Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua la kuku halimpati mweweDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Mkuu technically, umeona ishara ipi hadi uamue kubashiri hivyo?Dark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Wengine mnatumia njia ipi kuona ya kesho na keshokutwa?Kutakuwa na Tanzia au kwikwi tu!
Ngoja nikavute GANJA kwanza ntarudi.
Broo Mshana Jr huko kwenye madhabahu yako ukiutamaza wakati ujao kuelekea October kwenye eneo la siasa na utawala Tanzania Broo waona nini?Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu Baba Ibariki Tanganyika na watu wake wa asili📌🔨
Ujue sielewi, ujue nani changanya,Karatasi jeupe la Siri 2025
Dark days before 2025
SSH hagombei
SSH hamalizi miaka 3
CCM kutachimbika
Yule ni Mzanzibar Hawezi Kugombea Bara
Chama kitamfia
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
Huwezi elewa maana una low IQ.Ujue sielewi, ujue nani changanya,
Hagombei kivipi wakati tayari Mwalimu wake kasha pitisha agombee Tanganyika na Mwinyi naye aendelee Zanzibar, halafu ww unasema hagombei kivipi?
Itakuwaje kuwaje?
Thread zako huwa ni 90% correctDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Mfano ipi?Thread zako huwa ni 90% correct
Kuna kitu cha kuwa nacho makini sana ogopa mtu anayeonyesha hana tatizo wakt unajua kabisa kunatatizo jua huyonmtu ni mtu makini anasubiri wkt ufike tu na wakati wenyewe anakuacha mpaka uamini umemuweza kwa kila kitu sasa wakt unafuraha kama zote hapo ndio unakuwa wkt wake anakuletea jambo la kawaida unabaki unacheka na kumkubalia kumbe ndio anakumaliza hapo hapo inabaki historiaDark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!
Tutakuwepo!!Dark days are coming before the general election 2025.
Wanaocheka watalia 2025
Wanaolia watacheka 2025
Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi
Mwaka mgumu Sana kwa machawa.
Mungu ibariki Tanzania !!