Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Hizi za kijiweni ndo nzuri za kumsaidia Magu kutumbua bila kuvaa gloves
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako

Unaweza, inategemea na connnection zako na uwezo wako wa kurekebisha mapungufu.
 
Ngoja tusubiri, ukweli una tabia ya kujidhihirisha.
Ni swala la muda tu.
Ila kwa issue ya ISO - International Organization for Standardization hapo embu angalia mara mbili chanzo chako cha taarifa.
Well, wakuu wa mashirika ya umma walijineemesha sana kwenye mashirika haya.
Walijineemesha vipi ndio swali la msingi Ili kuibua ufisadi uliofanyika.
 
Afadhali umejitokeza mwenye kufahamu zaidi haya mambo. Hebu nisaidie, kituo cha michezo cha NSSF kilishaanza kazi? Nina kijana wangu inaonekana ana kipaji cha kusakata kabumbu, nataka nimwombee nafasi kwenye hiyo shule ya michezo ya NSSF. Je ni kweli wakufunzi kwenye hiyo shule wanatoka Real Madrid? Kama ni kweli si mchezo - NSSF watakuwa wamepata hicho cheti cha ISO kihalali. Unaweza kunielekeza ilipo hiyo shule nipate kuitembelea? Kama una contacts zao pia nitashukuru.
Porojo. Ninewambia leteni ushahidi kutoka real Madrid kwamba hawana mkataba na nssf. Sitaki mambo ya kuhisia apa
 
Kitwana Kondo akiwa Mbunge wa Kigamboni anamshauri Makamu wa Rais Hayati Dr. OMAR amwambie Rais Mteue Ramadhani Dau awe DG wa NSSF tena Rais mwenyewe Mkapa!!! HAHAHAH. Baada ya kuwakosoa kuwa Dau hakuteuliwa na Kikwete hapahapa mnabadilika mnakuja na ngonjera mpya japo umesahau kusema Kikwete alimshauri Kitwana kondo amwambie Dr.Omar amwambie Mkapa amteue Dau. Upo radhi kutuaminisha kuwa Mkapa alikuwa Rais karatasi na kusingizia hata mtu aliekufa ili kuonesha tu kuwa alishinikizwa kumteua Dr.Dau!
Pole sana. Wewe ni Dau mwenyewe? Una argue with such passion!
 
Ambassador, Dr Dau is a daring personality who elavated NSSF status and Improve members' need. It is so unfortunate, some power hungry, good for nothing individuals who are illusioned enough to think they can fit in his shoes.
They are trying whatever they can to tarnish the image of this God fearing man. All allegations brought forward can only be legitimate only when raised by appropriate authorities, with solid evidence, showing concern that members Fund have been abused. Otherwise, this pure hatred need to stop.
Power corrupts, absolute power corrupts absolutely.
 
Pole sana. Wewe ni Dau mwenyewe? Una argue with such passion!

Vipi na wewe unaamini Mkapa alikuwa anateua watu kwa Mapendekezo ya Mzee kitwana kondo? Yaani Mkapa alikuwa kibaraka wa Mzee Kondo?
 
Vipi na wewe unaamini Mkapa alikuwa anateua watu kwa Mapendekezo ya Mzee kitwana kondo? Yaani Mkapa alikuwa kibaraka wa Mzee Kondo?
Mimi sijui hayo. Ninachojua ni kwamba kuna wakati Kitwana Kondo alikuwa influential sana, sasa hivi wengi watauliza ni nani huyu. Mimi mwenyewe nilifikiri ameshakufa. Rais anawashauri wengi official na unofficial. Ultimately uamuzi ni wake. Akiweka mtu mzuri sifa zitamwangukia, akiwa mtu bomu inabidi abebe lawama.

Hamna coin isiyokuwa na pande mbili. Inawezekana wewe umeona upande mmoja na mwenzio akaona mwingine. That's life!!

Ninachojua, unless mtu hana ndugu au rafiki, kila mmoja wetu ataguswa na utumbuaji majipu. Kila mtu kwa wakati wake na kwa namna yake. Pole sana mkuu!
 
Back
Top Bottom