Data: Bei za mafuta DRC, Burundi, Rwanda, Zambia ziko chini

Data: Bei za mafuta DRC, Burundi, Rwanda, Zambia ziko chini

Aliingiza shilingi ngapi mzee mbona unaongea kama choko wewe?

Huoni ilisaidia kiasi gani, imagine gari iliopaki unahesabiwa hujalipa fee ya barabarani jamaa akaamua kuweka TZS50 iwe kama mchango kwenye mafuta which means ni siku ukiendesha gari ukaenda sheli kujaza wese ndio unalipia hio 50 tsh.

Hata muongee utumbo kiasi gani Magu aliwa outsmart watanzania wengi vilaza. Ndio maana mlimuua kumamaq zenu ila ukweli utabakia ukweli.
Utatukana sanaaa lakini haisaidii kitu ndio hayupo sasa,
Ina maana hujui kua mafuta yanatumika hata nyumbani hata asie na gari analipia kodi ya mafuta na iliwekwa sh 100 sio hamsini kama hujui, maskini tunabebeshwa mzigo wa matajiri wenye magari tukakaa kimya wamenogewa sasa mnatokwa povu na matusi natamani hata mafuta yafike elfu 10 ili akili iwakae sawa.

Alituharibia sana nchi yetu sasa hivi ndio madhara yake yanaonekana mnabaki kumlaumu mama. MTAPATA TABU SANA[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?

Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana

View attachment 2214602

View attachment 2214603
Zambia Jana ilikua ni kwacha 26.3 ambayo ni karibia 3500 tsh kumbuka kwa mfano kwetu fuel imeongezewa na vitu vingi ikiwapo road license, wakati Zambia hiyo unailipa kama ilivyo.
 
kikosi kazi mko bize kuharibu hii mijadala ya wanuka jasho kwa kila mbinu naona umehamia plan b sasa...hayo mambo yenu ya sukuma gang,msoga gang, mchambawima gang ni upuuzi wenu nyie hapa najadili upeo mdogo wa jinsi nchi hii inavyoendeshwa , hii ni dharura lakini watu wanaona poapoa tu yaani
Binafsi sina timu hata moja nafurahia hali halisi kwa kua kuna watu walikua wanamshabikia sana mwendazake bila kujua madahara yake ina hawakujua dawa ya yote haya ni katiba mpya, hata mama atafanya atakavyo kwa kua mnaipenda sisiem sasa namba tunaisoma wote[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliingiza shilingi ngapi mzee mbona unaongea kama choko wewe?

Huoni ilisaidia kiasi gani, imagine gari iliopaki unahesabiwa hujalipa fee ya barabarani jamaa akaamua kuweka TZS50 iwe kama mchango kwenye mafuta which means ni siku ukiendesha gari ukaenda sheli kujaza wese ndio unalipia hio 50 tsh.

Hata muongee utumbo kiasi gani Magu aliwa outsmart watanzania wengi vilaza. Ndio maana mlimuua kumamaq zenu ila ukweli utabakia ukweli.
Oya, mzee mbona umepanick sana.
 
Viongozi hawana nia ya dhati kusaidia wananchi , this is ridiculous 🙄 😒
 
Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.

Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika

Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Hakuna comment nzito hapo. Ni utetezi isipokuwa na maana. Ndo mana mtu mmoja amesema, kama Rwanda wanachukulia mafuta Mombasa, wanayasafirisha kwenda kwao na bado bei yao iko chini, basi na sisi tuchukulie Mombasa halafu bandari yetu tufugie kuku. Umeona hiyo sarcastical logic hapo?
 
Hakuna comment nzito hapo. Ni utetezi isipokuwa na maana. Ndo mana mtu mmoja amesema, kama Rwanda wanachukulia mafuta Mombasa, wanayasafirisha kwenda kwao na bado bei yao iko chini, basi na sisi tuchukulie Mombasa halafu bandari yetu tufugie kuku. Umeona hiyo sarcastical logic hapo?
Usikaze kichwa hiko. Sisi chanzo cha kodi zetu ni pamoja na MAFUTA.
 
Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!

Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?

Tumia akili kufikiri...!

Nchi inahitaji internet kuliko bibi yako.
 
Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?

Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana

View attachment 2214602

View attachment 2214603
Kwanini Shilingi [TZS] thamani yake iko chini kuliko za hawa jirani zetu?

1. ZAMBIA KWACHA: 1KW = 131 TZS..

2. BURUNDI BIF: 1BIF = 1.35TZS..

3. RWANDA FRANC: 1RF = 2.28TZS..

4. DRC CDF: 1CDF = 1.16TZS

5. KENYA SHILING: 1KSH = 20TZS..

.......
We kwa akili yako unadhani kila anayeagiza mafuta anachukulia URUSI?? DRC mafuta yao mengi hutoka ANGOLA na NIGERIA kutokana na wako upande mmoja wa bahari ya ATLANTIC, sasa wewe TZ unawezaje kununua mafuta huko??

