Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
wakiishiwa hoja huanza rants!

SHOOP_DA_WHOOP_SVG_TEMPLATE_by_Trudetski.png
bwahahahahaaaaaa ! na unafiki wako huo !
 
Countdown inaendelea kuanzia May 7th siku thelathini zinapungua kila siku inayopita. Hayo mengine mkuu hata wewe unaweza kufanya meanwhile ili hiyo report itoke.

Mjukumu ni mengi Mwafrika wa kike!
Ila nimejitolea kuplay part kwenye historia ya taifa langu!
 
Nilitegemea kukuona kwenye funeral home ukimshikia bango mzee Ombeni kwenye hii issue ya Balali. Kama unahitaji tiketi ya ndege utapata tu mkuu.

Ok ningeshukuru sana kama mkiituma hiyo tiketi!
Kwani nitapata nafasi ya kwenda kuwaomba msamaha wanandugu wa Ballali at the same time kuwapa ushauri wa bure kuwa ni heri washirikiane na wananchi na wanajua kuwa wana uhuru wa kufanya hivyo zaidi wakiwa hapa USA lakini hawakuchagua hilo!
Badala yake wamechagua usiri ambao unaidhalilisha familia yao!
 
Na hawa vijana kina Daudi na Muthoni ndio majina mapya ya Balali!

No nasema kulishawahi kuwa na mawasiliano kati ya hao watu through messages zinazoachwa kwenye web!
Status ya huyo mukonyi inaonekana ni mtu mzito!
Halafu ni messages zinazoonyesha kuficha ficha mawasiliano yao! Lakini web imewaumbua!
 
Kuna mtu mwenye data kuwa Ballali hakuwa hapa USA kipindi hicho cha march 2007?
 
No nasema kulishawahi kuwa na mawasiliano kati ya hao watu through messages zinazoachwa kwenye web!
Status ya huyo mukonyi inaonekana ni mtu mzito!
Halafu ni messages zinazoonyesha kuficha ficha mawasiliano yao! Lakini web imewaumbua!

Naona ndugu yangu unataka kufanya kama Republicans wanavyofanya kwa Barack Obama. Mtu yeyote hatari aliyewahi hata kusalimiana na Obama basi ni fair game kumlaumu Obama for that.

Ingawa siamini kuwa unachosema kuhusu vijana hawa na mawasiliano yao na Balali, ila sidhani kama chochote ambacho search engines zinaleta kinaweza kutumiwa moja kwa moja kumtuhumu mtu. Au unataka JF isishitakiwe na hawa ndugu?
 
Bado nasimamia maneno yangu kuwa state department ilimwalika Zitto kwenye mambo mengine na sio issue ya Balali. Kama Zitto anataka kuja kujua mambo ya Balali, anaweza pia kuomba visa upya na kuja kufanya uchunguzi huo na akaongea na FBI na vyomba vya usalama katika hili.

Bado nakuuliza swali ambalo nilikuuliza wakati ule, kama wewe unaamini kuwa State Dept inaweza kusaidia katika hili, na kwa vile nakuamini kuwa una uchungu sana na kile kilichotokea, kwa nini wewe usiwaulize hao state Department na ukaleta hapa ulichopata?

BTW, Bado kalamu yangu inasubiria kusaini hiyo petition uliyotangaza kuifanya ili kumtafuta Balali. Nitakuwa mtu wa kwanza kwenye hayo maandamano na Kesho nitakuwa DC kwenye mazishi. I hope kukuona huko ukitafuta ukweli.

1. Mtu wangu Mwafrika Wa Kike huku respond kwenye mwito wa kuandamana. Nakuita 'arm chair critic.' Mushi is one of a couple who had the balls to sign off on the rally. So do not mention no rallies baada ya kuona ishu imekufa! Hakuna muandamanaji JF hapa. Changa la macho hilo, Mwafrika wa Kike, nimelikwepa. Tuendelee...

2. State Department/FBI hawawezi ku respond kwa Mushi. Balozi Green alisema Dar-es-Salaam, na akarudia tena juzi, Serikali ya TZ ikitaka msaada kumsaka Billal watatufanyia kila kitu. Hawa ni waandishi walimuuliza whereabouts za Billal. Kwa hiyo anajua vizuri sana sana kwamba Bongo kulikuwa na outcry ya kutaka ishu ya Ballal ieleweke, lakini US wana dili na Serikali, sio na private individuals au Waandishi.

3. That goes for Wabunge too b'cos no one MP speaks for TZ. Kwa sababu US hawawezi ku respond kwa entreaties za watu zaidi ya Serikali, Mushi anajaribu kutumia informal ways kupata info, kazi ambayo Serikali hawataki kuifanya. Namsaluti huyu Mzalendo JMushi anavyo hangaika independently toka jana ku break the shroud of secrecy ya TZ govt, anapiga simu ubalozini na googling, na vile na hivi. Singlehandedly!

That is a true patriot. Wengine tuendelea kuwa wataalam wa kwenye viti tu. Fellow countryman JMushi ahsante kwa huduma yako.
 
