Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Whats happenin' miss lady?
Memorial Day weekend in Columbus Ohio
That's wuz ap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whats happenin' miss lady?
Memorial Day weekend in Columbus Ohio
That's wuz ap
I hear ya...
I'll be making my rounds in the big ATL.....you know what is....
Hata ile ya thisday utafikiri Mwanakijiji ndiye source yao.
Yaani huu nao ni ufisadi wa habari. Walitakiwa waonyeshe source.
Reply With Quote
Kwa mujibu wa tovuti ya KLH News inayoratibiwa na Watanzania wanaoishi nchini Marekani, mwili wa marehemu Ballali umehifadhiwa katika Nyumba ya Maziko ya De Vol iliyoko Washington DC, kabla ya kuzikwa leo.
"Kuna mwaliko katika mazishi hayo na hivyo sina hakika kama nitakwenda maana hadi sasa sijapata mwaliko," alisema Mtanzania mmoja anayeishi Washington DC, jana alipoulizwa na KULIKONI kama atahudhuria mazishi hayo kutokana na kuwahi kufanya kazi na Ballali.
Taratibu za mazishi zinaeleza kwamba Gavana Balali aliyefariki Mei 16, 2008, Washington DC atazikwa leo baada ya ibada itakayofanyika katika Kanisa Katoliki la Mt. Stephen Shahidi mjini Washington DC. Kanisa hilo lipo 2436 Pennsylvania Ave, NW Washington, DC 20037.
"Ibada hiyo ya mazishi itaenda sambamba na kuuona mwili wa marehemu kuanzia saa nne asubuhi. Hata hivyo shughuli hiyo nzima ni kwa ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu na si kwa hadhara ya kila mtu atakaye kushiriki," inaeleza taarifa ya tovuti hiyo ya KLHN.
Imeelezwa kwamba marehemu Ballali anatarajiwa kuzikwa katika makaburi ya Wakatoliki ya Gate of Heaven eneo la Silver Spring, MD.
Miongoni mwa watu mashuhuri walioalikwa mazishi hayo ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Ombeni Sefue, watumishi wa idara mbalimbali alizowahi kuzitumikia ikiwemo Shirika la Fedha Duniani (IMF), ndugu zake ambao wamewasili siku chache zilizopita, na baadhi ya Watanzania kadhaa waishio maeneo ya Washington DC na miji jirani.
Hata hivyo, taarifa za tovuti hiyo zimegusia kitu ambacho sio cha kawaida kwa mila na desturi za Waafrika kwamba upo uwezekano wa mwili huo kuteketezwa kwa moto kwani makaburi hayo pia hutoa huduma hiyo.
"Kama ulikuwa ni wosia wake kuteketezwa, basi kwa kanuni za Kanisa Katoliki zitafanyika mara tu baada ya ibada. Kwa kanuni za Kanisa Katoliki mwili uliolazwa kwa njia ya kuteketezwa kwa moto mabaki yake (majivu) hawapewi familia, kusambazwa au kugawanywa katika mafungu madogo madogo na badala yake ni lazima yawekwe ardhini au kwenye sehemu maalumu inayotumika kwa maziko ya namna hiyo," inaeleza sehemu ya taarifa hiyo ya KLH.
SOURCE; Thisday www.thisday.co.tzBallali: The final journey begins
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE late Daudi Timothy Said Ballali, ex-governor of the Bank of Tanzania (BoT), is scheduled to be laid to rest in the US capital Washington DC today, at a private funeral where strictly only invited mourners will be allowed to attend.
According to reports from the US, the Washington DC-based Devol Funeral Home has been hired to handle the burial arrangements.
The reports say the former BoT governors body will be driven from the funeral home located at 2222 Wisconsin Avenue to the Saint Stephen Martyr Roman Catholic Church on 2436 Pennsylvania Avenue for a burial mass set to begin at 10 a.m US time.
The late Ballali (65) reportedly died exactly a week ago in the US city of Boston, Massachusetts after a long illness.
It is expected that only relatives and close family friends will attend the burial mass at the church, and later in the day proceed to the Interment Gate of Heaven Cemetery where his body will finally be laid to rest.
According to the KLH news website, invited guests to the funeral include Tanzanias Ambassador to the United States, Ombeni Sefue; former colleagues of the late Ballali at the International Monetary Fund (IMF) where he worked for many years; relatives and close family friends.
The apparent secrecy in the funeral arrangements and the fact that the body was not returned to Ballalis Tanzania motherland for burial have heightened public and media speculation over the circumstances of his reported death.
It was not immediately clear if the invited mourners will be allowed to view Ballalis body before burial, and whether or not he is to be cremated.
News of the ex-BoT governors death has dominated public discussions in local circles, as well as various blogs and internet chat rooms.
Several Tanzanians working or studying in Washington DC have said they intend to attempt to attend the funeral today, but are also doubtful whether they will be allowed in without formal invitations.
