Mimi binafsi sishangai watu kutoamini hii taarifa. Hii ni kwa sababu tumekuzwa katika mfumo ambao hatukuzoea kumuamini mtu mwingine isipokuwa serikali. Ndio maana MKJJ alituonya kuhusu Amina tukamkatalia na kumkebehi lakini waliposema serikali ndio tukakubali. Vilevile tulijua kwamba mwalimu alifariki siku kadhaa lakini hatukuamini hadi tulipoambiwa na Mkapa! Hapa nako tunasubiri kuambiwa na akina Salva ndipo tukubali kwamba Balali kafa. Ndivyo mifumo ya kifashisti na kidikteta inavyofanya kazi: kuhakikisha kwamba ni serikali tu ndiyo inayokuwa na monopoly ya habari. Tuendelee kuwasubiri akina Salva.
Kitila mkuu sii kwamba siamini ila tuu hapa kumetokea mchezo naamini kabisa huju jamaa kafa na ninaamuni kabisa serikali ndio imemuua kutokana na hizi episods hapo chini hebi zisome
--------------------------------------------------------------------------------
Jamani someni hapa ili mjue ni kiasi gani serikali ilikuwa inatuandaa na taarifa za ukatili huu au uongo huu kwa wananchi wake
SERIKALI DAMU YA BALALI IMEBAKI MIKONONI MWENU mmezoea sana nyinyi kuua, kolimba, mtoto wa malechela, amina chifupa na wengine weeeeeeeeeeeeeeeeeengi sana kwaharaka siwezi kuwakumbuka sasa this has to be put to an END, hata mtuhumiwa nahaki ya kuishi
KIKWETE nakuona sana jinsi unavyotafuta sifa za kinataifa na kujisafisha kwaajili ya 2010. kwa hili la BALALI UMEJIHARIBIA,KABISA, TRUST ME.............amasivyo ongea
ni kwanini MKULO alisema alienda kumtafuta nani alimtuma, na alienda kumtafuta yeey kama nani
Salva alikuwa anamaana gani kusema serikali hainahaja ya kumtafuta BALALI na kwamba wakimuhitaji watampata
na kama milivotutangazia kwamba hamumtafuti kwanini makachero walienda kumtafuta kimya kimya bila huyo Salva kutangaza
Na mwisho kabisa mara gafla wakati kisunguzungu huchi cha Mkulo na Salva hakijaeleweka BALALI awe amekufa??????????