Taarifa za kifo hapa marekani ni public info!
Na si familia inayotoa habari hizo kama wanavyodai kina Kishoka!
Habari hizo hutolewa na coroner kwenda kwenye magazet and so forth!
Na hao wenye hiyo funeral home nao wasiwasi sana kwasababu hata wao walitakiwa wawe na database yao ili tuweze kusearch watu waliokufa kama vile funeral home nyingine zinavyofanya!
Habari hizi tayari zingeshakuwa public hadi sasa!
Kwanini zinazuiliwa isivyo kawaida?
Hiyo funeral home nayo tutaichunguza tu!
Dude,
Either you are very naive and would like to argue for the sake of arguing or you are completely mis-informed and you are floating like un-guided missile.
Ulileta allegations kuwa Ballali ni Kinyaga tukakuhoji mpaka ukagundulika makosa yako ni yapi.
Umetaka cheti cha Kifo ukafanya utafiti kutumia search engines ambazo haziaminiki. Umepewa ushauri wa nini unatakiwa kukifanya, unaendelea kukataa na kudai wengine wana siri au wanashupalia ufisadi.
I told you why don't you call the death registry clerk on State of Maryland to get confirmation?
Do you know how the system works in US?
Do you know how long does it take for information to actually be updated and become a public record?
If the family has not approached the state (responsible authorities) and declare their beloved one has passed away and obtain/present a medical certificate as a proof to obtain a death certificate, how do you think it is going to be a public record?
I will give you another place to search for this public record, browse through all Maryland newspaper on orbituary section and see if this has now been published!
Check your facts son! You need to focus and take time to learn stuff and not assume everything is done out of a blue.
Inaelekea hutaki kufundishika! Please leave my name out of your discussion as a reference to validate your stupidity and excusses!