kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
vipi kuhusu ile kashfa ya udini pale nssf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu nimeandika ni mteule wa Kikwete? Soma tena msg yangu.Dr.Dau sio Mteule wa Kikwete. Aliteuliwa na Rais Mkapa kwa ushauri wa Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Ndg Martin Lumbanga. Rekebisha taarifa yako.
Itoshe tu kumwita mwizi na fisadi tuWakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.
Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.
Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.
Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.
Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Wewe wacha kujibaraguza maana elimu yako ni ile ya kuchimba ming'oko..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani
Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz
Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi
Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi
Ficha upumbavu wako
Lakini at a poker mshahara na marupurupu ya balozi.Dr Ramadhan Day ni Balozi katika nchi gani mkuu? Kuwekwa benchi si lazima uambiwe mkuu! Atasugua benchi pale wizara ya mambo ya nje mpaka umri wa kustaafu ufike,
umeandika kisomi sana .Mkuu siwezi kuchukia waislam nachukia wadini labda tuseme na wabaguzi fanya tathmini why dau n not some1 else is he the most muslim tha the others?
SASA UNAPANIKI NN?..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani
Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz
Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi
Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi
Ficha upumbavu wako
Kwa hiyo shida sasa ni ubalozi?!! Mnataka akae kando kabisaaa ndio mfurahi?!! Endeleeni na hizi kelele pengine Magufuli atawasikia tena.SASA UNAPANIKI NN?
ISO siyo Mchezo kuipta ktk Taasisi za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. PPF wanayo mkuu.
Tulia dawa iingie polepole. Jamaa kafuja hela huenda ubalozi pia ukaota mbawa make atahitajika cello.
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.
Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.
Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.
Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.
Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Mkuu tuletee taarifa rasmi kutoka Real Madrid inayoelezea hayo otherwise. Tusipende kujadili majungu na umbeyaInaonekana una taarifa za kutosha kuhusu mambo ya NSSF. Vipi tuhuma kwamba NSSF iliingia mkataba na mwakilishi feki wa Real Madrid? Kwamba Real Madrid wamekanusha kutokuwa na mkataba wowote na NSSF na wanaishtaki NSSF kwa kutumia jina la Real Madrid vibaya? Ni kweli?
Tatizo mnachukia mtu kwa sababu ya dini yake.this is not fairvijana wanamtetea Dau kuliko hata dini ya Mwenyezi Mungu !
Hahahaaaaa....Ijumaa siku mbaya kivipi mkuu?Uzi huu umeuleta siku mbaya sana ! subiri moto wake , sema mimi nakuombea ulinzi wa Mungu tu .
Hahahahaha... Umeishiwa hojaHutaki hulazimishwi