The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Kiingereza cha Iringa hicho. …wi nidi praiveti patinashipu…View attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Monotonous!Msikilizaji-mleta uzi afungwe miezi sita jela na kuhudhuria tuisheni ya IPA.Kiingereza chake kibovu
Align align kibao ameshindwa kutengeneza sentence au paragraph iliyonyooka yenye align moja tu na subtitles zinazohusu align bila kurudia rudia align
Kingereza zero
Tehhh tehhhh teehhhMbona ni kile kile cha Hi school ! My morning speech is about Government , Government is group of the people by the people for the people
Daaah pole sana 🤣🤣Ki-inglishi bwana asikwambie kuwa Fluent 100%, cha kuongea, kwa sisi wengi ni ngumu hata kama ni PhDs: swangish inatuharibia: huwa najiona kama niko vema, siku moja nilikuwa mazingira fulani na watu fulani tukiongea kwa lugha hii ya malkia, loh ndani ya Lisaa limoja misamiati ikakata, taya zikaanza kuuma! Jasho jingi! Matumizi ya viungo na mwili vikaongezeka: kusikiliza zaidi kukaongezeka: aaah we Acha kabisa, pamoja na kufahamu lugha hii, ila ukitaka kuwa Fluent vema kujitengenezea mazingira ya kuongea ongea kila wakati na kusoma kwa sauti na kimya kimya, hasa Novels! Wataalam wa lugha ongezeni tufanyeje
Nimejaribu kumlinganisha na Mkapa, kuna kitu nilitaka kusema, sijui ni masikio yangu 🙉
View: https://youtu.be/XN19XsgU9Es?feature=shared
Zinaitwa "TELEPROMPTER". Ukimuona mtu ni kama anautubia au hotuba yake anaitoa kutoka kichwani kumbe mwenzenu anasomaWana vibao wanasoma kama hujui ,kuhutubia ni kipaji kama yule pastor Tonny ana kipaji... Viongozi wengi hawana hicho kipaji ila sio kesi.
Wazungu Wana vibao wanasoma hata umuone anaangalia mbele.
Jamaa wako mbali sana wenzetu.Zinaitwa "TELEPROMPTER". Ukimuona mtu ni kama anautubia au hotuba yake anaitoa kutoka kichwani kumbe mwenzenu anasoma
Amesema " We need governments" ndio maana ninamsifu Kafulila kwa content na lugha iliyonyooka,Huwezi kusema "we need government" bali sahihi ni "we need the government".
Du umenikumbusha ndalichako alipokuja ramaphosa aibu nilikuwa naona mimiSio mbaya, ni afadhali kuliko cha Ndalichako na Jenista.
Hajasema governments wewe acha unazi hewa. Sikiliza vizuri clip yako ya kwanza. Anasema "we nee government (sio governments) to align with private sector"Amesema " We need governments" ndio maana ninamsifu Kafulila kwa content na lugha iliyonyooka,
Huwezi kusema " We need the governments"🤣🤣
Phrase "the" inatumiwa kwenye majina ambayo yanajulikana,
Mfano "the government of Tanzania,"
Lakini ukiwa unamzungumzia nchi mbalimbali yaani "governments" lazima uondoe Phrase "the"
Ndio maana Kafulila akasema,
"We need governments "huwezi kusema We need the governments hii ni kosa
Hujawahi kumsifu Kafulila kwa lolote,Kiingereza chake kibovu
Align align kibao ameshindwa kutengeneza sentence au paragraph iliyonyooka yenye align moja tu na subtitles zinazohusu align bila kurudia rudia align
Kingereza zero
Kafulila kapambwa wapi hapo kwanini hamtaki tuseme mazuri ya watu wakiwa hai?Kwani kwenye hiyo hotuba si anaisoma?
Utasemaje ni fluent kwenye kuongea ili hali sote tunaona hapo anasoma
Nilichojifunza Kafulila tangu apewe hicho kitengo, amejua kujiongeza Kwa kuweka machawa hapa JF wakikesha kumuandikia threads humu na kumpamba
Kuna wengine wanafika mbali hadi kumuona a President to be
Sawa mpambeni tu, lakini mkumbuke huko CCM yeye ni kama ng'ombe aliyekatwa mkia
Bado wajumbe wanamwona wa kuja
Ndiyo maana hata alipoacha URAS na kwenda kugombea Ubunge kule kwao, wajumbe walimnyima Kura
Kwahiyo unataka mpaka usikie hiyo "s"🤣Hajasema governments wewe acha unazi hewa. Sikiliza vizuri clip yako ya kwanza. Anasema "we nee government (sio governments) to align with private sector"
Hakuna kiingereza anachojua amekariri tu.
CHADEMA Kafulila huwa anawauma sana aiseeeMonotonous!Msikilizaji-mleta uzi afungwe miezi sita jela na kuhudhuria tuisheni ya IPA.
Mimi sijasema nataka kusiki s wala x au z. Nimekuambia unaemsifia kuwa anajua kiingereza hajua amekariri tu.Kwahiyo unataka mpaka usikie hiyo "s"🤣
Mimi sijui ndio maana nimekusahihisha kuwa huwe kusemaMimi sijasema nataka kusiki s wala x au z. Nimekuambia unaemsifia kuwa anajua kiingereza hajua amekariri tu.
Ila nimegundua kuwa hata wewe hujui kiingereza ndio maana unaona yupo sahihi wakati amekosea.