Acha upuuzi uwe ukiwa unaandika kitu uwe unajiridhisha kwanza usiwe bendera fata upepo kulishwa matango pori,,Rudi kawaulize vizuri viongozi wako kiasi walichokuwa wanamlipa benchikha!Karibu mara zote Simba ndiyo imekuwa inavunja mikataba na makocha na siyo kumuuza kama ilivyotokea kwa Said Kichwa.
Pia unaposema hakuna timu Tanzania ya kumlipa kocha mshahara wa milioni 100, kwani Benchikha alikuwa analipwaje?
Kumbe ni kamdomo,, hizi timu bado ni masikini ila sisi mashabiki huwa tunajitoa ufahamu. Tukienda pale Congo tukachukuwa wale wachezaji wa mkopo na magumashi tunajiona ni wakubwa sana. Ila kiuhalisia timu zetu bado sana kwenye suala la kiuchumi. Haya mamb ya kumtegemea MO na GSM hatutafika.Akuna timu Tanzania inayoweza kumlipa kocha million 100 kwa mwezi izo nyingine uwa ni mbwembwe tu
Au siyo?Acha upuuzi uwe ukiwa unaandika kitu uwe unajiridhisha kwanza usiwe bendera fata upepo kulishwa matango pori,,Rudi kawaulize vizuri viongozi wako kiasi walichokuwa wanamlipa benchikha!
Hizo ni hisia zako za kikolokolo siwezi kukukatalia kwa maana mpo wengi wa dizaini yako,,unaleta nujumu na hadithi za kufikirika bila fact!Usibadili upepo. Hiyo ni biashara ya Hersi na huyo Said Kichwa.
Ngoja nikusanue kilichotokea maana wewe unaendeshwa na mahaba. Hersi alimfukuza Gamondi katika mazIngira ya kutatanisha ili amsajili Said Kichwa (na mkataba usukwe kimagumashi vilevile) halafu amtengenezee rekodi za kikayoko kwa kipindi kifupi wakati huo huo aombe kazi huko kwa Waarabu.
Walijua wakimchukua ni win-win kwa pande zote, Hersi anapata pesa na Said Kichwa anapata mshahara bora zaidi ila huyo hafiki miezi 6 huko CRB wanamtimua.
Ona topolo mwingine huyu, kocha huwa anauzwa?Kwahiyo Yanga shida Yao sio mafanikio kimataifa Bali kuuuza wapate mpunga?
Hadithi za kutunga wakati nilisema Gamondi anaenda kutimuliwa na nikatoa sababu na ndani ya wiki mbili akatimuliwa.Hizo ni hisia zako za kikolokolo siwezi kukukatalia kwa maana mpo wengi wa dizaini yako,,unaleta nujumu na hadithi za kufikirika bila fact!
Akuna unachokijua zaidi ya kurukia rukia mambo ndio maana nakwambia unapoandika kitu usiandike kufurahisha genge,,kwa masndiko yako ayo inaonyesha ulivyo mweupe,,Saed ameondoka kwa makubaliano na vipengele vya mkataba wake vimemruhusu kufanya hivyo na yanga wameridhia,,icho unachokifikiria wewe kichwani mwako ni cha kwako usilete upotoshaji hapa!Hadithi za kutunga wakati nilisema Gamondi anaenda kutimuliwa na nikatoa sababu na ndani ya wiki mbili akatimuliwa.
Nikaja kusema Said Kichwa hafiki siku ya wapendanao, na hili nimelisema zamani sana nalo limeenda kutimia.
Naijua uto kukuzidi wewe unayeishabikia.
Kwa ufafanuzi walioutoa Yanga ni kama wamemuuza Kocha wao Rudi kasome vizuri barua ya ufafanuzi ya Yanga.Ona topolo mwingine huyu, kocha huwa anauzwa?
Hawamtaki tuu kochaHuwa tunambiwa hii timu kwasasa Ina pesa, jeuri na kiburi, inaweza kushindana na vilabu vikubwa vya Afrika, imekuaje imeshindwa kumzuia huyu kocha asiondoke?
Hersi anaenda kuwa bilionea ndani ya miaka hii 3 kwa sababu ya vyura kama nyie.Akuna unachokijua zaidi ya kurukia rukia mambo ndio maana nakwambia unapoandika kitu usiandike kufurahisha genge,,kwa masndiko yako ayo inaonyesha ulivyo mweupe,,Saed ameondoka kwa makubaliano na vipengele vya mkataba wake vimemruhusu kufanya hivyo na yanga wameridhia,,icho unachokifikiria wewe kichwani mwako ni cha kwako usilete upotoshaji hapa!
Haituhusu.Usibadili upepo. Hiyo ni biashara ya Hersi na huyo Said Kichwa.
Ngoja nikusanue kilichotokea maana wewe unaendeshwa na mahaba. Hersi alimfukuza Gamondi katika mazIngira ya kutatanisha ili amsajili Said Kichwa (na mkataba usukwe kimagumashi vilevile) halafu amtengenezee rekodi za kikayoko kwa kipindi kifupi wakati huo huo aombe kazi huko kwa Waarabu.
Walijua wakimchukua ni win-win kwa pande zote, Hersi anapata pesa, anaweka mfukoni mwake na swahiba wake Said Kichwa anapata mshahara bora zaidi ila huyo hafiki miezi 6 huko CRB wanamtimua.
Utafungwa wewe na vibaraka wako but sio yanga,,jiweke bond we mwenyewe kama una uhakika wa yanga kufungwa!Hersi anaenda kuwa bilionea ndani ya miaka hii 3 kwa sababu ya vyura kama nyie.
Ukitaka nikwambie huyo Hamadi atadumu muda gani niambie nikujulishe. Na leo mnafungwa!
Uhakika huu hapa. Hamadi Kibindoni kaja na kibegi cha mwanafunzi wa la 3C. Anajua hafiki sherehe za Muungano akiwa hapo vyurani.Utafungwa wewe na vibaraka wako but sio yanga,,jiweke bond we mwenyewe kama una uhakika wa yanga kufungwa!
We endelea kujitekenya na kucheka mwenyeweUhakika huu hapa. Hamadi Kibindoni kaja na kibegi cha mwanafunzi wa la 3C. Anajua hafiki sherehe za Muungano akiwa hapo vyurani.
View attachment 3225940