Data: Bei za mafuta DRC, Burundi, Rwanda, Zambia ziko chini

Data: Bei za mafuta DRC, Burundi, Rwanda, Zambia ziko chini

Unajua maana ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima? Mshahara ni matumizi yasiyo ya lazima? Unajua unachoongea Boss au unaleta ubishi wa mshipa?
Kwako wewe matumizi yasiyo ya lazima ni yepi?? Maana unazungumza vitu vidogo na wala havina ishu yoyote
 
Kwako wewe matumizi yasiyo ya lazima ni yepi?? Maana unazungumza vitu vidogo na wala havina ishu yoyote

Mfano msafara wa rais, waziri mkuu wa magari kibao ya nini? Kiongozi yuko hapa mjini anatumia VXR ya nini? Bunge linajadili kipi ambacho watapinga kutoka mapendekezo ya serikali?
 
Nahisi huyu CARDLESS ni makamba anapambana Sana kutetea ujinga mfano wa Zanzibar eti anasema Zanzibar ni nchi kamili kweli? Ina maana Leo kwenye mafuta Zanzibar sio Tanzania? Lakini pia hiyo bajeti tunayochangia hahusu Zanzibar? Kwa maana hata wabunge wa Zanzibar wamo Dodoma wanafanya nini kama Zanzibar ni nchi? Huyu jamaa amechanganyikiwa haelewi anatetea nini
 
Mkuu hongera kwa kuonyesha hii kitu...yaani hizo cost...zote mwananch ndy anapambana nazo...kodi nyingi hapo hazna miguu wala nini. Mwanasiasa akikuwambia anakuhurumia nawee ukakubali ujue umelala ubongo mpaka aibu..wale wa bunge mule hakuna hata moja mwenye kugusa hili.hayo makodi wakiyafuta 50%kila kipengele..mafuta bei itarudi 2300...Wanakimbilia eti wKakope ili wananchi mzgo ukawaelemee tena kulila madeni na riba juu. Yani thinking capability imekimbilia kukopa tu...Hii nchi hii!!
Wao wanapewa KILA mwezi lita 2000.so awafeel
 
Kuishi barabarani ndio kitu gani wewe PIMBI?? Mimi nakuelekeza kitu halisi wewe unaanza unaishi karibu na barabara we vipi.?

Rwanda na Burundi hutumia kiasi kidogo mno cha mizigo yao kupitisha bandari ya Dar, mizigo mingi hupitia bandari ya Mombasa kama ulikuwa hujui ndio ufahamu leo hii. Rwanda na Burundi pia bidhaa nyingi hutoka DRC sio kama unavyodhania ww kuwa bandari yetu ni hub kwa hapa East Africa. Mombasa Port ndio bandari kubwa kwa ukanda wetu, kuanzia teknolojia na ufanisi.

Wapi ambapo umeona magari ya Burundi ya Mafuta mamia kwa mamia yanapeleka mafuta huko Burundi? Watu tunadrive na hatukutani na uwingi huo zaidi ya gari 10 hadi 20 na tena sio kila siku inatokeaga tu.

Usifananishe magari ya kupeleka ngano za Azam ukasema mafuta.

Rwanda, Burundi, DRC majibu yametolewa pitia posts za juu.

Malawi, Zimbabwe, Zambia, Uganda hao wanabei kubwa sana kuliko sisi.
Teh teh teh
Eti tunadrive
Hahahaaaaaaaaaaaaa
 
Nahisi huyu CARDLESS ni makamba anapambana Sana kutetea ujinga mfano wa Zanzibar eti anasema Zanzibar ni nchi kamili kweli? Ina maana Leo kwenye mafuta Zanzibar sio Tanzania? Lakini pia hiyo bajeti tunayochangia hahusu Zanzibar? Kwa maana hata wabunge wa Zanzibar wamo Dodoma wanafanya nini kama Zanzibar ni nchi? Huyu jamaa amechanganyikiwa haelewi anatetea nini
Anatafuta teuzi kupitia kutetea upuuzi wa waliomfanya awe chawa wao
 
Tusindaganyane hapa Zinzibar mafuta Tsh 2600 wao wananunua wapi ? Kodi nyingi kwenye mafuta ndio sababu Kodi zipo 13 katika lita moja ya mafuta.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nahisi huyu CARDLESS ni makamba anapambana Sana kutetea ujinga mfano wa Zanzibar eti anasema Zanzibar ni nchi kamili kweli? Ina maana Leo kwenye mafuta Zanzibar sio Tanzania? Lakini pia hiyo bajeti tunayochangia hahusu Zanzibar? Kwa maana hata wabunge wa Zanzibar wamo Dodoma wanafanya nini kama Zanzibar ni nchi? Huyu jamaa amechanganyikiwa haelewi anatetea nini
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mkuu mimi sio makamba na sijawahi kukutana na huyo makamba. Nachokwambia ndio kweli
 
Point ni kwamba why hzo ni land locked countries lkn kwao mafuta yapo chini,huoni kuna tatizo mahali hapo?

Halafu uache kuita waongo usiowajua,mimi naishi along high way ya kwenda mikoani kabisa,kila siku nayaona malori ya mafuta nchi hizo mamia kwa mamia yakiwa yamebeba mafuta kuelekea huko,utasemaje nadanganya?