Said one Tanzanian man currently working in the US capital: I understand the funeral home involved has been issuing invitation cards to selected people at the instruction of the family. I intend to try to go to the burial, although I don�t have a formal invitation.
Following Ballalis sudden death, concern has been raised in various quarters that any inside information he had about the real beneficiaries of the 133bn/- BoT external payment arrears account (EPA) scandal might be gone forever.
Speculation has also been rife about possible foul play in connection with his reported death, including suggestions that he may have been poisoned.
Further reports have it that Ballali may have left behind a dossier on the EPA scandal, and even identified the person behind his alleged poisoning.
On the other hand, there are those who consider his reported death to be a little too convenient, raising suspicions that it could just be a big cover-up.
Without definite proof of his death and a formal inquest to establish what really killed him, there will be no end to these conspiracy theories over his death, observed one local lawyer in Dar es Salaam yesterday.
Ballalis last public appearance in the country was at a news conference he convened at the BoTs Twin Towers headquarters in Dar es Salaam in July last year, at the height of corruption allegations swirling around him.
Following confirmation of his involvement in the EPA scandal, he was sacked from the BoT governorship by President Jakaya Kikwete in January this year.
But according to sources close to Ballali�s own relatives, the former BoT boss was a mere scapegoat in the EPA scandal, and always maintained that he would one day come out in the open to clear his name by naming others.
It now appears that Ballali may have been silenced forever by the cruel hand of death, said one source.
Mkuu Mtanzania, hebu soma vizuri THISDAY na KULIKONI, utaona wametaja kwa moja kwa moja KLHNews...
SOURCE; Thisday www.thisday.co.tzBallali: The final journey begins
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE late Daudi Timothy Said Ballali, ex-governor of the Bank of Tanzania (BoT), is scheduled to be laid to rest in the US capital Washington DC today, at a private funeral where strictly only invited mourners will be allowed to attend.
According to reports from the US, the Washington DC-based Devol Funeral Home has been hired to handle the burial arrangements.
The reports say the former BoT governor's body will be driven from the funeral home located at 2222 Wisconsin Avenue to the Saint Stephen Martyr Roman Catholic Church on 2436 Pennsylvania Avenue for a burial mass set to begin at 10 a.m US time.
The late Ballali (65) reportedly died exactly a week ago in the US city of Boston, Massachusetts after a long illness.
It is expected that only relatives and close family friends will attend the burial mass at the church, and later in the day proceed to the Interment Gate of Heaven Cemetery where his body will finally be laid to rest.
According to the KLH news website, invited guests to the funeral include Tanzania's Ambassador to the United States, Ombeni Sefue; former colleagues of the late Ballali at the International Monetary Fund (IMF) where he worked for many years; relatives and close family friends.
The apparent secrecy in the funeral arrangements and the fact that the body was not returned to Ballali's Tanzania motherland for burial have heightened public and media speculation over the circumstances of his reported death.
It was not immediately clear if the invited mourners will be allowed to view Ballali's body before burial, and whether or not he is to be cremated.
News of the ex-BoT governor's death has dominated public discussions in local circles, as well as various blogs and internet chat rooms.
Several Tanzanians working or studying in Washington DC have said they intend to attempt to attend the funeral today, but are also doubtful whether they will be allowed in without formal invitations.
Said one Tanzanian man currently working in the US capital: ''I understand the funeral home involved has been issuing invitation cards to selected people at the instruction of the family. I intend to try to go to the burial, although I don�t have a formal invitation.''
Following Ballali's sudden death, concern has been raised in various quarters that any inside information he had about the real beneficiaries of the 133bn/- BoT external payment arrears account (EPA) scandal might be gone forever.
Speculation has also been rife about possible foul play in connection with his reported death, including suggestions that he may have been 'poisoned.'
Further reports have it that Ballali may have left behind a 'dossier' on the EPA scandal, and even identified the person behind his alleged poisoning.
On the other hand, there are those who consider his reported death to be ''a little too convenient'', raising suspicions that it could just be a big cover-up.
''Without definite proof of his death and a formal inquest to establish what really killed him, there will be no end to these conspiracy theories over his death,'' observed one local lawyer in Dar es Salaam yesterday.
Ballali's last public appearance in the country was at a news conference he convened at the BoT's Twin Towers headquarters in Dar es Salaam in July last year, at the height of corruption allegations swirling around him.
Following confirmation of his involvement in the EPA scandal, he was sacked from the BoT governorship by President Jakaya Kikwete in January this year.
But according to sources close to Ballali�s own relatives, the former BoT boss was a mere scapegoat in the EPA scandal, and always maintained that he would one day come out in the open to clear his name by naming others.
''It now appears that Ballali may have been silenced forever by the cruel hand of death,'' said one source.
