Mtelekezwa
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 109
- 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unafoka povu saaana,kwani unamaslahi gani na NSSF?Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...
yupo safi.na mbona hujiulizi kwa nini anatolewa maovu yasiyokuwa na uthibitisho.Sijaelewa kwanini kila uzi, unaoelezea maovu ya Dr. Dau unapata watetezi wengi
mtu kama wewe sio wa kupost kidini na kichuki.Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Ndio maana wengine wameachia ngazi kwa kunua vyeti nectaMi naona badala ya ku rule out uwezekano wa NSSF 'kununua' cheti ungemuuliza kuhusu uwezekano huo, dunia hii ina ma lobbyst bwana, hata tenda za kutengeneza silaha USA watu wana lobby itakuwa cheti cha ISO, kuna binadamu wengine wana uwezo kushinda upeo wa fikra zako, mpe mtoa hoja benefit of doubt upate kufahamishwa
Sikueleweka na wengi nilipotumia neno imani likaunganishwa na dini yake..hilo ndio tatizo kubwa..kuna mtu alifikia hatua ya kuniita kafirimtu kama wewe sio wa kupost kidini na kichuki.
Sijaelewa kwanini kila uzi, unaoelezea maovu ya Dr. Dau unapata watetezi wengi
haina ushahidi unaojitosheleza, si vibaya ukaja na ushahidi wa idadi ya waislamu na wasio waislamu pale nssf. au uantaka kusiwe na waislamu kabisa ndio uone rahaaaa.. acha roho ya mbayavipi kuhusu ile kashfa ya udini pale nssf
Sijaelewa kwanini kila uzi, unaoelezea maovu ya Dr. Dau unapata watetezi wengi
na hatutaweza kuacha kumjadili mtu muovu kwa kuhofia dini yake .Tatizo mnachukia mtu kwa sababu ya dini yake.this is not fair
sababu ni nyuzi za kimajungu , BoT watu wanakula mishahra zaidi ya miaka sita lakini magu amelipotezea
Amejiondokea kivipi! ?Bado mnae tu??!! Tatizo ni nini? Mbona ameshajiondokea NSSF baba wa watu!
Wanasifa za kielimu/wamesoma.Mbona wamezidi sana.
Anayehisi cheti kinatolewa kimagumashi ni Dr.dau aliyempangia tapeli chumba hoteli ghali ili apewe ISO na wala sio mleta uzi...so ficha ujinga na ukuwadi kutetea weziYeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...
Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...