinusurika kwenda milele alipoletewa zawadi ya gari ikabidi msaidizi wake akawa mbuzi wa kafara!!

Kisa eti alipiga pin sana ishu ya drugs baharini na jamaa walipata hasara!!

Cheo hicho alipewa Ili ku monitor mvt zake!!

Eva alipewa Ili kuepusha minong'ono ya mapinduzi coz kampuni inaaminika Kwa usalama na amani isingekua na mantiki kufanya vile kisiwani wangejisikiaje!!?

Mabaka baka wanaweza coz ndani ya vitengo vyote kuna wazalendo ambao Wana lugha moja wengine wapo humo humo kwenye nembo hawafurahishwe mambo yalivyo hivi!!

Nembo pinzani ilikua turufu lakini imegawanyika Baada ya baadhi kulambishwa na kuahidiwa milambo ya kutosha hapo 2025!!

DS is there for real, operation zake ni za ki akili Ili wasiingilie katiba!!

Tusubiri!!
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI asante sana mkuu kwa torch yako gizani,
Ila Eva hana shukurani,
Naweza kukubaliana na Veronica France wa 2021,
Mzee wa Dokezo nasikia aliwakatalia team late ceo kuweka mtu wao, hivyo bila ya mzee wa dokezo Eva asingekaa pale kileleni,
Halafu anakuja mtu kutoa zawadi yenye nia ovu ndani yake, hana shukurani habebeki.
 
Back
Top Bottom