Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kwamba Lucas Mwashambwa the headless chicken?😁😁Nilivyoona heading nilidhani uzi utakuwa ni wa Lucas Mwashambwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Lucas Mwashambwa the headless chicken?😁😁Nilivyoona heading nilidhani uzi utakuwa ni wa Lucas Mwashambwa
Waziri Mkuu wetu hakuwepo? Vipi ofisi ya Makamu wa Rais ya masuala ya mazingira?Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Jamaa ni asset sanaKafulila ni usajili bora uliowahi kufanywa na CCM. Ila kwenye ngeli bado ana accent ya kiingereza cha juhudi binafsi.
Nimesema warundi wengi hawajui kingerezaNani mrundi?
Wewe unajua?Nimesema warundi wengi hawajui kingereza
Huu mkutano uliku ni kiPPP zaidiWaziri Mkuu wetu hakuwepo? Vipi ofisi ya Makamu wa Rais ya masuala ya mazingira?
View attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Kama nani? Ebu tupe mfano mmojaWengi tu
Alikuwa anasoma hotuba au alikuwa anatoa kichwani?View attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
You can't be serious, seriously hicho Kiingereza kibovu kiasi hicho ndiyo mpaka umekifungulia uzi kukisifia? Unless if you're just mocking him in disguise hapo utaeleweka.View attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Ndo maana tunasema CHADEMA waungwe mkono,hakuna mtu aliyeandaliwa na upinzani akawa kilaza,magu alijua ukitaka kufanya kazi tafuta majembe kutokea huko. Kule hakuna cha kupewa ubunge kwa kuangalia cheo au wadhifa wa marehemu baba yako. Ni mwendo wa kuonyesha unaweza nini?Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Hata kama alikuwa anasoma, kwani yule mama wa ''mr.chair" alikuwa anatoa kichwani au alikuwa anasoma?Alikuwa anasoma hotuba au alikuwa anatoa kichwani?
Ukitaka kujua utofauti mwambie Mwenyekiti wa ccm bi kiboko ahutubie kwa kutoa kichwani!
NdioWewe unajua?
Yes yeye ni Muha ila anaongea kiingereza safi sana huyu BwanaSasa kuna kingereza cha kustaajabisha hapo? Hicho si kile cha form two kabisa, na lafudhi ya kiha kabisa naisikia
Mbona kasema"We need government"
"The general society in Africa achieve..."
Hilo jukumu lilifanywa na Waziri wa Nishati nenda kamsikilize piaKafulila alikuwa anaongea kwenye hadhara ya kushawishi uwekezaji Tanzania kwenye nishati (be it ukiangalia hiyo audience iliyopo) kulikuwa na watu wachache mno (tells you they, think he is nuisance to them).
Regardless issue ya msingi sio ubobezi wake wa lugha au la (japo lugha mbovu), hoja ya msingi kama mkurugenzi wa PPP ni vipi kainadi kwa weledi proposal ya serikali ya Tanzania ambayo imepeleka World Bank.
Lazima muambie ukweli (simpletons). About his speech it wasn’t much about his eloquence in English language but more on his ability to sell the energy proposal submitted by the government.
The nonsense in this forum is beyond me, 99.9% amjasoma hiyo ‘national energy compact’ business proposal Tanzania iliyonadi ili kushawishi uwekezaji. Na kupima kama speech ya Kafulila kama ipo ‘in toe’ na government goals
Lazima muambiwe ukweli, kiwango chetu cha ujinga is something else.
Anatoa kichwani sio kusomaHata kama alikuwa anasoma, kwani yule mama wa ''mr.chair" alikuwa anatoa kichwani au alikuwa anasoma?