Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
Maneno yasiyokuwa na ushahidi kamwe hayata prevail!
Mwili bado ni ushahidi halali kwa haki ya Mtanzania!
Propaganda na ukweli vijulikane!
 
Invisible alete huo ushahidi aliodai or else hii iunganishwe na ile ya MKJJ!
 
Tuna haki ya kuwauliza wamarekani mwili na vithibitisho vya kifo!
NGOMA BADO MBICHI MNO!
MI NASUBIRI WANAO SYMPATHIZE wamalize kutoa rambirambi ili kuheshimu utamaduni wetu! wa udugu,ujamaa na urafiki wa anayedhaniwa kuwa marehemu!
Then ....
Ila ngoma bado!
 
Invisible alete huo ushahidi aliodai or else hii iunganishwe na ile ya MKJJ!

Mushi sidhani hata kidogo Invisible anaweza kuleta info zisizo kweli hapa. I mean the whole blog site will go down the tubes with him. Hawezi kujifanyia vibaya hivyo.
 
Niliwapigia ubalozi simu!
Wao nao hawajui kuwa Balali kafa?
Mbona ndugu yetu Joseph Sokoine hakututaarifu?
Je ni kweli mtu mzito kama Balali anaweza kufa na wao ubalozi usijue?
 
...duuh, jmushi1 kwa speed ya kupost hatukuwezi mkuu!! naona umeamua kumkoma nyani kikwelikweli.......

I am very concerned ndugu yangu na i wish i was dead or unaware of such injustices!
Its Trully unbelievable that there are some people trully believe that we are idiots!
 
Ndugu wananchi kwasababu anayedaiwa kuwa marehemu alikuwa ni mtuhumiwa..Then tuna kila haki ya kuuhitaji ushaidi wa mwili wa marehemu kabla hatujaamua kufunga makabrasha yetu!
 
....exceedingly interesting, walikufa mitume wa mungu ndio itakuwa Balali!!! mungu amrehemu, na mungu huyo huyo atusaidie turudushiwe vijisenti vyetu....amen!!
wkend imeanza jumanne/jumatano....memorial day wkend!!!
 
"There are known knowns. There are things we know that we know. There are known unknowns. That is to say, there are things that we now know we don’t know. But there are also unknown unknowns. There are things we do not know we don’t know."

By Rumsfeld

Mkuu,

Umenikumbusha huyu mzee mpenda vita!

Pia alimalizia kwa kusema, "So when we do the best we can and we pull all this information together, and we then say well that's basically what we see as the situation, that is really only the known knowns and the known unknowns. And each year, we discover a few more of those unknown unknowns".
 
Mimi naona inawezekana either wameshafake hiyo death ama ndio wanafanya hivyo!
Na hapo sasa ni kweli kuwa haki itakuwa imepotea ama uwezekano mkubwa wa kuyumbishwa.
Maswali ya mwisho mwisho ambayo labda yatatusaidia ni muda wa kifo.
Vitu ambavyo kwa harakaharaka ni haki yetu kujua ni tarehe aliyofariki,death certificate and where he actually died.
Kama madai yao ni kuwa weshamzika..Then waombe Mungu iwe hivyo!
Hapa nilipo nakeep my fingers crossed kwasababu ni wazi serikali ilikuwa ina buy time ili waweze kukamilisha mipango kama ipo!
Na kwasababu wananchi wamekuja juu...Then labda ngoma inasanuka kabla hawaja confirm kuwa deal sasa ni free of inconsistencies before they actually declare that he's dead!
Namsubiri sana Invisible kwa hamu ya khabari mpya!
 
Alipoondoka Tanzania kulikuwa na uvumi kwamba alimuachia ushahidi wote kwa maandishi kuhusiana na ufisadi uliotokea BoT mmoja wa mawakili wazuri sana Tanzania. Kama ni kweli, I hope huyo wakili baada ya mazishi na 40, na pia kupata baraka toka kwa mke na familia ya karibu ya marehemu atauweka hadharani ushahidi huo ili tujue kulikoni. Huyu jamaa kabla ya tuhuma za ufisadi kuibuka alikuwa fit kabisa, je walimpa sumu ili kumziba mdomo? maana kifo chake, kwa maoni yangu kimekuwa cha ghafla mno hasa ukitilia maanani kabla ya kuibuka tuhuma za ufisadi pale BoT hatukuwahi kusikia kama alikuwa mgonjwa kiasi hicho. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi~AMEN
 
Sasa na hao makachero waliotumwa na SIRIKALI, hawakupata hata fununu toka ubalozi wetu kwamba mgonjwa ni mahututi? Au ubalozi nao ulikuwa haujui nini kinaendelea kuhusu 'mgonjwa'. Walikuwa wapi miezi yote hii wangoje mpaka 'mgonjwa' awe mahututi ndio watume makachero?

Waungwana, tuna genge la wahuni waliovaa ngozi ya viongozi na kujifanya wanawaongoza Watanzania, lakini ukweli ni kwamba tuna genge la wahuni na mafisadi ambao wamedhamiria kufanya kila wawezalo ili kuuficha ushahidi unaohusiana na ufisadi mbali mbali unaoendelea ndani ya nchi yetu.
 
Kuna watu wanajua ama walikuwa wakijua something!
Kabla ya kasheshe hii kufikia hapa ilipofikia..Ni mimi ambaye nilikuwa nikipingwa sana na MKJJ na Mwafrika wa kike pale nilipokuwa nikimtaka Zitto afuatilie haya mambo!
Wakasema ooh ni State department ndio wamemwalika!
Na mimi nikawauliza sasa huko si ndio jikoni kabisa tunakoweza kupata msaada na kuambiwa mahali Balali alipo?
Tukabishana sana na mpaka watu wengine wakachukia na kudhani i had some personal issues with Zitto!
State Dept ndio wanaweza kutusaidia kwenye hili!
Na kama ningelijua kuwa kuna watu wanafahamu mambo ambayo hatufahamu..Then ningewabana State Dept waay before!
And who knows the result could have been the same or not?
No longer tukaanza kusikia kuwa eti Balali kafa na hatujaambiwa?
Waungwana tuweni tru hapa!
 
apumzike kwa amani

na wengine waendelee na labda labda zao.

kubwa lijalo!!1
 
Mimi naona inawezekana either wameshafake hiyo death ama ndio wanafanya hivyo!!

Labda wakamfiche Argentina

Na hapo sasa ni kweli kuwa haki itakuwa imepotea ama uwezekano mkubwa wa kuyumbishwa.

Kuyumbishwa... maybe
Haki kupotea.... i doubt


Maswali ya mwisho mwisho ambayo labda yatatusaidia ni muda wa kifo.
Vitu ambavyo kwa harakaharaka ni haki yetu kujua ni tarehe aliyofariki,death certificate and where he actually died.
Kama madai yao ni kuwa weshamzika..Then waombe Mungu iwe hivyo!

Ingekuwa amefia bongo labda lakini kama amefia huko lazima kutakuwa na records aidha ya hospitali,coroner,cemetery.....vyote hivyo ni rahisi kwenu mliyo huko kuvipata.....

Hapa nilipo nakeep my fingers crossed kwasababu ni wazi serikali ilikuwa ina buy time ili waweze kukamilisha mipango kama ipo!
Na kwasababu wananchi wamekuja juu...Then labda ngoma inasanuka kabla hawaja confirm kuwa deal sasa ni free of inconsistencies before they actually declare that he's dead!
Namsubiri sana Invisible kwa hamu ya khabari mpya!

Kama ndivyo basi Tanzania ina mtandao ambao ni mkali kuliko MAFIA au NEO CON.......INATISHA

Hebu tuache kidogo haya ma conspiracy theory mpaka tukipata confirmation zaidi
 
Sasa na hao makachero waliotumwa na SIRIKALI, hawakupata hata fununu toka ubalozi wetu kwamba mgonjwa ni mahututi? Au ubalozi nao ulikuwa haujui nini kinaendelea kuhusu 'mgonjwa'. Walikuwa wapi miezi yote hii wangoje mpaka 'mgonjwa' awe mahututi ndio watume makachero?

Waungwana, tuna genge la wahuni waliovaa ngozi ya viongozi na kujifanya wanawaongoza Watanzania, lakini ukweli ni kwamba tuna genge la wahuni na mafisadi ambao wamedhamiria kufanya kila wawezalo ili kuuficha ushahidi unaohusiana na ufisadi mbali mbali unaoendelea ndani ya nchi yetu.

Nakwambia nilipiga simu ubalozi na wakanizungusha kweli!
Nikapiga tena baada ya kuwekwa on wait mpaka nikachoka!
Then wakanitranfser kwa ndugu yetu Joseph Sokoine.
Lakini na yeye idea alizokuwa akinipa zinaonyesha kuwa bado wanataka tuendelee kuvuta muda tuu!
Sasa nachojiuliza ni muda mrefu kiasi gani wanahitaji?
 
Wakina MKJJ wanajua something..Watueleze kabla hatujavunja matanga!
Na si jambo la busara kama ni kweli kafa halafu habari zije kutolewa upya tena wakati ndugu zake walishaanza kusahau!
Wao labda weshavunja matanga na sasa sisi ndio tunaanza kuomboleza upya?
Kafa lini?
 
Eti Balali amekufa? Invisible angalia tena hizo source mkuu wangu, jina lako zito sana mkuu! Angalia nia na madhumuni ya waliokupa hizo dataz mkuu!

Maana majuzi kuna mahali alionekana akibadilisha vitambulisho vya zamani vyenye jina la Balali na kuwa jina jipya la ............!, Mkuu wangu najua kuwa wewe ni kichwa, ila kwenye hili umetapeliwa na mafisadi, unajua kuwa wana sura nyingi sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom