Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Noted...!!!Huyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.
Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted...!!!Huyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.
Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Hivi kupata chetu si kunahitaji maandalizi?mi nadhani mleta uzi alimaanisha TENDA ya kuandaa Nssf kupewa ISO ndo akipewa mtoto wake,maanake kuelekezaa cha kufanya ili ISO ipatikaneHata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.
Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.
Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.
Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.
hapo kwenye kampuni ya ulinzi nitakuunga mkono kuna kampuni inayolinda majengo yao inaitwa OPTIMA ni kampuni ambayo haina vigezo vya kuitwa kampuni ya ulinzi kulinda mali za shirika kubwa kama nssfWakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.
Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.
Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.
Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.
Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Ni Mpumbavuu
Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...stupid kbs
Ukila tu lazima uteteee tumekujuwa ilooooooooooooo, tulia utumbuliwe
Uzi huu umeuleta siku mbaya sana ! subiri moto wake , sema mimi nakuombea ulinzi wa Mungu tu .
Kwa sasa si kweli mpaka iwe kweli,Yatajulikana tu. Hata akiuficha upumbavu wake, kama ni ya kweli yatafahamika kupitia angle nyingine. Tusubiri tuone.
Dr.Dau anatupiwa shutuma nyingi sana lakini bahati Mbaya wanaorusha hizo tuhuma hawana hata his Preliminary knowledge ya kupika Propaganda, Ngoja niwasaidie.
1. Ukisema Mtoto wa Dau anaeishi UK kapewa Tenda jaribu walau kutaja Jina la mtoto huyo kusaidia vyombo vya Upepelezi wajue pa kuanzia.
2 Taja walau jina la hiyo kampuni ili iwe rahisi kuifuatilia hata kama watakuwa wametumia jina tofauti pia onesha kiasi walicholipwa walau tupekue kwny Cashbook .
3. Msipofanya hivyo mkawa mnarusha tu kashfa za jumla jumla taratibu mnakuwa mnamsafisha Dr.Dau bila ya kujijua maana kazi zake zinaonekana kwa ushahidi lakin tuhuma zinakuwa kwny Mitandao tu hakuna anaejitokeza Front na ushahidi thabiti.
Tumsaidie Raid Magufuli tusiwe kama Meya wa Kinondoni na Mbunge wa Ubungo waliomchafua sana Makonda Mwishowe Rais alipofuatilia shutuma zake akamteua kuwa RC Mwenye umri mdogo zaid kwa kuwa aligundua ni Majungu.
H
hapo kwenye kampuni ya ulinzi nitakuunga mkono kuna kampuni inayolinda majengo yao inaitwa OPTIMA ni kampuni ambayo haina vigezo vya kuitwa kampuni ya ulinzi kulinda mali za shirika kubwa kama nssf
Mkuu mtoa uzidi kaahidi kuleta data kamili wacha tuwe wavumilivu muda ni hakmu mzuri
porojo nyingi bila ushahidi.....
Tulia sheikh wangu usiwe na haraka mtoa uzi kasema ataleta data kamili tumpe muda kidogoporojo nyingi bila ushahidi.....
Mkuu hata ile ya udini pia utasema propaganda,Fuatilia thread zote kuhusu kashfa za Dau huishia hivyo hivyo. Ubadhirifu sio breaking news kama kuungua jengo au ajali kwa nini usikamilishe Taarifa ukaileta kamili?
vijana wanamtetea Dau kuliko hata dini ya Mwenyezi Mungu !Mkuu mtoa uzidi kaahidi kuleta data kamili wacha tuwe wavumilivu muda ni hakmu mzuri
subiri uambiwe leta ushahidi .Mkuu hata ile ya udini pia utasema propaganda,
Nina rafiki yangu wa karibu kwao wanagawanyika pande mbili??mdogo wake alitafuta field NSSF kaambia lazma aWhen tempted to fight fire with fire, remember that the Fire Department usually uses water.vae ushungi la sivyo field hapati pale upo mkuu???...theis is from people i know