1.
Hapana mkuu Michael Jordan ni jina kubwa sana kwamba akitaka info yoyote alipokuwa akiishi kule Chicago, angeipata kabla ya mlalahoi kama wewe kuipata, hili ni suala la common sense sio logic zako za chooni ambazo umezizoea za kutaka kwenda kuandamana kwenye nyumba ya Balali, hivi mkuu kichwa chako kiko sawa kweli mpaka kushauri this kind of nonesense?
Hashim ni a big star habari ya utata kama hiii ambayo ni of big interest kwetu wabongo, katika kutafuta dataz kuna tunaoweza kumtumia kwa kumuomba ampigie simu Governor wa state hiyo kuhusu hii habari, usi-understimate how we get dataz mkuu huwa tunageuza mawe yote na kufika usipotegemea, lakini ningekushauri kuwa kabla hujarukia jina langu in the future hakikisha kuwa hoja yako ina angalau a common sense, kwa sababu nimeshakuambia kuwa logic zako ni very shallow kama hii uliyoiweka hapa, ni just a pure nonesense!
2.
Hapana inaelekea kuwa unamsikia tu, the man anaongea hata rais wetu at anytime, anakuja bongo kila wakati na amezungukwa na wabongo all the time isipokuwa tu akiwa anacheza mpira wake, labda wewe mkuu wangu ndio ishu za bongo zinakupiga chenga na unaonekana huna hata mahali pa ku-verfy info za bongo, kwa hiyo inabidi ulalie logic zako za chooni, mimi siwezi kum-mind a joke kama wewe mkuu that is all you are a joke, ila umegundua kuwa unaweza kuwa maarufu hapa JF kwa kujaribu kurukia rukia jina langu, ninarudia mkuu katika kutafuta dataz na info za ndani au za siri huwa tunageuza mawe yote, ishu kama hizi unahitaji kukaa pembeni tu bro!
The ishu hapa ni "kifo cha Balali" sio Filed Marshall Super Es, sasa unaona logic zinavyokupeleka pabaya wewe unafikiri inanihusu mimi, sasa kaaa pembeni ule dataz na info hapa, mimi ninasema hivi Balali hajafa, wewe unasema nini bro?
Kauli zingine hapa zinaashiria kama JF ina wenyewe kama ilivyo CCM. Tuonyeshwe mapema tu hayo mawe ya pembeni ili tuyakalie!