jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Halafu Invisible naomba unijibu maswali haya kama ukiweza..
Hapa unaisemea serikali ama familia?
Kwasababu ni lazima kuwe na taarifa za familia na za serikali!
Je alikufa lini?
Walikuja kumkamata ama kuja kupewa taarifa za kifo?
Mwili wake uko wapi?
My take: Inawezekana mpango wa kufake death ulikuwepo na wakawa wanataka kubuy time kiaina!
Ila ndugu zangu ni vile hamuelewi jitihada zinazofanywa na members wengine hapa ili tuhakikishe kuwa JUSTICE IS TO PREVAILS!
Nani alisema we dont want Balali dead or alive?
Nani aliyesema kuwa miili ya watuhumiwa huwa haitakiwi tena?
Hapa unaisemea serikali ama familia?
Kwasababu ni lazima kuwe na taarifa za familia na za serikali!
Je alikufa lini?
Walikuja kumkamata ama kuja kupewa taarifa za kifo?
Mwili wake uko wapi?
My take: Inawezekana mpango wa kufake death ulikuwepo na wakawa wanataka kubuy time kiaina!
Ila ndugu zangu ni vile hamuelewi jitihada zinazofanywa na members wengine hapa ili tuhakikishe kuwa JUSTICE IS TO PREVAILS!
Nani alisema we dont want Balali dead or alive?
Nani aliyesema kuwa miili ya watuhumiwa huwa haitakiwi tena?