Darsa lahitajika.

mmmh nna kazi jana tulikuwa villa full kucheza makolokocho!!!!!!!!!

villa park sitaki unipeleke tena! Wale wadada tuliowaona pale nje ya club walikuwa wanatafuta nini?
 

kwani hapa kakosa kitu gani?
 
Aitwe natasha slave wakati anaehudumia ni wifi angu King'ast
huduma zikiendelea kutoka kwa wifi nitatumia jina lake!!!!!!

sasa yeye si anatoa matumizi tu ila mambo mengine yote namaliza mimi?
 
sasa yeye si anatoa matumizi tu ila mambo mengine yote namaliza mimi?

Afu namuomba Baba V kiapo cha ndoa kibadilishwe!!!!!
Kuna maneno yanahitaji marekebisho
"Hadi kifo kitutenganishe" "nitakuwa nawe kwa shida na raha" sidhani kama nitatimiza mie!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Afu namuomba Baba V kiapo cha ndoa kibadilishwe!!!!!
Kuna maneno yanahitaji marekebisho
"Hadi kifo kitutenganishe" "nitakuwa nawe kwa shida na raha" sidhani kama nitatimiza mie!!!!!

katiba haiwezi kubadilishwa haraka hivi.labda utoe sababu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…