kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 239
Hakuna jambo baya kama unafiki. Nilitarajia wanajambo kuruka kwa furaha kwa fisadi kuondoka. Wizi alioufanyia nchi umeua watoto wangapi pale muhimbili na kwingineko? Barabara mbovu ngapi zimeua watu? dawa mbovu kiasi gani wamekunywa watanzania, mwacheni afe tena bila huruma.
Swala la kumwonea huruma hakuna kabisa! alijua wizi alikaa kimya aliiba.
Familia yake wacha ilie tena sana kwani ilitutesa sana kwa kula jasho la masikini, tena lieni na msipate huruma ya mtu kwani nani anayemuonea huruma yule aliyefiwa muhimbili, bali mmekula fedha zote za dawa za nndugu zao. nanyi mtakufa bila heshima hayo ndio malipo ya mafisadi.
Mtakufa kama iddi amini mtazikwa kama wezi kwa kificho.
mtakufa kama mobutu mtazikwa bila heshima
watanzania watavunja makuburi yenu kwani hamtakuwa nathamani tena.
kama wanauana poa tu kwani hata wauza unga mwishowe ni kuuna.
bado anafuata Chenge, karamagi, mgonja, mkapa, mramba nk.
waonyesheni furaha kwamba hata wasipo wafikisha kwenye sheria mungu atatusaidia. ditopile aliua akabwebwa na kikweke mwambieni sasa akambebe kaburini.
swala la kwamba angetoa ushahidi hilo lisingetokea kamwe, kwani mwizi ni mwizi tu.
Mungu mwenye huruma anasikia kilio cha waja wake. tumwombe Mungu hata kizazi chao kisile fedha zetu walizoficha ulaya.
kifo tu ndio silaha ya masikini,Mungu tusaidie.
siku moja watanzania wake kwa waume watakwenda kuchukua mali walizoibiwa. Mungu atawaongoza na mabomu ya machozi wala ya moto hayatafanya kazi.
wafe wote tanzania ianze upya.
Swala la kumwonea huruma hakuna kabisa! alijua wizi alikaa kimya aliiba.
Familia yake wacha ilie tena sana kwani ilitutesa sana kwa kula jasho la masikini, tena lieni na msipate huruma ya mtu kwani nani anayemuonea huruma yule aliyefiwa muhimbili, bali mmekula fedha zote za dawa za nndugu zao. nanyi mtakufa bila heshima hayo ndio malipo ya mafisadi.
Mtakufa kama iddi amini mtazikwa kama wezi kwa kificho.
mtakufa kama mobutu mtazikwa bila heshima
watanzania watavunja makuburi yenu kwani hamtakuwa nathamani tena.
kama wanauana poa tu kwani hata wauza unga mwishowe ni kuuna.
bado anafuata Chenge, karamagi, mgonja, mkapa, mramba nk.
waonyesheni furaha kwamba hata wasipo wafikisha kwenye sheria mungu atatusaidia. ditopile aliua akabwebwa na kikweke mwambieni sasa akambebe kaburini.
swala la kwamba angetoa ushahidi hilo lisingetokea kamwe, kwani mwizi ni mwizi tu.
Mungu mwenye huruma anasikia kilio cha waja wake. tumwombe Mungu hata kizazi chao kisile fedha zetu walizoficha ulaya.
kifo tu ndio silaha ya masikini,Mungu tusaidie.
siku moja watanzania wake kwa waume watakwenda kuchukua mali walizoibiwa. Mungu atawaongoza na mabomu ya machozi wala ya moto hayatafanya kazi.
wafe wote tanzania ianze upya.