Pre GE2025 Dark days are coming before the election of 2025

Pre GE2025 Dark days are coming before the election of 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dark days are coming before the general election 2025.

Wanaocheka watalia 2025

Wanaolia watacheka 2025

Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi

Mwaka mgumu Sana kwa machawa.

Mungu ibariki Tanzania !!
SUbiri kwanza nichekeeee....hahahahahahhaha
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Nani anaye weza kusimamisha wabunge nchi zima?
CCM pekee.
Suali tuseme Lissu au yeyote kashinda Uraisi lakini Bunge lote ni CCM, Hii inakuaje?
Lissu na watuwake hebu atoke mtu anipangie baraza la mawaziri kutoka CHADEMA.

Pia kauli ya Lissu na reform no election maana yake nini Fujo?
Reform zitafanyika lakini si kwa uchaguzi huu. Ata fanya fujo atatumia nguvu. Dola ina msubiri
 
Umehesabu mpaka wanafunzi wa shule ya msingi na sec ambao wapo chini ya miaka 18
Hii ni idadi ndani ya data base yetu wana CCM, Hawa wote ni wanachama hai wa kimkakati, sio bendera fuata upepo, ogopa sana wanachama hai wa kimkakati, sasa bado kila mmoja amshawishi mtu mmoja tu kuipigia CCM, - HAYA MAMBO NI HESABU MKUU SIYO MAMBO YA BAHATI NASIBU
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Nyoooka mkuu!

Kwani hiyo energy summit ndio play ground ya dirty arts za no reform no election!!?

Pigo pekee mnalomaanisha ni RIP TU coz hatuna instruments za kisheria za ku check na kubalance madaraka ya namba moja au !!?
 
Back
Top Bottom