Naona ndugu yangu unataka kufanya kama Republicans wanavyofanya kwa Barack Obama. Mtu yeyote hatari aliyewahi hata kusalimiana na Obama basi ni fair game kumlaumu Obama for that.

Ingawa siamini kuwa unachosema kuhusu vijana hawa na mawasiliano yao na Balali, ila sidhani kama chochote ambacho search engines zinaleta kinaweza kutumiwa moja kwa moja kumtuhumu mtu. Au unataka JF isishitakiwe na hawa ndugu?

Sisi tumetoa taarifa kutoka kwenye search engine ambayo ni public..Na hapa si ni public pia provided hizi info si zangu binafsi bali zilizipostiwa kwenye web?
Ballali siyo mtuhumiwa?
Sasa hao waliowasiliana naye kiaina aina wasihojiwe ama kuwa doubted?
Tena wako hapa marekani na sisi tulikuwa tukimtafuta kwa udi na uvumba!
Familia ikagoma kusema chochote,serkali pia!
Sasa hao si ndio wangeweza kutusaidia kwenye upelelezi?

NB:Halafu Kishoka alijuaje kuwa huyo Kinyaga amehamia UK?
 
1. Mtu wangu Mwafrika Wa Kike huku respond kwenye mwito wa kuandamana. Nakuita 'arm chair critic.' Mushi is one a couple who had the balls to sign off on the rally. So do not mention no rallies baada ya kuona ishu imekufa! Hakuna muandamanaji JF hapa. Changa la macho hilo, Mwafrika wa Kike, nimelikwepa. Tuendelee...

Sio lazima nirespond kwenye mwito wa Mushi ndio ionekane kuwa nafanya hii kazi. Mambo mengi nimefanya hapa JF sikufanya na Mushi. Na yeye kuna mengi tu amefanya hapa JF hakufanya na mimi.

yeye kama anataka kuandamana anaweza kufanya hivyo na sio lazima mimi na yeye tufanye kazi pamoja. Get it?

2. State Department/FBI hawawezi ku respond kwa Mushi. Balozi Green alisema Dar-es-Salaam, na akarudia tena juzi, Serikali ya TZ ikitaka msaada kumsaka Billal watatufanyia kila kitu. Hawa ni waandishi walimuuliza whereabouts za Billal. Kwa hiyo anajua vizuri sana sana kwamba Bongo kulikuwa na outcry ya kutaka ishu ya Ballal ieleweke, lakini US wana dili na Serikali, sio na private individuals au Waandishi.

Natumaini amekuelewa kwenye hili.

3. That goes for Wabunge too b'cos no one MP speaks for TZ. Kwa sababu Z. US hawawezi ku respond kwa entreaties za watu zaidi ya Serikali Mushi anajaribu kutumia informal ways kupata info, kazi ambayo Serikali hawataki kuifanya.

Hili pia naona serikali na wabunge kina Zitto wanalisoma na wanamwelewa.

Namsaluti huyu Mzalendo JMushi anavyo hangaika independently toka jana ku break the shroud of secrecy ya TZ govt, anapiga simu ubalozini na googling, na vile na hivi. Singlehandedly!

That is true patriot. Wengine tuendelea kuwa wataalam wa kwenye viti tu. Fellow countryman JMushi ahsante kwa huduma yako.

Ukipata maandishi yoyote ambayo nimwemwita Mushi sio mzalendo au kuwa sio Patriot hapa JF, nitajiuzulu rasmi leo hii hii. Sijadunisha uzalendo wake au kumwita jina lolote kinyume cha uzalendo na mimi nafurahi kuona juhudi zake.

Ninategemea kuwa the same heshima ya uzalendo itatumika pia kwangu ambaye nimetokea kuamini kuwa Balali amekufa. Kama ikigundulika hapa JF kuwa Balali hajafa, nitakuwa wa kwanza kuomba msamaha hapa. Kwa sasa nimeamini kuwa amekufa kwa sababu nimejenga imani kubwa kwa Mkjj na Invisible kwa yote ya kweli waliyoyasema hapa JF.

Asante.
 
Lol Hii kitu bado inaendelea? Ngoja nirudi kusherekea ushindi na mairish!!!
 
Sisi tumetoa taarifa kutoka kwenye search engine ambayo ni public..Na hapa si ni public pia provided hizi info si zangu binafsi bali zilizipostiwa kwenye web?
Ballali siyo mtuhumiwa?
Sasa hao waliowasiliana naye kiaina aina wasihojiwe ama kuwa doubted?
Tena wako hapa marekani na sisi tulikuwa tukimtafuta kwa udi na uvumba!
Familia ikagoma kusema chochote,serkali pia!
Sasa hao si ndio wangeweza kutusaidia kwenye upelelezi?

NB:Halafu Kishoka alijuaje kuwa huyo Kinyaga amehamia UK?

Mkuu wangu Mushi,

Hivi ni kweli ulimtafuta Balali kwa udi na uvumba na ukamkosa? Kwa hiyo unataka kusema kuwa Balali hakuwa hapa US? Wewe ulimtafutia wapi na vipi mwenzangu?

