Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
"Mke wa sasa Balali, ni dada wa mume wa dada wa mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima, ambalo ndilo limekuwa la kwanza kusema hizi habari.
....wakuu hiyo nayo inaniacha hoi.

kwanini? unachosema ni kuwa familia imejua kwanza, sasa isingejua? au unataka kusema kuwa kwa vile walijua kwanza wangesubiri kutoa taarifa kwa vile wana undugu?

Pili si kweli kuwa wao walikuwa wa kwanza kutoa habari hizi. Habari hizi ziliandikwa masaa zaidi ya 12 hapa na wapo waandishi wa Tanzania Daima (mimi mmojawapo) ambao ni wanachama hapa.. why can't we be the source of that Information kwa Tanzania Daima?
 
Sawa basi.
Balali naye hana rekodi kama huyo Fatmatha En-Opong Francis!
Are you happy now?

Siwezi kuwa happy for anything katika hili.
Nimekupa the other side ya kupata records za vifo US.
Sio kila kifo kinachapishwa haraka hivyo kwenye records.
 
Halafu kuna mtu alituma posting huko kwa mithupu kuwa eti Mwafrika wa Kike ni back up profile name ya MKJJ!
Is it true ama ni conspiracy theory nyingine? Maana mara zote yeye hujitetea kuwa anapika jikoni!
Maana naona mko bega kwa bega kama mapacha!

na kama ni kweli!!?
 
Halafu kuna mtu alituma posting huko kwa mithupu kuwa eti Mwafrika wa Kike ni back up profile name ya MKJJ!
Is it true ama ni conspiracy theory nyingine? Maana mara zote yeye hujitetea kuwa anapika jikoni!
Maana naona mko bega kwa bega kama mapacha!

Unaweza kuamini chochote unachoweza kuamini mkuu... ukitaka kusema kuwa mimi ni Mwanakijiji basi ni juu yako kuamini hilo na sitakuzuia kuamini hivyo.

Kuwa bega kwa bega na mwanakijiji is a very high calling..... Tumekuwa kwenye alot of things together hapa JF. Tulikuwa pamoja wakati wa Amina Chifupa na tulikuwa pamoja wakati wa jitihada za kummulika Lowasa na maneno yake ya visungura na ndege za uchumi.

Siwezi kuachana na Mwanakijiji leo kwa vile tu amepewa habari za kifo cha Balali. Katika hili mkuu amini au sema chochote utakacho ila mimi nitakuwa bega kwa bega na this bad boy mwanakijiji for a long time katika mazuri na mabaya hapa JF.
 
kwanini? unachosema ni kuwa familia imejua kwanza, sasa isingejua? au unataka kusema kuwa kwa vile walijua kwanza wangesubiri kutoa taarifa kwa vile wana undugu?

Pili si kweli kuwa wao walikuwa wa kwanza kutoa habari hizi. Habari hizi ziliandikwa masaa zaidi ya 12 hapa na wapo waandishi wa Tanzania Daima (mimi mmojawapo) ambao ni wanachama hapa.. why can't we be the source of that Information kwa Tanzania Daima?

Inaonekana watu wanasahau kuwa mengi yale wanayosoma nyumbani yanaanzia hapa JF kabla ya kuandikwa kwenye magazeti ya nyumbani.
 
Mushi,

kuna dada na rafiki yangu kutoka Liberia alikufa hapa kwenye state ninayoishi wiki tatu zilizopita anaitwa Fatmatha En-Opong Francis. Hebu tafuta hili jina kwenye state zote za midwest (ninakoishi mimi) uone kama kuna record yoyote.

Nakushauri ufuatilie tena facts za death records ili uone kama ulichosema hapo ni sahihi.

Halafu kuniambia ni search majina ya watu nisiowahi kuwasikia dont sound right!
Nani anajua kama hilo jina ni true?
Balllali ni jina tunalilijua na tuko extremely interested!
Huyo Fatunata wako no body cares!
 
Mie ningeshauri tuache ubishi juu ya kifo chake watu wazima na akili zao ikiwemo serikali imethibitisha kuwa amefariki,sasa tunahitaji nini tena?kama kafufuka si itajulikana na kama hakufa si pia itajulikana?ndugu zake wamethibitisha hilo sasa tunataka nini tena?nadhani watakaohudhuria mazishi yake watatueleza zaidi,huko US nako si kuna watanzania? tujadili mambo mengine sioni haja ya kujadili iwapo kafa au la?
 
