Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
my waifu ukiona mamndenyi kaingia hapa jua na Vin Diesel yupo karibu kuingia kuwa makini.
Vin Diesel kahamia kwa Madame B.
Vin Diesel kahamia kwa Madame B.
Umekosea, pa kupita eeh!
unauliza jibu.
Ndo maana sikutaka kusubiri hadi ndoa nimelazimishwa tu!!!
ningekuwa nimekuja kwako si ningejua saizi ya hako kakitanda, baby usiniharibie siku naomba uende Furnishers ukanunue kitanda na godoro, la sivo huko hanimoon sitaondoka!!!
au kama mwenyekiti Baba V alivosema, nitalala kwake hadi ununue kingine.......
hapa hapa ndo njia!!!!!!
Ndo maana sikutaka kusubiri hadi ndoa nimelazimishwa tu!!!
ningekuwa nimekuja kwako si ningejua saizi ya hako kakitanda, baby usiniharibie siku naomba uende Furnishers ukanunue kitanda na godoro, la sivo huko hanimoon sitaondoka!!!
au kama mwenyekiti Baba V alivosema, nitalala kwake hadi ununue kingine.......
kwahiyo wewe upo singo? Mie nahitaji mathna.
Mbona siku ile hujatokea?
Umenena kwa busara, hakuna sababu ya kubanana banana na ujana huo
kwanini dia tusibadili usafiri?
Wifi achana nae huyu. Mawifi zako tumekununulia full bedroom furnitures za haja. Kuanzia kitanda, dressing table, carpet, bedsheets na mazagazaga hadi net za bush! Ukimkimbia huyu kaka yangu atadoda aisee. Kama kuna shida yoyote talk to me (hata kama anahitaji dawa za kichina, i will pay)