Pre GE2025 Dark days are coming before the election of 2025

Pre GE2025 Dark days are coming before the election of 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dark days are coming before the general election 2025.

Wanaocheka watalia 2025

Wanaolia watacheka 2025

Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi

Mwaka mgumu Sana kwa machawa.

Mungu ibariki Tanzania !!
Eeh Mungu bariki maneno ya Uzi huu na yakatimie
 
Dark days are coming before the general election 2025.

Wanaocheka watalia 2025

Wanaolia watacheka 2025

Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi

Mwaka mgumu Sana kwa machawa.

Mungu ibariki Tanzania !!
How are your predictions
 
Moja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
😳🙄⏰👨‍💻 !
Ndivyo Siasa zilivyo !
Muda utaongea !!
 
Moja kati ya maombi yangu kwa Mwenyeenzi Mungu ni kuniacha niendelea kuishi mpaka siku ccm inakuwa chama cha upinzani.. Yaani ni shuhudie kwa macho yangu na nisikie kwa masikio yangu.
Haitatokea mwamba,kila liccm limoja lina mbinu moja ya kuiba kura sasa fikiria maccm 1M yana mbinu ngapi
 
Hii ni idadi ndani ya data base yetu wana CCM, Hawa wote ni wanachama hai wa kimkakati, sio bendera fuata upepo, ogopa sana wanachama hai wa kimkakati, sasa bado kila mmoja amshawishi mtu mmoja tu kuipigia CCM, - HAYA MAMBO NI HESABU MKUU SIYO MAMBO YA BAHATI NASIBU
Mkuu nakubaliana na wewe, na ni mkakati mzuri ila Mkuu kwa nini nguvu kubwa hutumika kiasi cha kuingiza kura feki wakati wa uchaguzi.

Mkuu hizi kura za wanachama milioni 12.5 huendaga wapi wakati wa uchaguzi???

Kwa nini polisi hutumika kuvuruga uchaguzi??

Mkuu ni kwa nini wasimamizi huwazuia mawakala wa upinzani kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi??

Ni kwa nini mwenyekiti wa CCM hataki kuwepo wagombea shindani na mchakato huru ndani ya chama??
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
Baada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapakazi.. Huyu atatawala kwa kipindi kifupi.. Kisha atakuja rais mwanamke.. Huyu ndiye atakayekabidhi......💪🏿
 
Dark days are coming before the general election 2025.

Wanaocheka watalia 2025

Wanaolia watacheka 2025

Mwaka mbaya Sana kwa mafisadi

Mwaka mgumu Sana kwa machawa.

Mungu ibariki Tanzania !!
Karatasi jeupe la Siri 2025

Dark days before 2025

SSH hagombei

SSH hamalizi miaka 3

CCM kutachimbika

Yule ni Mzanzibar Hawezi Kugombea Bara

Chama kitamfia

🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom