Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Tetesi: Dau alitoa tenda kwa familia yake

Hata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.

Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.

Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.

Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.
Hivi kupata chetu si kunahitaji maandalizi?mi nadhani mleta uzi alimaanisha TENDA ya kuandaa Nssf kupewa ISO ndo akipewa mtoto wake,maanake kuelekezaa cha kufanya ili ISO ipatikane
 
H
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.

Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.

Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.

Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.

Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
hapo kwenye kampuni ya ulinzi nitakuunga mkono kuna kampuni inayolinda majengo yao inaitwa OPTIMA ni kampuni ambayo haina vigezo vya kuitwa kampuni ya ulinzi kulinda mali za shirika kubwa kama nssf
 
Ni Mpumbavuu

Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?

Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?

Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...stupid kbs

Inaonekana una taarifa za kutosha kuhusu mambo ya NSSF. Vipi tuhuma kwamba NSSF iliingia mkataba na mwakilishi feki wa Real Madrid? Kwamba Real Madrid wamekanusha kutokuwa na mkataba wowote na NSSF na wanaishtaki NSSF kwa kutumia jina la Real Madrid vibaya? Ni kweli?
 
Ukila tu lazima uteteee tumekujuwa ilooooooooooooo, tulia utumbuliwe

Achaujinga wa kushabikia vitu msivyo vijua ndio maana watanzania tunapata shida ya kuwashughuli hawa mafisadi kwa sababu ya kukosa taarifa za kutosha zenye uhakika ndio maana hawa mafisadi hawa ogopi kuendelea kuiba.

Kwasababu ya sisi kushabikia upumbavu wanatumia nafasi hii kutukwepa hata kama kweli waliiba.
 
Dr.Dau anatupiwa shutuma nyingi sana lakini bahati Mbaya wanaorusha hizo tuhuma hawana hata his Preliminary knowledge ya kupika Propaganda, Ngoja niwasaidie.
1. Ukisema Mtoto wa Dau anaeishi UK kapewa Tenda jaribu walau kutaja Jina la mtoto huyo kusaidia vyombo vya Upepelezi wajue pa kuanzia.
2 Taja walau jina la hiyo kampuni ili iwe rahisi kuifuatilia hata kama watakuwa wametumia jina tofauti pia onesha kiasi walicholipwa walau tupekue kwny Cashbook .
3. Msipofanya hivyo mkawa mnarusha tu kashfa za jumla jumla taratibu mnakuwa mnamsafisha Dr.Dau bila ya kujijua maana kazi zake zinaonekana kwa ushahidi lakin tuhuma zinakuwa kwny Mitandao tu hakuna anaejitokeza Front na ushahidi thabiti.
Tumsaidie Raid Magufuli tusiwe kama Meya wa Kinondoni na Mbunge wa Ubungo waliomchafua sana Makonda Mwishowe Rais alipofuatilia shutuma zake akamteua kuwa RC Mwenye umri mdogo zaid kwa kuwa aligundua ni Majungu.
 
The big show unapanic nn bro au kisa mtu wenu kaguswa acheni kumtisha mleta uzi, ni bora ukafa kwa kusema ukweli kuliko kufa na ukimwi,siku ikijulikana kuwa ni kweli hizi tuhuma tunaomba uje umwage hiyo mitusi yako tena humu kama ulivyofanya leo humu .
 
Dr.Dau anatupiwa shutuma nyingi sana lakini bahati Mbaya wanaorusha hizo tuhuma hawana hata his Preliminary knowledge ya kupika Propaganda, Ngoja niwasaidie.
1. Ukisema Mtoto wa Dau anaeishi UK kapewa Tenda jaribu walau kutaja Jina la mtoto huyo kusaidia vyombo vya Upepelezi wajue pa kuanzia.
2 Taja walau jina la hiyo kampuni ili iwe rahisi kuifuatilia hata kama watakuwa wametumia jina tofauti pia onesha kiasi walicholipwa walau tupekue kwny Cashbook .
3. Msipofanya hivyo mkawa mnarusha tu kashfa za jumla jumla taratibu mnakuwa mnamsafisha Dr.Dau bila ya kujijua maana kazi zake zinaonekana kwa ushahidi lakin tuhuma zinakuwa kwny Mitandao tu hakuna anaejitokeza Front na ushahidi thabiti.
Tumsaidie Raid Magufuli tusiwe kama Meya wa Kinondoni na Mbunge wa Ubungo waliomchafua sana Makonda Mwishowe Rais alipofuatilia shutuma zake akamteua kuwa RC Mwenye umri mdogo zaid kwa kuwa aligundua ni Majungu.


Mkuu mtoa uzidi kaahidi kuleta data kamili wacha tuwe wavumilivu muda ni hakmu mzuri
 
H
hapo kwenye kampuni ya ulinzi nitakuunga mkono kuna kampuni inayolinda majengo yao inaitwa OPTIMA ni kampuni ambayo haina vigezo vya kuitwa kampuni ya ulinzi kulinda mali za shirika kubwa kama nssf



Mkuu safari moja huanzisha nyingine hhaaa kampuni hiyo ilipata tenda ya ulinzi kwa biding halali?ilifanyika lini?
 
Fuatilia thread zote kuhusu kashfa za Dau huishia hivyo hivyo. Ubadhirifu sio breaking news kama kuungua jengo au ajali kwa nini usikamilishe Taarifa ukaileta kamili?
Mkuu hata ile ya udini pia utasema propaganda,
Nina rafiki yangu wa karibu kwao wanagawanyika pande mbili??mdogo wake alitafuta field NSSF kaambia lazma aWhen tempted to fight fire with fire, remember that the Fire Department usually uses water.vae ushungi la sivyo field hapati pale upo mkuu???...theis is from people i know
 
Bwana Magori, huwezi kuzuia fao la kujitoa kwa wanachama.. wewe angalia miradi mliyowekeza kijinga isiyo na tija na mikopo mliyotoa kwa serikali bila kuangalia mnalipwaje. Usikomalie akiba za wananacha ambazo wala hamtoi riba inayoeleweka.
 
Mkuu hata ile ya udini pia utasema propaganda,
Nina rafiki yangu wa karibu kwao wanagawanyika pande mbili??mdogo wake alitafuta field NSSF kaambia lazma aWhen tempted to fight fire with fire, remember that the Fire Department usually uses water.vae ushungi la sivyo field hapati pale upo mkuu???...theis is from people i know
subiri uambiwe leta ushahidi .
 
Back
Top Bottom