Issue ya Kishoka kumfahamu Kinyaga ni jambo la kawaida kwa waafrika kufahamiana hapa US kwenye babikyu na kwenye kubeba maboksi. Kwa nini wewe maneno yako kuhusu Kinyaga yaaminiwe zaidi ya Kishoka?
 
Mwafrika wa kike..Huko bongo wananchi walikuwa wanaambiwa wapeleke taarifa zozote zitakazoweza kusaidia kwenye uchunguzi wa mafisadi!
Nini kimefanyika?
Sasa nikimpelekea Said Mwema taarifa za kina Kinyaga na Muthoni kuwa walishawahi kuwasiana na Ballali tunyemtafuta hapa USA atafanya nini?
Kwasababu si ni wao (maofisa 7) walikuja juzi kumtafuta Ballali?
Sasa wameshatuambia kuwa walimkura ameshafariki ama akiwa mzima?
Je ni presha ya kuwaona wao iliyomuua?
 
Mkuu wangu Mushi,

Hivi ni kweli ulimtafuta Balali kwa udi na uvumba na ukamkosa? Kwa hiyo unataka kusema kuwa Balali hakuwa hapa US? Wewe ulimtafutia wapi na vipi mwenzangu?

Issue ya Kishoka kumfahamu Kinyaga ni jambo la kawaida kwa waafrika kufahamiana hapa US kwenye babikyu na kwenye kubeba maboksi. Kwa nini wewe maneno yako kuhusu Kinyaga yaaminiwe zaidi ya Kishoka?
NO!Kinyaga na Muthoni walishawahi kuachiana messages kwenye web!
Sasa kosa langu wapi hapo!?
Mimi sijui kama wanafahamiana..Ila wameshawasiliana kama vile watu wanaofahamiana!
 
NO!Kinyaga na Muthoni walishawahi kuachiana messages kwenye web!
Sasa kosa langu wapi hapo!?
Mimi sijui kama wanafahamiana..Ila wameshawasiliana kama vile watu wanaofahamiana!


Malaika akauliza: "Onyesha ni wapi wameachiana messages kwenye web". Naye akasema:
 
Mwafrika wa kike..Huko bongo wananchi walikuwa wanaambiwa wapeleke taarifa zozote zitakazoweza kusaidia kwenye uchunguzi wa mafisadi!
Nini kimefanyika?
Sasa nikimpelekea Said Mwema taarifa za kina Kinyaga na Muthoni kuwa walishawahi kuwasiana na Ballali tunyemtafuta hapa USA atafanya nini?
Kwasababu si ni wao (maofisa 7) walikuja juzi kumtafuta Ballali?
Sasa wameshatuambia kuwa walimkura ameshafariki ama akiwa mzima?
Je ni presha ya kuwaona wao iliyomuua?

Ni vizuri ukimpelekea Saidi Mwema hizi taarifa za mawasiliano ya hao vijana na Balali ili ashughulikie. Ni vizuri pia ukawa na hakika kabisa kuwa huyo Daudi wa hiyo simu ni Balali kwa vile kama itakuwa si hivyo basi itakuwa ni vibaya sana kwa kuweka majina ya watu hapa ukiwahusisha na Balali kutokana na makosa ya search engines.

Naunga mkono hatua zako ila hakikisha kuwa hiyo database uliyotumia iko current na kuwa hiyo namba unayodai kuwa ni ya Balali ni ya Balali kweli.
 
NO!Kinyaga na Muthoni walishawahi kuachiana messages kwenye web!
Sasa kosa langu wapi hapo!?
Mimi sijui kama wanafahamiana..Ila wameshawasiliana kama vile watu wanaofahamiana!

Kama ni Kinyaga na Muthoni walioachiana message, Balali anaingia vipi hapa?
 
Ni vizuri ukimpelekea Saidi Mwema hizi taarifa za mawasiliano ya hao vijana na Balali ili ashughulikie. Ni vizuri pia ukawa na hakika kabisa kuwa huyo Daudi wa hiyo simu ni Balali kwa vile kama itakuwa si hivyo basi itakuwa ni vibaya sana kwa kuweka majina ya watu hapa ukiwahusisha na Balali kutokana na makosa ya search engines.

Naunga mkono hatua zako ila hakikisha kuwa hiyo database uliyotumia iko current na kuwa hiyo namba unayodai kuwa ni ya Balali ni ya Balali kweli.

Kazi ya kuhakikisha ni ya Saidi Mwema!
Mimi ni mwananchi ninayetoa taarifa tu!
Kazi ni yao kuzitumia intelligence zao kufind out what is what!
 
Kazi ya kuhakikisha ni ya Saidi Mwema!
Mimi ni mwananchi ninayetoa taarifa tu!
Kazi ni yao kuzitumia intelligence zao kufind out what is what!

Angalau sasa haufikii hitimisho kuwa hao vijana ni Balali au wanahusiana na Balali. Huu ni mwanzo mzuri kwenye kufikia kwenye bottom wa haya mambo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom