Darsa lahitajika.

Darsa lahitajika.

Wifi achana nae huyu. Mawifi zako tumekununulia full bedroom furnitures za haja. Kuanzia kitanda, dressing table, carpet, bedsheets na mazagazaga hadi net za bush! Ukimkimbia huyu kaka yangu atadoda aisee. Kama kuna shida yoyote talk to me (hata kama anahitaji dawa za kichina, i will pay)

Ahsante wifi, ila utamsaidia kulea hadi lini sasa!!!!!!
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi
Ahsante wifi, ila utamsaidia kulea hadi lini sasa!!!!!!
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi

umeona ee? Disco lakutumia simu ya kichina.
 
Hadi utakapoweza kutake over malezi haya. Chonde usimuache kaka yetu, lol. Tena tumefurahi kapata mtoto wa mjini amchangamshe. Umpelekege na disco vumbi basi

mmmh nna kazi jana tulikuwa villa full kucheza makolokocho!!!!!!!!!
 
Kweli kijana, mimi mwenyewe ilinipa shida sana hasa kuhusu kitanda na kubanana, ndio maana baadae nikachonga kitanda cha 8 kwa 10, Kwa sasa najiachia kwa raha zangu, afu ujue kulala mnagusanagusana is unhygienic, mnaweza mkaambukizana magonjwa mtambuka, nakushauri kwa kipindi hiki mlete Evelyn Salt kwa mwenyekiti ili ajifunze funze then baada ya miezi mitatu atarudi kwako, afu anaweza rudi na mimba kabisa ikawa faida marambili. Free advice, you better take it, afterall you have nothing to lose

Huu ushauri siyo sawa. Kama Baba V akianza tena kuwapa mafunzo vijana wake, uhuru wake utaingiliwa katika kufanya maamuzi katika kamati. Na kwanza atajifunzaje wakati tayari kitanda chake ni 8/10? Ningependa huyo Evelyn Salt aje kwangu kwa study tour! Wote mnajua sina bias. Nitamfunza vyema jinsi ya kulala na mambo mengine ikiwemo kuhakiki ubora wa hiyo salt
 
Last edited by a moderator:
Huu ushauri siyo sawa. Kama Baba V akianza tena kuwapa mafunzo vijana wake, uhuru wake utaingiliwa katika kufanya maamuzi katika kamati. Na kwanza atajifunzaje wakati tayari kitanda chake ni 8/10? Ningependa huyo Evelyn Salt aje kwangu kwa study tour! Wote mnajua sina bias. Nitamfunza vyema jinsi ya kulala na mambo mengine ikiwemo kuhakiki ubora wa hiyo salt

he he he kitanda chako size gani!!!!!
salt ishahakikiwa ina muhuli wa tbs tayari....
 
mbona ndio kizuri hicho maana ukigeuka unaye ila chunga sana uzazi wa mpago
 
wewe ingia mambo yote utayakuta hukuhuku ni zaidai ya kitanda cha banco!
 
Mwanaume utalaliaje godoro?mwanaume lala chini?
Kuna wengine kipimo cha uanaume kwao ni idadi ya magereza waliyokwisha fungwa, wengine idadi ya wanawake waliowagegeda... Lakini mimi uanaume wangu naupima kwa uwezo wangu wa kutosheleza makochokocho yanaohitajika na familia yangu... Yaani mtoto akisema baba kuku, basi huyu hapa, mke akisema dadii kitimoto, hiki hapa.... hata akisem prado hili hapa.... Kulala chini ni kwamba umeshindwa kununua kila kinachohitajika ili ulale vizuri na salama, sasa ukishindwa huo si uanaume
 
Back
Top Bottom