Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
😆Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Huwezi kujenga hoja bila matusi?Zanzibar ni nchi mzee sio kama unavyofikiri wewe kilaza, mbona HULINGANISHI MISHAHARA YA WATUMISHI WA ZANZIBAR NA YA WA MUUNGANO AU TANZANIA BARA??
Au undhani na mishahara inafanana?? Kila kitu kina some impact katika upande wa pili, Zanzibar ushuru uko chini, lkn pia hata maslahi ya watumishi wa SMZ ni finyu mno kutokana na pato lao kuwa dogo.
Mnapenda sana kulalamika, haya tuambie kati ya Zanzibar na Tanzania Bara wapi kuna gharama za juu za Saruji?? So sio kila nchi itafanana katika uwekaji wa kodi mbali mbali.
Ongezeko la bei ya mafuta imeenda sambamba katika nchi zote ambapo tofauti uzionazo ni kutokana na factors kama umbali, kodi inayotozwa nk.
Bei ya mafuta sio global system kwamba lazima nchi zote zifanane bei kama viwango vya fedha.
Ndio maana Venezuela bei iko chini na huku ni juu. MBONA HUULIZI KWANINI KOROSHO HAPA TZ NI BEI RAHISI KULIKO HONG KONG??.
Malalamiko ya kitoto sana mnafanya, hamjipi muda wa kusoma kwa kina kabla y kupost utumbo hapa JF.
Haya tuambie kwanini, mikoa kama TANGA, DAR na MTWARA bei za Mafuta kuwa chini ukilinganisha na mikoa mingine??
Kuhusu KIGOMA sio kweli kwamba mafuta ni 5000 per lt. Bei elekezi ya Kigoma haiwezi fika hata 3500 per lt.
kikosi kazi hicho kina hasira kwa nini wanuka jasho mnahoji ma kodi mengi nyie lipeni tu zitafunwe mtazikuta kwenye reports za CAG na hamna lolote mtafanyaHuwezi kujenga hoja bila matusi?
Mimi nadhani sio sawa kujifananisha na watu wengine kwenye hili kila nchi inaweka kodi kwa mujibu wa mahitaji yake hiyo Congo ni moja ya nchi ina miundombinu mibovu sana ya barabara hili linajuliaka Tanzania tunachangia mengi ndio maana unakuta tuna barabara nzuri kuliko nchi nyingi sana na mpaka umeme au maji tuko vizuri kuliko hawa, sasa mandeleo haya yanakuja na gharama kwa hiyo sio haki kujifananisha na hawa ila sasa katika dharura hii tunaweza kusema makato gani tuyaondoe kwa muda huu kama tukisema tuondoe hichi na hichi basi barabara mpya au umeme kusambaza vijijini inaweza kusibiri mpaka mwakani. Kwa maana ni lazima tu revisiti budget na kukata miradi ya maendeleo na gharama zingine kama kufupisha vikao vya bunge na mambo mengi tu ili tujuwe ni kiasi gani tunatoa katika bugdet bila kuathiri mambo ya msingi tukiamua hilo ndio unaenda unapunguza kwenye vyanzo kama mafuta. Hili linawezekana lakini isiwe tena unakata halafu kesho unasimama kulaumu barabara haijatengenezwa. Serikali haina biashara ni hizi kodi ndio zinaendesha nchi hata mishahara ya nyongeza pesa inatoka wapi, kwenye kodi. Huwezi sema punguza kodi hapo hapo nataka nyongeza haiwezekani watoe wapi hii pesa? kumbuka budget inaenda na makadirio watakayokusanya kwa mwaka sio pesa iliopo tayari ni makadirio tu. Yote yanawezeka ila kuna gharama zake pia tuzikubali. Lingine kubwa liko katika uwezo wa kila mtu ni kupunguza safari zako zisizo kuwa za lazima kwa maana kama ulikuwa unatumia laki 1 kwa mafuta kwa mwezi jitahidi tumia same laki moja bila kuzidisha lakini gharama zake ni kwamba kama mlikuwa kutwa mko out sasa safari zinapungua au unatumia boda au public transport baadhi ya safari. kukataka gharama zinaanza na sisi, kama ulikuwa unakula kilo ya nyama kula kilo kasorobo basi maisha yanabaki same,Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?
Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana
View attachment 2214602
View attachment 2214603
Usitusumbue hana mambo ya mfuta; kama hutaki hamia Burundi (Waziri). ElewaTanzania hatuchimbi mafuta ( Waziri), hata marekani bei ya mafuta ni kubwa (rais).Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani?
Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa Drc congo wana vita na waasi miaka 25 sasa , tunahitaji maombi maalumu nchii hii hali tete sana
View attachment 2214602
View attachment 2214603
RIP Dkt Didas Masaburi.Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!
Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?
Tumia akili kufikiri...!
Ina maana ni Tz tu ndio inayotekeleza miradi , hizo nchi nyingine hazina miradi mikubwa?wala huna hoja, kwani REA, miaka yote tozo zake si zipo mtu anaponunua umeme?Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Nyamb*fuuuuMkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Weka na bei ya Zanzibar chiziDRC Mafuta haichukulii bandari ya Tz kwa kiwango kikubwa, wao huchukua ANGOLA ambako ni majirani zao.
MALAWI, ZAMBIA, UGANDA bei yake ni maradufu ya TZ.
KENYA iko chini zaidi.
BURUNDI NA RWANDA karibu sawa tu na TZ. NA hizi nchi sio kwamba mafuta hutegemea bandari ya Dar hapana, ni kwa kiwango kidogo mno, RWANDA na BURUNDI hutumia sana BANDARI ya MOMBASA kuliko hata DAR.
DRC wanatumia Bandari ya Dar kwa mizigo tofauti na Mafuta, ni kiwango kidogo mno cha mafuta hupitia bandari ya Dar kwenda DRC.
MALALAMIKO kama haya hayafai. HAKUNA MTU AMEKUJA KUSIFIA HAPA KUWA TZ NDIO NCHI YENYE VIWANGO VIDOGO KABISA VYA GHARAMA ZA INTERNET KWA UKANDA WOTE WA KUSINI MWA AFRIKA NA AFRIKA MASHARIKI KWA UJUMLA.
View attachment 2214682View attachment 2214683View attachment 2214684View attachment 2214685View attachment 2214686View attachment 2214687View attachment 2214688View attachment 2214690
Swala la wizi lipo duniani kote, hata huko china m'badhirifu wa fedha za uma ananyongwa lkn bado wapo wezi,Unavyozidi kusogea mbali kwenda wapi kwa hizo nchi? hiyo DRC ni bei ya kinshasa? wewe mjuvi tuleteee bei ya miji yao iliyopo karibu n a kigoma ambapo kwa sasa bei ya lita ni tshs 5000..na hiyo miji nayo inatoa mafuta Angola?..na unataka kusema bei zao ziko chini sabaabu wanagiza Angola
Fairly kabisa umekiri mi kodi ya kifisadi imejazwa kwenye mafuta SASA SWALI NI JE? WALAMBA ASALI WAKO TAYARI KUBANA MATUMIZI YA MATANUZI YAO NA KUSUBSIDISE MAFUTA? JIBU NI HAPANA
wako radhi wajaze kikosi kazi mtandaoni ili kutetea mateso haya kwa majinga ya tanganyika ilihali wao wanakula bata na kuku na kulamba asali, mahela yanapotea mengi sana yanaibwa ka kasi hata reports za CAg zinathibitisha hilo wabane matumizi hata kwa miezi 3 tuangalie hali itakuwaje
Kwamba Kenya hayajapanda sio?
Ni bahati mbaya kwamba wapuuzi wengi sampuli ya Wewe mnashinda mitandaoni kufuatilia nani katembea na nani, nani kavaa nguo mpya.