Lingine nchi zinazopitisha mafuta kutoka bandari ya TZ mafuta yako juu kama nchi zilizo LAND LOCKED kama ZAMBIA, MALAWI.

Kwenya masuala ya uchumi na biashara lazima utumie akili, sio umetoka huko na degree ya ufugaji nyuki unajikuta ww unajua namna gani uchumi unaendeshwa.

Kenye unaona mafuta bei ya chini kwa kuwa ni karibu, hivyo kila unavyosogea ndio gharama huwa kubwa zaidi. Kwa mfano ukitoka Dar nauli ya Moro ni ndogo kuliko IRINGA.

Huwezi pia kuondoa tozo na kodi kwenye mafuta maana tumeiingiza kwenye bajeti kuu ya serikali.

Lawama na kujiona unaweza kuleta mada haikusaidii
Wewe CARDLESS unaelewa sababu za bei ya mafuta dieseli & petrol zinazotolewa na viongozi wako wa serikali ya Tanzania..?

Labda hujui au hukumbi. Acha tukukumbushe. Wanatoa sababu kuu tatu;

1. Athari za COVID 19..!!

2. Russia - Ukraine war..!!

3. Hatuchimbi mafuta..!!

##Hakuna sababu ya umbali!

Maswali kwako;

##Je, unadhani hizi nchi ambazo bei za nishati hii iko chini kuliko sisi;

✓ Ziko sayari nyingine ambako hakuna vita ya Russia & Ukraine?

✓ Hawajakumbwa na athari za COVID 19?

✓ Wanachimba mafuta yao..?

##Hizo nchi zinatumia mikakati gani kudhibiti upandaji nishati huu?

## Jibu ni rahisi mno. Rais Samia na serikali yake hawana maarifa wala mkakati ku-stabilize price ili kunusuru wananchi wao..

They will soon pay huge price for their sloppy conduct, neglegency and selfish behavior...!!
 
Na hao hawana bandari ujue, yanapita mwetu ndio yawafikie, sasa shangaa wese la linafika bandari kwa bei moja, hili linapandishwa gari kwenda morogoro, hili linaoamda gari kwenda zambia kilometa zaidi ya buku huko lakini lile lililoenda mbali bei juu kuliko haya yaliyoishia karibu, mengine yanabaki hapo hapo dar lakini yanayosafirishwa yanakjwa bei poa[emoji23][emoji1787]

Aliyeturoga kafa
Inatia kinyaa sana aiseee,ni land locked countries na mafuta yao mengi yanapitia kwetu lakini bei huko zipo chini

Tunahitaji mjadala wa kitaifa kwenye hili,tuombe airtime kwenye tv yoyote tujadiliane

Yaani viongozi wa nchi hii walivyofikia utupu wao kichwani wanasema eti Marekani bei ni kubwa kuliko kwetu,kumbe kuna utitiri wa matozo yanayopelekea bei kwetu kupaa mara dufu
 
Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?

Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana

View attachment 2214602

View attachment 2214603
Sisi si wa level hizo mkuu tumeambiwa sisi tujilinganishe na US Taifa lenye nguvu zaidi duniani.
 
Inatia kinyaa sana aiseee,ni land locked countries na mafuta yao mengi yanapitia kwetu lakini bei huko zipo chini

Tunahitaji mjadala wa kitaifa kwenye hili,tuombe airtime kwenye tv yoyote tujadiliane

Yaani viongozi wa nchi hii walivyofikia utupu wao kichwani wanasema eti Marekani bei ni kubwa kuliko kwetu,kumbe kuna utitiri wa matozo yanayopelekea bei kwetu kupaa mara dufu
Nchi gani ambayo mafuta mengi hupitia TANZANIA afu bei yake ni ndogo kuliko TZ?
 
Hii sio dharula mzee, hata USA bei iko juu, hii ishu ya bei iko Dunia nzima kutokana na uhaba wa bidhaa yenyewe. Bei ya mafuta ni kitu kinachopanda na kushuka, huwezi toa kodi eti kisa mafuta yamepanda, kodi itaendelea kukusanywa vile vile.

Mtakubali kupunguzwa mishahara au kupunguzwa dawa na vifaa tiba hospitalini pia??

Tunapaswa kutoa elimu juu ya namna uchumi unaenda, hili si suala la CCM au CHADEMA au ACT ni national matters, hivyo lazima tuelewe chanzo chake na effect yake. Ni suala la muda tu kila kitu kitarudi kwenye hali yale ya kawaida.

Tusiwe watu wa kulalamika sana, Price ya mafuta sio kwamba ifanane kwa nchi zote, hata hapa Afrika mashariki, bei ya mchele iko tofauti baina yetu, ni kutokana na uwekezaji nk.

Kwa mfano Kenya wao hutumia kiasi kikubwa mno cha mafuta ukilinganisha na sisi hivyo lazima watapata punguzo la bei as we know kadiri unavyonunua mzigo mkubwa ndipo disccount hupatikana.