Hakuna cha kupumzika kwa amani wala amina hapa tunataka pesa zetu, wewe usitake kutuletea mambo ya kidini hapa... hata kama amekufa ipo siku tutamfukua tuu na mwishowe pesa zetu zirudi kwani hajazikwa nazo...
yani hapo juu umeandika kana kwamba huyu mtu aliyekufa alikuwa mtakatifu kumbe... ni MHARAMIA MKUU, ipo siku tugtawachoma moto barabarani wao pamoja na familia zao kama wazulu walivyofanya kwani hiyo ndio dawa...........
Taarifa za KULIKONI kama zilivyowekwa JF na Mwanakijiji, labda Mwanakijiji atuambie kama anaandikia pia KULIKONI
Mwili wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dr. Daud Timoth Said Ballali (65) aliyefariki Ijumaa uliyopita umehifadhiwa katika Nyumba ya Maziko ya De Vol iliyoko mjini Washington DC, nchini Marekani ambako inasubiri mazishi siku ya Ijumaa.
Taratibu za ibada na mazishi ambazo KLHN imepata nafasi ya kuziona inaonesha kuwa Gavana Balali alifariki tarehe 16 hapo Washington DC na atazikwa hapo hapo siku ya Ijumaa. Misa ya kumwombea Marehemu itafanyika katika Kanisa Katoliki la Mt. Stephen Shahidi mjini Washington DC anuani yake ni ST. STEPHEN MARTYR CHURCH 2436 Pennsylvania Ave, NW Washington, DC 20037.
Ibada hiyo ya mazishi itaenda sambamba na kuuona mwili wa Marehemu kuanzia saa nne asubuhi. Hata hivyo shughuli hiyo nzima ni kwa ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu na si kwa hadhara ya kila mtu atakaye kushiriki.
Marehemu atalazwa katika makaburi ya Wakatoliki ya Gate of Heaven eneo la Silver Spring, MD. Hata hivyo haijajulikana kwa uhakika kama mwili wa marehemu utazikwa ardhini kama ilivyo desturi ya kiafrika au utateketezwa kwa moto kwani makaburi hayo yanatoa huduma hiyo pia. Kama ulikuwa ni usia wake kuteketezwa basi kwa kanuni za Kanisa Katoliki basi itafanyika mara tu baada ya ibada.
Kwa kanuni za Kanisa Katoliki mwili uliolazwa kwa njia ya kuteketezwa kwa moto mabaki yake (majivu) hawapewi familia, kusambazwa au kugawanywa katika mafungu madogomadogo na badala yake ni lazima viwekwe ardhini au kwenye sehemu maalumu inayotumika kwa maziko ya namna hiyo.
Dr. Ballali ambaye amefariki akiwa amezungukwa na wingu kubwa la kashfa dhidi yake na dhidi ya taasisi aliyoingoza inasemakana aliacha usia uliotaka atakapofariki basi azikwe Marekani. Hata hivyo pamoja na kashfa nyingi zilizoandikwa na vyombo mbalimbali vya magazeti na kutangazwa majukwaani Bw. Ballali hakuwa mtuhumiwa yeyote na hakukuwa na kesi yoyote ile ya kihalifu dhidi yake na hivyo amekufa kama raia na mtu huru.
Hata hivyo Dr. Balali ilidaiwa kuwa aliandika barua ya kutaka kujiuzulu kutokana na hali mbaya ya kiafya uamuzi ambao haukujibiwa hadi pale taarifa ya uchunguzi wa EPA ilipotoka na Rais Kikwete kutengua uteuzi wake kama Gavana wa Benki Kuu. Hata hivyo, taarifa ya Rais iliyosomwa na Katibu Mkuu kiongozi haikusema kama Gov. Ballali ni mhalifu, anatafutwa, au kwa namna yoyote ile amefanya makosa ya kisheria.
Hilo lilithibitishwa siku chache zilizopita ambapo Ikulu walitangaza kuwa walikuwa hawamtafuti Ballali na ya kuwa kokote alikokuweko alikuwa ni mtu huru.
Ni kwa sababu hiyo basi ibada ya mazishi inatarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiongozwa na Balozi wa Tanzani nchini Marekani Bw. Ombeni Sefue, watumishi wa idara mbalimbali alizowahi kuzitumikia ikiwemo IMF, ndugu zake ambao wamewasili siku chache zilizopita, na baadhi ya Watanzania kadhaa waishio maeneo ya Washington DC.
Gavana Ballali ameacha mke na familia.
Raha ya milele umpe ee bwana
Na mwanga wa milele umuangazie
Apumzike kwa amani.
Amina.
WEKA SAHIHI KITABU CHA RAMBIRAMBI
NB: Taarifa hizi si rasmi na si za familia au mwanafamilia wa Ballali na hivyo zaweza kubadilishwa wakati wowote ule bila ya maelezo. Ni matokeo ya uchunguzi wa KLHN International.
Wakuu,
Mlioenda kwenye mazishi ilikuwaje? Vipi mlipewa nafasi ya kuuga mwili wa marehemu?
Nilitegemea asubuhi nikute data na picha kibao, kumbe changa la macho bado linaendelea?