Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Hata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.

Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.

Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.

Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.

usifikiri ndani ya box tu,unaweza ukawa ni mkakati wa kuitapeli NSSF.Ni hivi,watu wanaweza wakawa walishanusa kuwa nssf itapewa na ISO so wakaingia wahuni wakafanya uhuni kuwa wanaweza fanya magumashi kufanikisha hilo.Wakalmba mkwanja,nchi hii hakuna linaloshindikana,tusikurupuke kupinga tu,tusubiri tupate taarifa kamili.
 
Kwa hiyo wewe kama baba yako anaenda kinyume na uislamu unaweza kumuita kafiri kwa kuwa sio tusi?

walio kinyume na ukristo wanaitwaje?kama jina halipo naomba nipendekeze waitwe "makafiriro"
 
Ambassador, Dr Dau is a daring personality who elavated NSSF status and Improve members' need. It is so unfortunate, some power hungry, good for nothing individuals who are illusioned enough to think they can fit in his shoes.
They are trying whatever they can to tarnish the image of this God fearing man. All allegations brought forward can only be legitimate only when raised by appropriate authorities, with solid evidence, showing concern that members Fund have been abused. Otherwise, this pure hatred need to stop.
Prof kahyarara atamuweka wazi mda si mrefu
 
Fisad hauguswi hasemwi ila tutajuwa kila siku Dau hamtaki apumue tajeni taasisi inayo ongoza kwa ufisadi so majungu
 
Fisad hauguswi hasemwi ila tutajuwa kila siku Dau hamtaki apumue tajeni taasisi inayo ongoza kwa ufisadi so majungu
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako
Almajununu fununu
 
Fisad hauguswi hasemwi ila tutajuwa kila siku Dau hamtaki apumue tajeni taasisi inayo ongoza kwa ufisadi so majungu
 
Kaf

Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.

Silimu kwanza ndio ukatae kuitwa kafiri. Usipo Silimu utaendelea kuwa kafiri mpaka kufa kwako. MwenyeziMungu akuongoze utoke kwenye ukafiri.
Ni kazi kukuelimisha ila nikushukuru tu Na mie niendelee kuwa kafiri
 
Hata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.

Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.

Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.

Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.
Mtoa habari hana uhakika na anachokisema muongo mkubwa huyo acha husda mkuu
 
Ni kazi kukuelimisha ila nikushukuru tu Na mie niendelee kuwa kafiri
Usijali mkuu, watakuita kafiri lakini ukifika maeneo na kuagiza kakilo kako kamoja na endizi wala hawahitaji kuambiwa karibu Mara mbili wanavamia kufakamia
 
vipi kuhusu ile kashfa ya udini pale nssf
Mambo ya Dr.Dau yamepitwa na wakati. Kuendelea kuyajadili ni kupoteza muda. Yeye ni balozi yuko kwenye payroll. Nafasi yake Nssf imeshajazwa. Tuliowengi tunaojadili ajenda hii humu hatuna ajira, ni walalahoi. Kwanini tupoteze muda kuwajadili walioshiba na ambao wanaendelea kushiba?
 
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
endele kuleta habari, majipu hayana nafasi tena kuyaachia yaendelee ni dhambi katika utawala huu
 
Majungu na udini vitaimaliza nchi hii, Leteni story nyengine hii single ishachuja , kila siku Dau kwani hamna mitumbwi na maboti, tandarubeta.
 
Mkuu tuletee taarifa rasmi kutoka Real Madrid inayoelezea hayo otherwise. Tusipende kujadili majungu na umbeya

Afadhali umejitokeza mwenye kufahamu zaidi haya mambo. Hebu nisaidie, kituo cha michezo cha NSSF kilishaanza kazi? Nina kijana wangu inaonekana ana kipaji cha kusakata kabumbu, nataka nimwombee nafasi kwenye hiyo shule ya michezo ya NSSF. Je ni kweli wakufunzi kwenye hiyo shule wanatoka Real Madrid? Kama ni kweli si mchezo - NSSF watakuwa wamepata hicho cheti cha ISO kihalali. Unaweza kunielekeza ilipo hiyo shule nipate kuitembelea? Kama una contacts zao pia nitashukuru.
 

..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani
Na siyo Nssf pekee ambao wan
a cheti cha ISO ..ni makampuni
meengi private na goverment
ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhe
ra Groups na mengine meeng
i

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako[/QUOT
E]

Usiwe mwepesi kutumia lugha hasi kuficha ufinyu wa uelewa wako kuhusu dunia halisi inavyofanya kazi!
The world is ruled by a MOB; a few crafty people; the movers and shakers of this world who can make things happen; when they wish so. Period. Hakuna kilochotengenezwa kwa akili na mikono ya binadamu kisichoweza kugeuzwa.
 
Back
Top Bottom