Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Invisible,
Una uhakika na kile unachozungumzia au ?
Gazeti la mtanzania Daima la leo limetoa kwa kirefu! Inasemeka Sirikali itatoa tamko leo. Amekufa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Invisible,
Una uhakika na kile unachozungumzia au ?
Hahaha,,, kazi ipo!
Ila kuna siku utaamini tu ndugu yangu. Naona hata Tanzania Daima la leo wameandika kama inavyoonekana hapa chini.
Ni gazeti pekee la Bongo (nadhani) ambalo limeweza kuziandika hizi habari na kwa taarifa nilizopata toka kwa watu wangu wa karibu ni kuwa mtaani almost limeisha.
Hahaha,,, kazi ipo!
Ila kuna siku utaamini tu ndugu yangu. Naona hata Tanzania Daima la leo wameandika kama inavyoonekana hapa chini.
Ni gazeti pekee la Bongo (nadhani) ambalo limeweza kuziandika hizi habari na kwa taarifa nilizopata toka kwa watu wangu wa karibu ni kuwa mtaani almost limeisha.
Mkuu nilishakwambia tumezoeshwa kwamba habari lazima zitoke serikali. Hawataamini hadi serikali iseme!!
Sasa wakuu hebu tuwe watu wazima, according to the dataz........Mkono ndiye mwanasheria wake mpaka hii leo, yaani oficially!
Sasa hebu waandishi mtafuteni Mkono, ili aseme kama client wake amekufa, maana ninajua kuwa majuzi alionekana mahali akibadilisha vitambulisho, ambavyo ndani yake ameweka jina jipya, tuache uvivu ndugu zetu wa media mtafuteni Mkono....!
Mkuu nilishakwambia tumezoeshwa kwamba habari lazima zitoke serikali. Hawataamini hadi serikali iseme!!
Hata TBC1 (RTD), RFA na Radio One "wameikwepa" habari hii mchana huu!
Dah si wabongo kiboko.......fisadi kafa lakini bado tunashuhudia sifa zake kemkem ooh alikuwa mchapa kazi dah hii kali sasa