Darsa lahitajika.

Darsa lahitajika.

Wifi achana nae huyu. Mawifi zako tumekununulia full bedroom furnitures za haja. Kuanzia kitanda, dressing table, carpet, bedsheets na mazagazaga hadi net za bush! Ukimkimbia huyu kaka yangu atadoda aisee. Kama kuna shida yoyote talk to me (hata kama anahitaji dawa za kichina, i will pay)
Ndo maana sikutaka kusubiri hadi ndoa nimelazimishwa tu!!!
ningekuwa nimekuja kwako si ningejua saizi ya hako kakitanda, baby usiniharibie siku naomba uende Furnishers ukanunue kitanda na godoro, la sivo huko hanimoon sitaondoka!!!
au kama mwenyekiti Baba V alivosema, nitalala kwake hadi ununue kingine.......
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana sikutaka kusubiri hadi ndoa nimelazimishwa tu!!!
ningekuwa nimekuja kwako si ningejua saizi ya hako kakitanda, baby usiniharibie siku naomba uende Furnishers ukanunue kitanda na godoro, la sivo huko hanimoon sitaondoka!!!
au kama mwenyekiti Baba V alivosema, nitalala kwake hadi ununue kingine.......

Umenena kwa busara, hakuna sababu ya kubanana banana na ujana huo
 
Last edited by a moderator:
Wifi achana nae huyu. Mawifi zako tumekununulia full bedroom furnitures za haja. Kuanzia kitanda, dressing table, carpet, bedsheets na mazagazaga hadi net za bush! Ukimkimbia huyu kaka yangu atadoda aisee. Kama kuna shida yoyote talk to me (hata kama anahitaji dawa za kichina, i will pay)

asante dada,unajua hapa kuna watu wanataka kuniharibia,wanasema eti ukoo wetu masikini.
 
Back
Top Bottom