Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
hapana mkuu sio lazima!!
Asante YNIM,
Naona Mushi anataka kuonesha kama baadhi ya watu hapa wanaishi Mexico na kwamba hawajui namna mambo yanavyoendeshwa hapa US. Labda wewe na wenzetu kwenye medical field mumsaidie kwenye hili.
Asante