Hubble Telescope
JF-Expert Member
- Jan 30, 2025
- 426
- 527
CEO amemaliza kuhutubia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jino kwa jino.....Eti members wa JF. Je wewe hapo sasa hivi unachat kupitia social media ipi?
Pia unasema wanapenda stori za uongo wakati ID yako hapo juu ni ya uongo
Sio kuwa hakutarajia...ujue mizimu sio story ni mambo yapo...😂😂😂 Karma Huwa Ina kawaida ya kukudhihirisha. LiveeeeWakati anatamka lile neno wachawi wameshakufa... Body language na tone ilibadilika ghafla... Lakini aliweza kuirudisha... Hakutarajia kulitamka lile neno
Utekaji utekaji utekaji.
🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿
Je hili taifa halina wazee wastaafu?
Je wanachukizwa na utekaji unaoendelea?
Je hili taifa halina baraza la usalama wa taifa?
Wamemshauri nini rais wa nchi juu ya watu kutekwa, kupotezwa badala ya vyombo vya kisheria kutumika ikiwa wanaotekwa wana makosa?
Je Mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa analichukuliaje hili swala na Wamemshauri nini rais?
Je rais Samia kwa kiasi gani
anachukizwa kwa watu kutekwa?
Amechukua hatua zipi?
Je amewahi kuwakemea, kuwapa onyo watekaji?
Kikwete, Joseph Warioba, Steve Wassira, Davis Mwanyange, Mabeyo nk nk wako kimya je wako upande upi?
Wa wanaotekwa au wetekaji?
Liko wapi jeshi la Jwtz?
Uko wapi uzalendo wenu?
Polisi wameshindwa kuwalinda raia, wanasiasa nao ndio hawa mko wapi?
Wazee mnapokaa kimya huku vijana mliowarithisha vijiti vya uongozi taifa linabomoka Mungu atuepushe mwisho wa siku kuwa km Congo.
karibu...Hamna Ana Jonia...
Yupo jikoni anapika mavitusyoga mbona kimya? Ulitekwa au ulilambishwa asali au ulishaunga mkono juhudi?
Mwaga upupu watu wajikune.Wazee mzigo wote wa s1 nimeukusanya kwa wale wageni na wanaopenda kurudia kusoma mzigo naudondosha hapa hapa
Nimeshaudondosha mkuu angalia hapo juu kuna pdf🚶♂️Mwaga upupu watu wajikune.
Picha la kutisha sana.Nimeshaudondosha mkuu angalia hapo juu kuna pdf🚶♂️
Yeaah mkuuPicha la kutisha sana.
Mkuu page zingine ziliondolew na uongozi wa jf nadhan lakin page za mwisho sikuziwekaKama una page zingine, tupe. Ubarikiwe sana
🙏🙏🙏Mkuu page zingine ziliondolew na uongozi wa jf nadhan lakin page za mwisho sikuziweka