technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
... utakachoona ni kiinimacho tu, maana zitakazobadilika ni rangi tuu!Moja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
Nami leo nimeota jambo zitoDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Moja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
Sina tumaini lolote na nchi hii iliyo jaa malofaDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Mzee wangu Wasira atalia sana mwaka huuCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.