Darsa lahitajika.


Ahsante wifi, ila utamsaidia kulea hadi lini sasa!!!!!!
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi
Ahsante wifi, ila utamsaidia kulea hadi lini sasa!!!!!!
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi

umeona ee? Disco lakutumia simu ya kichina.
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi

mmmh nna kazi jana tulikuwa villa full kucheza makolokocho!!!!!!!!!
 

Huu ushauri siyo sawa. Kama Baba V akianza tena kuwapa mafunzo vijana wake, uhuru wake utaingiliwa katika kufanya maamuzi katika kamati. Na kwanza atajifunzaje wakati tayari kitanda chake ni 8/10? Ningependa huyo Evelyn Salt aje kwangu kwa study tour! Wote mnajua sina bias. Nitamfunza vyema jinsi ya kulala na mambo mengine ikiwemo kuhakiki ubora wa hiyo salt
 
Last edited by a moderator:

he he he kitanda chako size gani!!!!!
salt ishahakikiwa ina muhuli wa tbs tayari....
 
mbona ndio kizuri hicho maana ukigeuka unaye ila chunga sana uzazi wa mpago
 
wewe ingia mambo yote utayakuta hukuhuku ni zaidai ya kitanda cha banco!
 
Mwanaume utalaliaje godoro?mwanaume lala chini?
Kuna wengine kipimo cha uanaume kwao ni idadi ya magereza waliyokwisha fungwa, wengine idadi ya wanawake waliowagegeda... Lakini mimi uanaume wangu naupima kwa uwezo wangu wa kutosheleza makochokocho yanaohitajika na familia yangu... Yaani mtoto akisema baba kuku, basi huyu hapa, mke akisema dadii kitimoto, hiki hapa.... hata akisem prado hili hapa.... Kulala chini ni kwamba umeshindwa kununua kila kinachohitajika ili ulale vizuri na salama, sasa ukishindwa huo si uanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…