Nataka kuona haya mambo yakitokea mwaka huu!CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kuona haya mambo yakitokea mwaka huu!CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
HALIMPATI MWEWE.Dua la kuku 🐼
Eeh Mungu bariki maneno ya Uzi huu na yakatimieDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
How are your predictionsDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Uzi tayari !Dark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
😳🙄⏰👨💻 !Moja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
pole sanaMoja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
Haitatokea mwamba,kila liccm limoja lina mbinu moja ya kuiba kura sasa fikiria maccm 1M yana mbinu ngapiMoja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
Tuombe uzima tu panga moja mbuyu chini.Nataka kuona haya mambo yakitokea mwaka huu!
Haswa ni mpango wa Mungu kilio cha Watanganyika kimefika mbinguniYakitimia utakuwa lazima ni mpango wa MUNGU dhidi ya hawa miungu watu.
Mkuu nakubaliana na wewe, na ni mkakati mzuri ila Mkuu kwa nini nguvu kubwa hutumika kiasi cha kuingiza kura feki wakati wa uchaguzi.Hii ni idadi ndani ya data base yetu wana CCM, Hawa wote ni wanachama hai wa kimkakati, sio bendera fuata upepo, ogopa sana wanachama hai wa kimkakati, sasa bado kila mmoja amshawishi mtu mmoja tu kuipigia CCM, - HAYA MAMBO NI HESABU MKUU SIYO MAMBO YA BAHATI NASIBU
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadiDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Baada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapakazi.. Huyu atatawala kwa kipindi kifupi.. Kisha atakuja rais mwanamke.. Huyu ndiye atakayekabidhi......💪🏿CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Wanachama 12m au imegawa kadi 12m?-SAFETY FIRST, WORRYOUT -
CCM Ina wanachama 12.5 ml.
Sina shaka!
yatavurugana yenyewe kwa yenyewe soon!Bado sana. Binafsi bado sijaona wa kuwaliza hawa mabwana wakubwa
Karatasi jeupe la Siri 2025Dark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!