Halafu inapokuja mada serious kama hii na Wewe unajitutumua.
Unashindwa kutofautisha kati ya Umuhimu wa Mafuta na Internet kwa mwananchi wa Kawaida...!
Kifurushi cha Internet hata Kingekua 200 itamsaidia nini Bibi yangu kule Mpwapwike...!?
Tumia akili kufikiri...!
Kwa hiyo serikali inawategemea wananchi ili ipate fedha za kujenga miundombinu? Vipi mauzo ya Tanzanite, dhahabu, makaa ya mawe, utalii, uvuvi, matumizi sahihi ya bandari haviwezi kujenga miundombinu?Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Kwa kweli kwa vichwa vyao vigumu wacha waburuzwe tu, akili ziwakae sawa.Mkuu unaandika content nzito mno ambayo watanzania wengi aidha kwa kutokwenda shule au kwa ujinga wa kuzaliwa hawaelewi.
Mpuuzi mmoja anakuambia eti mbona nchi x au y ni bei rahisi kuliko sisi na yanapita kwetu.
Haangalii kodi tulizoziweka humo ili kukimbiza miradi ya REA na Reli na TARURA
Mtu huyo huyo kesho kodi hiyo ikiondolewa na miradi ya REA na Reli ikafia mbali ataandika tena kulalamika
Kwa muktadha huo kuna sehemu nilikuwa nakubaliana na Magufuli, kwamba ng'ombe kama hawa ni wa kuburuza tu watake wasitake.
Nyamb*fuZanzibar ni nchi mzee sio kama unavyofikiri wewe kilaza, mbona HULINGANISHI MISHAHARA YA WATUMISHI WA ZANZIBAR NA YA WA MUUNGANO AU TANZANIA BARA??
Au undhani na mishahara inafanana?? Kila kitu kina some impact katika upande wa pili, Zanzibar ushuru uko chini, lkn pia hata maslahi ya watumishi wa SMZ ni finyu mno kutokana na pato lao kuwa dogo.
Mnapenda sana kulalamika, haya tuambie kati ya Zanzibar na Tanzania Bara wapi kuna gharama za juu za Saruji?? So sio kila nchi itafanana katika uwekaji wa kodi mbali mbali.
Ongezeko la bei ya mafuta imeenda sambamba katika nchi zote ambapo tofauti uzionazo ni kutokana na factors kama umbali, kodi inayotozwa nk.
Bei ya mafuta sio global system kwamba lazima nchi zote zifanane bei kama viwango vya fedha.
Ndio maana Venezuela bei iko chini na huku ni juu. MBONA HUULIZI KWANINI KOROSHO HAPA TZ NI BEI RAHISI KULIKO HONG KONG??.
Malalamiko ya kitoto sana mnafanya, hamjipi muda wa kusoma kwa kina kabla y kupost utumbo hapa JF.
Haya tuambie kwanini, mikoa kama TANGA, DAR na MTWARA bei za Mafuta kuwa chini ukilinganisha na mikoa mingine??
Kuhusu KIGOMA sio kweli kwamba mafuta ni 5000 per lt. Bei elekezi ya Kigoma haiwezi fika hata 3500 per lt.
Yaani umeanzisha mada bila kufuatilia fact mbalimbali za uchumi, badala uje na hoja kodi zipunguzwe unashangaa bei kutofautiana na zanzibar? Unahuzunisha sanakikosi kazi kinamjibia wako wawili hapakwenye huu uzi wanaji mwambafai vibaya mno kauli za kifedhuuli kuona wanolalamika kama ni wajinga vile sijui hao Angola kenya na zanzibar wanawezaje kuuza kwa bei nafuu hiyo bandari ya kurasini si bora ifungwe tu ina faida gani sasa?
Waache watambe tu hata enzi za yule muovu mlitamba sana, kutesa kwa zamu na tutaupiga mwingi hadi tufidie gepu lote alotupiga yule muovu.Hawa chawa wa huyu bibi hawana maana kabisa.