jamani leteni mambo kabla ishu haijapoa
Damn, this is shocking!!!! Anyway, the writing was on the wall...
mwanakijiji alitengeneza "logic" yake watu wakavimbisha misuli ya kichwa kwamba analeta uzushi.Hapa ni JF bwana, lisemwalo lipo kama halipo halisemwi!
Mzee Mwanakijj,Ya'll think you got the big story? the real strory is behind it... just wait few days (labda hadi Ijumaa) then the shock of the year.... the proverbial "putting the other foot down"...situation.
Mshawahi kuona mtu mzima anajishika kichwa na kulia "mama weeee"?
Niwaache na habari yenu, I'm finishing my story as commemorate the death of over 1000 Tanzanians 12 years ago.
Sasa wakuu hebu tuwe watu wazima, according to the dataz........Mkono ndiye mwanasheria wake mpaka hii leo, yaani oficially!
Sasa hebu waandishi mtafuteni Mkono, ili aseme kama client wake amekufa, maana ninajua kuwa majuzi alionekana mahali akibadilisha vitambulisho, ambavyo ndani yake ameweka jina jipya, tuache uvivu ndugu zetu wa media mtafuteni Mkono....!
Kama hii ni kweli, Mungu ana kadi ya CCM!
Sasa mzee Field Marshall unatueleza kwamba Mkono ndiye mwanasheria wa Marehemu..... Inakuaje kuaje Personal Lawyer wa Gavana wa central bank akawa pia ndiye official lawyer wa Central Bank? Mimi naona kuna dirty game hapa ilikuwa ikiendelea.
I know humu JF kuna wanasheria wengi. Embu tusaidieni jamani; Hivi kuna kifungu chochote cha kisheria ambacho kinaweza tumika kumweka bwana Mkono into task kwamba yeye kama registered lawyer, kulingana na conflict of interest clause yoyote (kama ipo) alipaswa kukataa mojawapo ya majukumu niliyoyataja hapo juu? This does not make any sense at all to a lay person like me!!!!!!!! Ebu wanasheria mtusaidie kwenye hili. Hata kama Balali amekufa, bado Mkono kama mwanasheria inambidi atupe majibu ya kueleweka kama kweli kuna kifungu cha sheria alichokikiuka. Ikiwezekana avuliwe uanasheria kabisa... This is NONSENSE!!!!!
JK kumbe kichwa! aliweza kujua kama balali atakufa within six months baada ya kamati ya EPA! kweli tanzania tunawataalamu wa mambo ya sumu!
Jamani nammiss sana Mwafrika wa kike na changamoto zake hapa, hii ni habari nzito sana lkn simuoni
MwFk,
Mchango wako unahitajika hapa
Ya'll think you got the big story? the real strory is behind it... just wait few days (labda hadi Ijumaa) then the shock of the year.... the proverbial "putting the other foot down"...situation.
Mshawahi kuona mtu mzima anajishika kichwa na kulia "mama weeee"?
Niwaache na habari yenu, I'm finishing my story as commemorate the death of over 1000 Tanzanians 12 years ago.