Ninaposoma michango mbali mbali ya wana JF na pia nikisoma magazeti mbali mbali napata kigugumizi kuamini kama Balali kweli amevuta.Lakini kwa upande mmoja nalazimika kuamini japo kiduuchu. Nafikiri ipo haja ya mwanaJF mmoja kulobby ili aweze kuhudhuria mazishi na pengine aweze kuona maiti ya Balali live ili aje hapa jamvini atuhakikishie. mtanisamehe ninakuwa Tomaso katika hili!