Halafu kuniambia ni search majina ya watu nisiowahi kuwasikia dont sound right!
Nani anajua kama hilo jina ni true?
Balllali ni jina tunalilijua na tuko extremely interested!
Huyo Fatunata wako no body cares!

I do ..... yes .... very much!
 
Nimejaribu kusema subirini kesho.. watu hawataki.. we try to live the life of "the now".

a. Habari ya msiba imetolewa
b. Nyumba ambayo mwili umelezwa imetolewa na simu na anuani vipi (pigeni muulize)
c. Wapi misa itafanyika na muda vimeelezwa (hamtaki)
d. Wapi mwili utazikwa/utatetekezwa pametajwa.


As far as kifo is concerned kubisha hajafa ni kazi kwa mtanzania kwani viongozi wa kitaifa wa Tanzania huwa hawafi kwa kawaida! Mention one ambaye amekufa tukakubali kafa kwa kawaida! I dare you (usinitajie mjumbe wa nyumba kumi)
 
Unaweza kuamini chochote unachoweza kuamini mkuu... ukitaka kusema kuwa mimi ni Mwanakijiji basi ni juu yako kuamini hilo na sitakuzuia kuamini hivyo.

Kuwa bega kwa bega na mwanakijiji is a very high calling..... Tumekuwa kwenye alot of things together hapa JF. Tulikuwa pamoja wakati wa Amina Chifupa na tulikuwa pamoja wakati wa jitihada za kummulika Lowasa na maneno yake ya visungura na ndege za uchumi.

Siwezi kuachana na Mwanakijiji leo kwa vile tu amepewa habari za kifo cha Balali. Katika hili mkuu amini au sema chochote utakacho ila mimi nitakuwa bega kwa bega na this bad boy mwanakijiji for a long time katika mazuri na mabaya hapa JF.

girl you brought tears to my eyes... one of these days heaven will show its gratitude!
 
Taarifa za kifo hapa marekani ni public info!
Na si familia inayotoa habari hizo kama wanavyodai kina Kishoka!
Habari hizo hutolewa na coroner kwenda kwenye magazet and so forth!
Na hao wenye hiyo funeral home nao wasiwasi sana kwasababu hata wao walitakiwa wawe na database yao ili tuweze kusearch watu waliokufa kama vile funeral home nyingine zinavyofanya!
Habari hizi tayari zingeshakuwa public hadi sasa!
Kwanini zinazuiliwa isivyo kawaida?
Hiyo funeral home nayo tutaichunguza tu!

hapana mkuu sio lazima!!
 
So as the name Ballali to all the concerned citizens!

Natumaini nitakuona DC kesho kule kwenye funeral home ukitafuta ukweli wa hili jambo. Naomba nikukumbushe kitu kimoja mkuu, kukubali au kukataa kuwa Balali is dead sio kipimo cha patriotism.
 
mpaka leo kuna "wachovu" wanaoamini ati 2pac pia hajafa......Ballali amevuta bwana, acheni ubishi!!
 
Mkanganyiko kwenye kifo hiki unasababishwa na mtiririko wa matukio katika siku za karibuni. Alianza mkurugenzi wa habari ikulu akasema serikali haina shida na Balali, na ni mtu huru hivyo anaweza kuishi sehemu yoyote duniani atakapopenda yeye. Baadaye tukasikia au kusoma kwamba makachero wametumwa kumtafuta ili waje naye Tanzania. Kilichofuata na kifo ambacho familia ya marehemu ilikiweka public baada ya siku nne. (Hatujaambiwa sababu zilizofanya kifo kisitangazwe mapema)

Maziko yatafanyika wapi, hilo ni swala binafsi. Lakini hii ya kusema hata kutoa heshima za mwisho ni la kifamilia hakuisaidii sana serikali hasa ukizingatia kuwa ile kamati aliyounda raisi inakabidhi taarifa yake mwezi ujao. Tusubiri tuone taarifa itakuwa na lipi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom