Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Dr.Dau sio Mteule wa Kikwete. Aliteuliwa na Rais Mkapa kwa ushauri wa Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Ndg Martin Lumbanga. Rekebisha taarifa yako.
Kuna sehemu nimeandika ni mteule wa Kikwete? Soma tena msg yangu.
 
Unapotumbuliwa nyuma yako watu kibao wanaathirika,hasa wakati unao subiri kupangiwa kazi nyingine mengine yanaibuka zama zimebadilika hakuna kubebana.
 
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Itoshe tu kumwita mwizi na fisadi tu
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako
Wewe wacha kujibaraguza maana elimu yako ni ile ya kuchimba ming'oko
 
Dr Ramadhan Day ni Balozi katika nchi gani mkuu? Kuwekwa benchi si lazima uambiwe mkuu! Atasugua benchi pale wizara ya mambo ya nje mpaka umri wa kustaafu ufike,
Lakini at a poker mshahara na marupurupu ya balozi.
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako
SASA UNAPANIKI NN?
ISO siyo Mchezo kuipta ktk Taasisi za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. PPF wanayo mkuu.
Tulia dawa iingie polepole. Jamaa kafuja hela huenda ubalozi pia ukaota mbawa make atahitajika cello.
 
Bado mnae tu??!! Tatizo ni nini? Mbona ameshajiondokea NSSF baba wa watu!
 
SASA UNAPANIKI NN?
ISO siyo Mchezo kuipta ktk Taasisi za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. PPF wanayo mkuu.
Tulia dawa iingie polepole. Jamaa kafuja hela huenda ubalozi pia ukaota mbawa make atahitajika cello.
Kwa hiyo shida sasa ni ubalozi?!! Mnataka akae kando kabisaaa ndio mfurahi?!! Endeleeni na hizi kelele pengine Magufuli atawasikia tena.
 
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.



Mtoto wa Kiume haitakiwi kutoa Taarifa za "INASEMAKANA" huo ni Umbea Mkuu. Acha kukaa na dada zako jikoni
 
Inaonekana una taarifa za kutosha kuhusu mambo ya NSSF. Vipi tuhuma kwamba NSSF iliingia mkataba na mwakilishi feki wa Real Madrid? Kwamba Real Madrid wamekanusha kutokuwa na mkataba wowote na NSSF na wanaishtaki NSSF kwa kutumia jina la Real Madrid vibaya? Ni kweli?
Mkuu tuletee taarifa rasmi kutoka Real Madrid inayoelezea hayo otherwise. Tusipende kujadili majungu na umbeya
 
Back
Top Bottom