Tuache mahaba tuongee ukweli,utitiri wa matozo kwenye mafuta umezidi sana nchi hii na ndio unaopelekea mlaji wa mwisho kuathirika.
Exactly, uko sahihi..

Hili ndilo tatizo la msingi ktk saga lote hili..!

Sasa ukijumlisha na tatizo la mfumo wetu mbovu wa kiutawala unaopelekea viongozi wabovu, wabinafsi na wajinga kushika madaraka ya kuongoza watu huku watu werevu wenye uwezo wa kuongoza na kutumia brains zao creatively kutumia raslimali vyema za nchi kwa ajili ya manufaa ya watu na nchi wakiwa nje ya mfumo wa utawala na maamuzi...

Kwa hili, Zanzibar inatupa funzo na mfano mzuri wa namna serikali inavyo shughulika na maisha ya wananchi wake ..

Si kwamba, Zanzibar iko dunia nyingine. Iko ktk dunia hiihii ambako Rais Samia na wenzake huko CCM na serikalini wanadai mambo yako hivi kwa sababu ya athari za COVID 19, Russia Ukraine war na mabadiliko mengine ya kidunia..

Lakini imetafuta njia ya ku - stabilize mambo. Huo ndiyo UONGOZI. Uongozi si kula na kunywa. Uongozi ni namna ya ku deal na challenges za nchi na wananchi..!

Huyu Rais Samia Suluhu na CCM yake wamelala usingizi wa pono. And it's simply because wao na ndugu zao na watoto wao wanakula na kunywa na kusaza. Kwa sababu hizi ndio maana hawajali kiasi cha kuachilia mambo yajipeleke yenyewe..

Watajuta si muda mrefu maana wameweka akili zao kwenye pochi zao na mifuko yao ya suruali..!!

CARDLESS
 
Exactly, uko sahihi..

Hili ndilo tatizo la msingi ktk saga lote hili..!

Sasa ukijumlisha na tatizo la mfumo wetu mbovu wa kiutawala unaopelekea viongozi wabovu, wabinafsi na wajinga kushika madaraka ya kuongoza watu huku watu werevu wenye uwezo wa kuongoza na kutumia brains zao creatively kutumia raslimali vyema za nchi kwa ajili ya manufaa ya watu na nchi wakiwa nje ya mfumo wa utawala na maamuzi...

Kwa hili, Zanzibar inatupa funzo na mfano mzuri wa namna serikali inavyo shughulika na maisha ya wananchi wake ..

Si kwamba, Zanzibar iko dunia nyingine. Iko humu humu ambako kuna athari za COVID 19, Russia Ukraine war na mabadiliko mengine ya kidunia..

Lakini imetafuta njia ya ku - stabilize mambo. Huo ndiyo UONGOZI. Uongozi si kula na kunywa hapa. Uongozi ni namna ya ku deal na challenges..!

Huyu Rais Samia Suluhu na CCM yake wamelala usingizi wa pono. Kwa kubwa wao na ndugu zao na watoto wao wanakula na kunywa na kusaza, basi wameachilia mambo yajipeleke yenyewe..

Watajuta si muda mrefu maana wameweka akili zao kwenye pochi zao na mifuko yao ya suruali..!!

CARDLESS
Daaah,mkuu hyo comment yako imeniingia mno
 
DRC Mafuta haichukulii bandari ya Tz kwa kiwango kikubwa, wao huchukua ANGOLA ambako ni majirani zao.

MALAWI, ZAMBIA, UGANDA bei yake ni maradufu ya TZ.
KENYA iko chini zaidi.
BURUNDI NA RWANDA karibu sawa tu na TZ. NA hizi nchi sio kwamba mafuta hutegemea bandari ya Dar hapana, ni kwa kiwango kidogo mno, RWANDA na BURUNDI hutumia sana BANDARI ya MOMBASA kuliko hata DAR.

DRC wanatumia Bandari ya Dar kwa mizigo tofauti na Mafuta, ni kiwango kidogo mno cha mafuta hupitia bandari ya Dar kwenda DRC.

MALALAMIKO kama haya hayafai. HAKUNA MTU AMEKUJA KUSIFIA HAPA KUWA TZ NDIO NCHI YENYE VIWANGO VIDOGO KABISA VYA GHARAMA ZA INTERNET KWA UKANDA WOTE WA KUSINI MWA AFRIKA NA AFRIKA MASHARIKI KWA UJUMLA.

View attachment 2214682View attachment 2214683View attachment 2214684View attachment 2214685View attachment 2214686View attachment 2214687View attachment 2214688View attachment 2214690

Praise team.
 
Kwamba Kenya hayajapanda sio?
Ni bahati mbaya kwamba wapuuzi wengi sampuli ya Wewe mnashinda mitandaoni kufuatilia nani katembea na nani, nani kavaa nguo mpya.
Halafu inapokuja mada serious kama hii na Wewe unajitutumua.
Mara moja moja jitahidi kutumia ubongo kufikiri siyo.....
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mkuu mimi sio makamba na sijawahi kukutana na huyo makamba. Nachokwambia ndio kweli
Tafadhali usiseme unachoandika ni UKWELI. Kila uandikacho hapa ni MAONI YAKO and we respect your opinions very much...!!
 
Back
Top Bottom