Maelezo mengi lakini hayana sababu yoyote. Hakuna asiyejua kupanda kwa bei ya mafuta au uwepo wa kodi. Tunasema hivi tupunguze matumizi ya serikali. Mfano mtu yuko hapa Dar anatumia VX la nini? Hilo bunge la majizi ya kura linakaa likijadili nini tofauti na mapendekezo ya serikali? Misafara ya viongozi na maVXR ya nini wakati hawana lolote la maana linalowazungusha huko na hiyo misafara? Rais kila siku yuko kwenye ndege, ni nini hasa kisichomkalisha ofisini zaidi ya kuzurura?
 
Inatia kinyaa sana aiseee,ni land locked countries na mafuta yao mengi yanapitia kwetu lakini bei huko zipo chini

Tunahitaji mjadala wa kitaifa kwenye hili,tuombe airtime kwenye tv yoyote tujadiliane

Yaani viongozi wa nchi hii walivyofikia utupu wao kichwani wanasema eti Marekani bei ni kubwa kuliko kwetu,kumbe kuna utitiri wa matozo yanayopelekea bei kwetu kupaa mara dufu
Kama taifa, kuna sehemu wananchi tumekosea na tunaendelea kukosea.
 
Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?

Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana

View attachment 2214602

View attachment 2214603

Mkuu kama hapa kwetu mlaji (final consumer) anailipa serikal mpk compensation ya loss on evaporation ya hayo mafuta yakiwa njiani huko kwenye maji bado unatarajia bei zetu ziwe chini ya hao majirani? Siku ikitokea tukapata serikali inayowajali watanzania ndiyo itakuwa sahihi kufanya huo mlinganisho vinginevyo kwa sasa tutulie tu dawa iingie vzr.
 
Mnaenda kote huko kufanya nini? Zanzibar hali iko hivi

1651907512505.png
 
DRC Mafuta haichukulii bandari ya Tz kwa kiwango kikubwa, wao huchukua ANGOLA ambako ni majirani zao.

MALAWI, ZAMBIA, UGANDA bei yake ni maradufu ya TZ.
KENYA iko chini zaidi.
BURUNDI NA RWANDA karibu sawa tu na TZ. NA hizi nchi sio kwamba mafuta hutegemea bandari ya Dar hapana, ni kwa kiwango kidogo mno, RWANDA na BURUNDI hutumia sana BANDARI ya MOMBASA kuliko hata DAR.

DRC wanatumia Bandari ya Dar kwa mizigo tofauti na Mafuta, ni kiwango kidogo mno cha mafuta hupitia bandari ya Dar kwenda DRC.

MALALAMIKO kama haya hayafai. HAKUNA MTU AMEKUJA KUSIFIA HAPA KUWA TZ NDIO NCHI YENYE VIWANGO VIDOGO KABISA VYA GHARAMA ZA INTERNET KWA UKANDA WOTE WA KUSINI MWA AFRIKA NA AFRIKA MASHARIKI KWA UJUMLA.

View attachment 2214682View attachment 2214683View attachment 2214684View attachment 2214685View attachment 2214686View attachment 2214687View attachment 2214688View attachment 2214690
Unataka ku - justify nini hapa..?

Ili ueleweke ni lazima ulinganishe thamani ya pesa ya nchi hizo na thamani ya shilingi yetu...

Mathalani Zambian Kwacha 1 ni sawa na zaidi ya TZS 130...!

Ukitumia kipimo hicho, unaweza kutambua bei ziko chini sana kuliko sisi..!!

Inashangaza mno kulinganisha bei ya vitu nchi zingine na hapa kwetu kwa hisia za kienyeji kiasi hiki bila kutumia vigezo vya kiuchumi kabla ya kutoa conclusion...

Inashangaza kuwa hata wachumi na wasomi wetu tena walio kwenye dhamana za uongozi kwa ajili ya wananchi wanatumia fallacies na ujinga huu ku - justify/halalisha shida na taabu ya wananchi wao...!!
 
Maelezo mengi lakini hayana sababu yoyote. Hakuna asiyejua kupanda kwa bei ya mafuta au uwepo wa kodi. Tunasema hivi tupunguze matumizi ya serikali. Mfano mtu yuko hapa Dar anatumia VX la nini? Hilo bunge la majizi ya kura linakaa likijadili nini tofauti na mapendekezo ya serikali? Misafara ya viongozi na maVXR ya nini wakati hawana lolote la maana linalowazungusha huko na hiyo misafara? Rais kila siku yuko kwenye ndege, ni nini hasa kisichomkalisha ofisini zaidi ya kuzurura?
Unaonaje tukipunguza mishahara mzee?? Magari ni kama fixed Assets tu mzee, ukinunua imetoka hiyo, inadepreciate kisha unayatoa barabarani. Gari ukinunua hununui lingine kwa miaka kadhaa. Hivyo sio gharama za kusema ww serikali ipunguze au iondoe.

Tupunguze wafanyakazi na mishahara ndiko huko pesa nyingi huenda katika bajeti yetu au hujui hilo??
 
Back
Top Bottom