Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba

Mara hayo maovu yake yatakapowekwa hadharani wale wote waliofaidi fedha zetu za NSSF kwa kivuli cha Dau watajitokeza na kumtetea kuwa anasakamwa kwa sababu yeye ni muislam; lakini wanasahau kuwa yeye ndio aliyefaidi kutokana na hujuma hizo na wala sio dini yake!! Haya mambo ya udini yanatumika na wajanja kuficha madhambi yao.
 
Mara nyingi majina ya watu humaanisha wasifu au tabia zao. Mfano jina dau, dau katika kamusi lina maana yake.
 
Naomba kuuliza kwa mnaojua, hivi kwanini tuhuma za udini zinamwanda Dr Dau peke yake? Kabla ya Dr Dau kuingia NSSF alikuwepo Bw. Mkulo ambaye pia ni muislam je tuhuma hizi zilikuwepo? Na Dr Dau ndo alikuwa CEO peke muislam kwenye mashirika ya umma hapa nchini?

Jamani mambo ya udini yamefanyika na hayana nafasi tena humu sasa ni kujadili ufisadi wa dau,
Dau kaiba sana Nssf na hili halina ubishi,kuna jamaa yangu ni mmoja wa timu iloyotumwa kumfukunyua mambo huko Nssf hasa idara ya uwekezaji anasema ni nomaa wamekuja hadi viwanja hewa,vongine viko baharini !!!!, bado wako huko watakuja na ripoti ndipo mapopo bawa natamani ardhi ipasuke muingie humo😀😀
 
A
Acha wehu maaskofu walipewa na hawakuiba,akili za ki nguruwe hizo[/QUOT
Kwa hiyo maaskofu ni mambulula, wapokee kiasi kikubwa cha mshiko bila kujua source na motive ya mtoaji hasa nini tena kupitia bank yao ya money laundering (Mkombozi). Haileti maana, utapeli mtupu na unyonyaji. Wolves in sheep clothing.
 
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Ambassador, Dr Dau is a daring personality who elavated NSSF status and Improve members' need. It is so unfortunate, some power hungry, good for nothing individuals who are illusioned enough to think they can fit in his shoes.
They are trying whatever they can to tarnish the image of this God fearing man. All allegations brought forward can only be legitimate only when raised by appropriate authorities, with solid evidence, showing concern that members Fund have been abused. Otherwise, this pure hatred need to stop.
 
Hata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.

Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.

Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.

Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.

Yawezekana ukafanyika ufisadi katika mchakato kwa kuweka facilitator ili wahalalishe matumizi ya pesa yasiyo lazima.
Wakati mwingine tukisikia tuhuma tunatakiwa kuhoji zaidi badala ya kubisha tu, tunaweza kupata picha nyingine tofauti kidogo na alivyoeleza anayetuhumu mwanzoni.
Hata hivyo, siyo vizuri na haitakiwi kukubali au kupinga tuhuma bila vielelezo vya kuthibitisha!
 
Jamani mambo ya udini yamefanyika na hayana nafasi tena humu sasa ni kujadili ufisadi wa dau,
Dau kaiba sana Nssf na hili halina ubishi,kuna jamaa yangu ni mmoja wa timu iloyotumwa kumfukunyua mambo huko Nssf hasa idara ya uwekezaji anasema ni nomaa wamekuja hadi viwanja hewa,vongine viko baharini !!!!, bado wako huko watakuja na ripoti ndipo mapopo bawa natamani ardhi ipasuke muingie humo😀😀
Nchi yetu na hatia ya uongozi wa ccm
 
Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?

Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?

Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...
Embu tufanye hatujaona hilo aliloongelea kuhusu I SO... Je, hayo mengine nayo ni uongo pia?[emoji4]
 
Kwa hiyo shida sasa ni ubalozi?!! Mnataka akae kando kabisaaa ndio mfurahi?!! Endeleeni na hizi kelele pengine Magufuli atawasikia tena.
HA ha ha ha poleni, kumbe ndevu zile ni za kupiga hela zetu. Inawezekana huna hata Michango NSSF.
Kaa pembeni kama si beneficiary.
 
Kaf
kwa taarifa yako mie ni mwenzako si mkristo. Bali hoja yangu ni watu kuwa wastahimilivu kidogo hata Kama umekereka. Fikiria wewe ukiitwa kafiri utajisikaje? Mjibu kiuataarabu si matusi. Kawaida hapa JF kumekuwepo Na wimbi la wakurupukaji wa kukanusha ila inauma pale ukweli unapojidhihirisha. Kumbuka hizi ni tetesi na zinatakiwa kuthibitishwa. Pole sana
Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.

Silimu kwanza ndio ukatae kuitwa kafiri. Usipo Silimu utaendelea kuwa kafiri mpaka kufa kwako. MwenyeziMungu akuongoze utoke kwenye ukafiri.
 
Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Na hilo ndilo kitakalompatia utetezi wa nguvu sio facts. Umeona huyo Bigie wa Mtwara alivyokuja kwa kasi? Huyo yuko tayari kumtetea hata jambazi mradi awe na hakika ni wa imani yake
 
Kaf

Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.

Silimu kwanza ndio ukatae kuitwa kafiri. Usipo Silimu utaendelea kuwa kafiri mpaka kufa kwako. MwenyeziMungu akuongoze utoke kwenye ukafiri.
Kwa hiyo wewe kama baba yako anaenda kinyume na uislamu unaweza kumuita kafiri kwa kuwa sio tusi?
 
Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?

Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?

Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...

Huona kuwa yawezekana NSSF wametapeliwa au ni mkakati wa makusudi wa kupiga hela?Usikurupuke,kumbuka nchi hii hakuna wizi usiowezekana,hata niliposikia Twiga kapandishwa ndege bila kuonekana nilibisha mwanzoni,baadae nikanywea.Hii nchi shamba la bibi
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako
Cheti iko!,
 
Huyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.

Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Teh teh kazi kweli
 
Back
Top Bottom