Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
Mapaparazi wote wakibongo wa JF wameshindwa hata kuiba picha kwenye mobile zao? Mlitakiwa mwende kumkodisha Brazaman. Lakini ameshindwa vile vile kuleta picha za Chenge pale ChurchHill Hotel. Makubwa haya.
 
Kwanini waliweka security ya kukataza watu wasipige picha......au aliyezikwa si yeye....????
 
Mzee Mwanakijiji,
haya yote yasingetokea kama wasingeyafanya hayo.. sidhani kama watu wanakata tamaa haraka ama wanakatisha tamaa isipokuwa ni frustration zetu sote zinazotokana na uamuzi mbaya wa watu wachache..
Hata Kikwete anatuona hivyo hivyo ktk swala la Mafisadi!..makosa ni yake yeye sio wananchi.
 
Umekuwa na kauli tata kwa muda wote wa tukio hili... Well mie bado nasubiri siku utakapo toa utata katika hili

Kibunango,

Umesema kweli tupu, kwenye suala la Ballali mimi nitakuwa wa mwisho kumwamini Mwanakijiji.

Binafsi naamini Mwanakijiji ni mchezaji kwenye huu mchezo usioleweka wa kuturushia michanga wananchi. Kitu ambacho sijui ni je anacheza namba ngapi?
 
Usiri umeshawaogopesha watu kiasi cha kwamba hata hizo picha hazina nguvu kwasababu bado zitaendeleza mjadala wa either ni yeye ama si yeye!
Hapa ni kweli familia imejiingiza kwenye msuguano usiokuwa wa msingi kama kwelii ndugu Ballali alikuwa innocent kabla ya kifo chake kinachojulikana na watu private peke yao!
 
Kibunango,

Umesema kweli tupu, kwenye suala la Ballali mimi nitakuwa wa mwisho kumwamini Mwanakijiji.

Binafsi naamini Mwanakijiji ni mchezaji kwenye huu mchezo usioleweka wa kuturushia michanga wananchi. Kitu ambacho sijui ni je anacheza namba ngapi?

Mimi sijaomba kuaminiwa na mtu yeyote kwani imani ni kitu cha binafsi. Lakini pia situmwi na mtu yeyote kutoa taarifa yoyote au mawazo yoyote. Kama unaashiria kuwa kwa namna fulani ninapata details za ndani za mambo haya kutoka kwa familia you are very wrong. Nilipata taarifa za ndani kuhusu Amina Chifupa? Nilipata taarifa za ndani kuhusu kuanguka kwa Lowassa na kuvunjika kwa baraza la mawazo (something I told my listeners a week before), unafikiri kweli familia ambayo hawakutaka watu kujua mwili umelazwa wapi, utasaliwa wapi na saa ngapi na utazikwa wapi wamenipa hizo info?

Natamani na mimi ningekuwa wewe na si mara moja natamani mizigo mingine wabebeshwe wengine. Kuna furaha gani ya mimi kujiweka kuwa target? Nimepata mtu ambaye anazo picha zote.. je nizichukue niziweke au nikifanya hivyo nitaendeleza dhana kuwa ni sehemu ya changalamacho? Ni mtu pekee sasa hivi ambaye najua uwepo wa picha hizo na nikiamua kuziweka nitaziweka lakini kwa hofu ya hicho unachokiashiria sitagusa hilo nitawaacha wengine wafanye jambo hilo.

unaweza kuamini hili au kutoamini, kwani imani ni imani na sina cha kufanya juu ya imanni ya mtu.
 
Mzee Mwanakijiji,
Natamani na mimi ningekuwa wewe na si mara moja natamani mizigo mingine wabebeshwe wengine. Kuna furaha gani ya mimi kujiweka kuwa target? Nimepata mtu ambaye anazo picha zote.. je nizichukue niziweke au nikifanya hivyo nitaendeleza dhana kuwa ni sehemu ya changalamacho? Ni mtu pekee sasa hivi ambaye najua uwepo wa picha hizo na nikiamua kuziweka nitaziweka lakini kwa hofu ya hicho unachokiashiria sitagusa hilo nitawaacha wengine wafanye jambo hilo.
Now, you talking! mimi nakuamini na kama unazo mkuu usizitoe bila idhini ya wafiwa... Nilichokuwa nikishangaa ni kwamba haikuruhusiwa kabisa picha kupigwa. Hii ilinichanganya sana na kuanza kuzua dhana tofauti.
Maadam umesema zimepigwa basi mkuu natoka tena nje ya mada hii maanake nzito sana kwangu..kisha sina dataz kabisaaaaaa....
 
Naona Haki Hakingowi katoa baadhi ya picha za mazishi...

Nimeenda kuzicheki lakini kama picha zenyewe ndio hizo...Mhn!
Hizo picha ni za matukio ya msiba ama ni za Ballali mwenyewe?
Maana naona zile zilikuwa kama ni jitihada za mtu binafsi tu kupata picha!

NB:Hivi hapa watu wanataka kumwona Ballali ama wanataka kuona jeneza na watu waliohudhuria?
 
Hapa sasa hivi mkuu Jmushi naona utakuwa umeenda mbali ambako sitaki kabisa kushiriki...
Binafsi maadam kulifanyika msiba na watu wakawepo kwenye mazishi tosha kabisa..Sidhani kama inawezekana unavyofikiria...
Mimi hofu yangu kubwa ilikuwa maamuzi ya familia ya marehemu kama wameweza kutazama nje ya uchungu waliokuwa nao... Na kwamba wakati mwingine mnafikiria kuwa mnafanya kinga kumbe ndio kwanza mnajenga Ufa, haihusiani na marehemu kabisa.
 
Hapa sasa hivi mkuu Jmushi naona utakuwa umeenda mbali ambako sitaki kabisa kushiriki...
Binafsi maadam kulifanyika msiba na watu wakawepo kwenye mazishi sidhani kama inawezekana unavyofikiria...
Mimi hofu yangu kubwa ilikuwa maamuzi ya familia ya marehemu kama wameweza kutazama nje ya uchungu waliokuwa nao... Na kwamba wakati mwingine mnafikiria kuwa mnafanya kinga kumbe ndio kwanza mnajenga Ufa, haihusiani na marehemu kabisa.

Nimekusikia Mkuu...
 
Mushi naomba nikuulize unataka picha za iana gani?

mie sie mushi lakini ni mtanzania..picha nitakazo kuona mie ni za marehemu akiwa ndani ya hilo jeneza,wakristo (wengi) hutoa heshima za mwisho kwa marehemu kwa kupita kumuona kwa mara ya mwisho jeneza huwa limefunguliwa unless marehemu awe ameharibika vibaya mno which according to the movie waliyotupa ya mr Balali,its not the case!

hizo picha ambazo so far zimetolewa kama ndo mwataka kutuambia ndo somethin sie wa tz yaweza tufanya tuamini basi mmeula wa chunya...
kabsaa hata mama yake akipelekewa picha hizo nne ataamini ni mwanawe ndo kafa hebu kuweni serious...i know u can ol b better than this
 
Hivi mkioneshwa picha yenye mwili wa Ballali na kuona sura na kiwiliwili chake na kuwa ameonekana mfu mtaamini ni yeye manake si tatizo kuonesha mwili kwenye jeneza...

sasa picha itawathibitishia vipi kuwa amekufa? au mtataka video ya wakati anakufa?
 
Ama kweli mwanakiji ulikuwa upande wa Ballali na serikali toka akiwa mzima january akiwa mtaani tena si hospitali mpaka alipokufa nyumbani kwake akiwa huru....Na sasa wakati wa mazishi tata!
DUH!
Kuna watu mnaona mbali!
Hata sisi tunaona mbali lakini kimitizamo ni tofauti sana tu!


Mzee Mwanakijiji
user_offline.gif

JF Senior & Premium Member
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 9,411
Rep Power: 43
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Thanks: 3,818
Thanked 4,228 Times in 1,847 Posts
Credits: 325,532


icon1.gif
Re: Kikwete Akataa Balali Asiletwe!
ingawa sijapenda kichwa cha habari lakini mantiki ndani yake ni dhahiri. Je, serikali ya Rais Kikwete inataka Balali arudi nyumbani. Arudi kufanya nini?

a. Hadi hivi sasa Balali ni mtu huru hajatuhumiwa kosa lolote lile.

b. Kuvuliwa visa yake ya Marekani hakuhusiani hata kidogo na kitendo chochote cha kihalifu.

c. Serikali ya TAnzania aidha inao ushahidi wa vitendo vya kihalifu vya Balali au hauna. Kama haina basi hakuna sababu ya kumtaka Balali arudi.

d. Kama serikali inaamini Balali ameshiriki kwa namna yoyote ile na ubadhirifu (kwenye tamko lake haisemi hivyo), basi wangekwisha kufikisha kesi mahakamani, mbona ya Rada wameifikisha mahakamani wakati Vithlani hayupo?

HIvyo, hadi hivi sasa serikali ya JK haijaonesha nia ya kutaka Balali arudi kwani hawajamtuhumu kitu chochote.
__________________
Hoja Hujibiwa kwa Hoja!
Magoli yanafungwa, lakini yapo yanayokubalika na mengine yanabishiwa!
TODAY NEWS TODAY
 
sasa uongo uko wapi? ungejiuliza maswali hayo badala ya kuuliza maswali wrong usingetatizika na kinachoendelea sasa. Jmushi, tulia na jifunze kuuliza maswali ya msingi itakusaidia sana uko mbeleni. Na kuonesha kuwa unakwepa maswali muhimu huja highlite kipengele "D" labda kingekufanya ufikiri kidogo na kuona uzito wa nilichokisema... but that is not you!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom