Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Ushauri wa marehemu Dr omary through kitwana kondo

Kitwana Kondo akiwa Mbunge wa Kigamboni anamshauri Makamu wa Rais Hayati Dr. OMAR amwambie Rais Mteue Ramadhani Dau awe DG wa NSSF tena Rais mwenyewe Mkapa!!! HAHAHAH. Baada ya kuwakosoa kuwa Dau hakuteuliwa na Kikwete hapahapa mnabadilika mnakuja na ngonjera mpya japo umesahau kusema Kikwete alimshauri Kitwana kondo amwambie Dr.Omar amwambie Mkapa amteue Dau. Upo radhi kutuaminisha kuwa Mkapa alikuwa Rais karatasi na kusingizia hata mtu aliekufa ili kuonesha tu kuwa alishinikizwa kumteua Dr.Dau!
 
Kitwana Kondo akiwa Mbunge wa Kigamboni anamshauri Makamu wa Rais Hayati Dr. OMAR amwambie Rais Mteue Ramadhani Dau awe DG wa NSSF tena Rais mwenyewe Mkapa!!! HAHAHAH. Baada ya kuwakosoa kuwa Dau hakuteuliwa na Kikwete hapahapa mnabadilika mnakuja na ngonjera mpya japo umesahau kusema Kikwete alimshauri Kitwana kondo amwambie Dr.Omar amwambie Mkapa amteue Dau. Upo radhi kutuaminisha kuwa Mkapa alikuwa Rais karatasi na kusingizia hata mtu aliekufa ili kuonesha tu kuwa alishinikizwa kumteua Dr.Dau!
Hutaki hulazimishwi
 
..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani

Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz

Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi

Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi

Ficha upumbavu wako

Mi naona badala ya ku rule out uwezekano wa NSSF 'kununua' cheti ungemuuliza kuhusu uwezekano huo, dunia hii ina ma lobbyst bwana, hata tenda za kutengeneza silaha USA watu wana lobby itakuwa cheti cha ISO, kuna binadamu wengine wana uwezo kushinda upeo wa fikra zako, mpe mtoa hoja benefit of doubt upate kufahamishwa
 
Hutaki hulazimishwi

Unapoleta Uongo JF tofautisha na Ma group yenu ya Wasap. Mara kateuliwa na Kikwete mara Kateuliwa na Mkapa kwa ushauri wa Dr. OMAR na Kitwana Kondo. Kipi sasa kati ya haya mawili mlikuwa Mnasema uongo turekebishe Hansard yetu tuendelee na mjadala?
 
Pamoja na kwamba siungi mkono hoja iliyo mbele yetu. Nakuomba uwe mstahamilivu kidogo maana hoja hujibiwa kwa hoja si matusi.
Hivi kuna hoja yoyote hapo???

Kuna hoja isiyo na ushahidi hata mmoja??

Katika tuhuma zote mleta mada alizo ziweka kuna ushahidi hata wa kuunga unga???


Mbona makafiri mna tapatapa sana???
 
Kutetea dini ya Mwenyezimungu ni pamoja na kutetea ukweli.kwanini hupendi Dau akitetewa jee mwenye kutetewa anatakiwa awe vipi? Sio Dau tu hata Nehemea Mchechu huwa namtetea sana to dhidi ya Uongo na Fitna na hata wewe ukisingiziwa nitakutetea.
sitaki kutetewa na wanafiki .
 
The big show unapanic nn bro au kisa mtu wenu kaguswa acheni kumtisha mleta uzi, ni bora ukafa kwa kusema ukweli kuliko kufa na ukimwi,siku ikijulikana kuwa ni kweli hizi tuhuma tunaomba uje umwage hiyo mitusi yako tena humu kama ulivyofanya leo humu .
Siku ukweli wote kuhusu ufisadu Wa dau utawekwa wazi nchi itatikisika. Mfano uhusiano Wa dr dau na kampuni ya derm yenye majengo manne marefu pale makumbusho, ni balaa tupu. Huyu jamaa anatakiwa asiwe uraiani, wanafungwa maisha waliosafirisha murungi 20kg!
 
Hivi kuna hoja yoyote hapo???

Kuna hoja isiyo na ushahidi hata mmoja??

Katika tuhuma zote mleta mada alizo ziweka kuna ushahidi hata wa kuunga unga???


Mbona makafiri mna tapatapa sana???
kwa taarifa yako mie ni mwenzako si mkristo. Bali hoja yangu ni watu kuwa wastahimilivu kidogo hata Kama umekereka. Fikiria wewe ukiitwa kafiri utajisikaje? Mjibu kiuataarabu si matusi. Kawaida hapa JF kumekuwepo Na wimbi la wakurupukaji wa kukanusha ila inauma pale ukweli unapojidhihirisha. Kumbuka hizi ni tetesi na zinatakiwa kuthibitishwa. Pole sana
 
Sasa hivi tujadili ya TANESCO



tanesco-1-png.329206


tanesco-2-png.329207

tanesco-3-png.329211

tanesco-4-png.329212


tanesco-5-png.329216

tanesco-6-png.329217

tanesco-7-png.329218

tanesco-8-png.329219


Attached Files:
 
Tujadili trilion 4.6 zilizolipwa kwa makampuni ya kufua umeme chini ya wataalamu wasomi
source : NIPASHE
 
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.

Ulitaka Mzee Dau asichangamkie yaliyo wazi?
Mbona hata mkuu wa kaya alikuwa hivyo.
 
Huyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.

Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Mi huwa sielewi kwa nini iwe NSSF na si Chombo kingine suala la udini halijaanza leo ndani ya hicho Chombo cha umma . Hata mchakato wa ajira ndizo zilikuwa nyimbo . Hatuangalii Kama mhusika ni wa dini gani ila kwa Enzi tulipo nazo watu wa hivi ni hata nyumba kumi hawafai
 
Ushahidi huo una nguvu vijiweni kwenye System ilishafuatiliwa ikagundulika kwenye
1) Management level (Directors hawajafikia 50%) na hata humu Management ya NSSF iliwekwa.
2) Kwenye kazi za kila siku (Operation level) Waislam NSSF ni 41%.
3) Kwenye Zabuni walizopewa Waislam hazifiki 35%
4) Kwenye Corporate Social Responsibility (CSR) na Miradi mingine ya kimaendeleo iliangaliwa pia kama kuna upendeleo kwa maana ya kuangalia maeneo ya Waislam kupewa kipaumbele pia hakuna hilo.
5) Hoja ya kusema hupati Field bila ya kuvaa Hijabu huhitaji kumuuliza Rafiki yako nenda ofisi yoyote ya NSSF halafu omba kuwaona wanafunzi wa Field tazama kama wasichana/Wanawake wote wamevaa hijabu? Tuwe tunajiongeza sometime ni sawa na mimi niende CRDB Azikiwe nione hakuna Binti kwenye Hijabu niende kusema Kimei Mdini. Kuna Waislam wengi wameomba kazi NSSF na wamekosa jee nao walalamikie "Udini" wa Dr. Dau?.


Sheikh naona unapanic sana lakini lisemwalo lipo sheikh hata ukibisha vipi hata kuweka mskiti nssf sio udini???dah kwanini dau aandamwe kwani ndio muislam pekee anaeendesha shirika??? Ila sio vibaya apeleke Saudi Arabia au afghanistan kuwa balozi
 
Back
Top Bottom