GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Members wa JF mnapenda stori za uongo na kweli, ili mradi muambiwe kuna Code imewekwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tuache wenyewe, 😂😂😂Members wa JF mnapenda stori za uongo na kweli, ili mradi muambiwe kuna Code imewekwa.
SUB kongweImepigwa pressing ya ajabu sana
Wakavuta sub ya zamaniiiii…
Trump mwenyewe sub kongweSUB kongwe
Bora wewe ulikimbia ukaokoa muda, wengine hatujakimbia na tumepoteza muda[emoji23][emoji23][emoji23]sijui kwann nilikimbia shule
Je Mzee Ally Hassan Mwinyi ni Mchawi?Wachawi wameshakufaaaaaa,ndio msemo wa kwanza utatrend 2025
😀😀😀Baada JK kuchomekewa ile pasi, naona katumia uzoefu sana. Kila akitaka kuchomoa anaona kama wajumbe hawatamuelewa.
Kapiga danadana weee, hatimae akaona isiwe taaabu. Pira kwa beki waanze upya.
Hakika hii account ni ya SamiaAm happy leo!! 😀
Hilo Book linafaa kuchambia chooni...Kaflag kaopen tax.
![]()
In ‘In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist,’ Tanzanian Journalist Eric Kabendera Revisits Magufuli’s Days, Exposing the Rots That Accompanied Them - The Chanzo
The author balances giving enough detail to substantiate his narrative and not too much to bog down the story with technical nitty-gritty in an overly academic way.thechanzo.com
Niliwahi hisi hivyo!lakini sidhani!Hakika hii account ni ya Samia
Umekirudisha katika chart mkuu.Hilo Book linafaa kuchambia chooni...
Atakuwa hana mwisho mwema... asifikiri yeye alikuja duniani kuwa mlinzi ipo siku atafukia kwa tani za mchanga na tutafanya sherehe maana itakuwa siku ya ukombozi kwa taifa hili...KJ ni baba wa mafisad na ufisadi papa Tanganyika,
Ni mchwa wa rasilimali za nchi za
Ni mroho, mbinafsi,
Muuaji ili tu apate anavyotaka yeye na timu yake haangalii maslahi mapana ya taifa,
Uwepo wake hauna tija kwa taifa, kifupi hana faida kwa taifa na ndio maana meno kuchonga aliliona hili akamkataa, wazee waliamua kwenda na huyu ni wazee wa ajabu sana,
Wanamsifu kwa upumbavu na uhuni aliofanya pale katikati.
mkuu hiyo code ya "meno kuchonga"aliliona hili akamkataa ndio nani huyo..na huyo KJ kwa maelezo yako ni anajifanya nchi na rasilimali zake kuwa mali yake binafsi hawa ndio wa kuondoshwa kwa maslahi ya taifa maana watu namna hii ni kikwazo kwa nchi kusonga mbele na badala system inamlinda..huku inahangaika na vyama na viongozi wa upinzani wasio na la maanaKJ ni baba wa mafisad na ufisadi papa Tanganyika,
Ni mchwa wa rasilimali za nchi za
Ni mroho, mbinafsi,
Muuaji ili tu apate anavyotaka yeye na timu yake haangalii maslahi mapana ya taifa,
Uwepo wake hauna tija kwa taifa, kifupi hana faida kwa taifa na ndio maana meno kuchonga aliliona hili akamkataa, wazee waliamua kwenda na huyu ni wazee wa ajabu sana,
Wanamsifu kwa upumbavu na uhuni aliofanya pale katikati.
kj =msogamkuu hiyo code ya "meno kuchonga"aliliona hili akamkataa ndio nani huyo..na huyo KJ kwa maelezo yako ni anajifanya nchi na rasilimali zake kuwa mali yake binafsi hawa ndio wa kuondoshwa kwa maslahi ya taifa maana watu namna hii ni kikwazo kwa nchi kusonga mbele na badala system inamlinda..huku inahangaika na vyama na viongozi wa upinzani wasio na la maana
Hakika kabisa hafai, nchi ili isonge mbele hadi aondoshwe kwa nguvu huyu na matawi yakemkuu hiyo code ya "meno kuchonga"aliliona hili akamkataa ndio nani huyo..na huyo KJ kwa maelezo yako ni anajifanya nchi na rasilimali zake kuwa mali yake binafsi hawa ndio wa kuondoshwa kwa maslahi ya taifa maana watu namna hii ni kikwazo kwa nchi kusonga mbele na badala system inamlinda..huku inahangaika na vyama na viongozi wa upinzani wasio na la maana
Labda nitangulie mie kufa, ila akinitangulia naenda kula Buffer ZanzibarAtakuwa hana mwisho mwema... asifikiri yeye alikuja duniani kuwa mlinzi ipo siku atafukia kwa tani za mchanga na tutafanya sherehe maana itakuwa siku ya ukombozi kwa taifa hili...