David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

Ndo maana tunasema CHADEMA waungwe mkono,hakuna mtu aliyeandaliwa na upinzani akawa kilaza,magu alijua ukitaka kufanya kazi tafuta majembe kutokea huko. Kule hakuna cha kupewa ubunge kwa kuangalia cheo au wadhifa wa marehemu baba yako. Ni mwendo wa kuonyesha unaweza nini?
Hili nakubaliana na wewe
 
Kafulila alikuwa anaongea kwenye hadhara ya kushawishi uwekezaji Tanzania kwenye nishati (be it ukiangalia hiyo audience iliyopo) kulikuwa na watu wachache mno (tells you they, think he is nuisance to them).

Regardless issue ya msingi sio ubobezi wake wa lugha au la (japo lugha mbovu), hoja ya msingi kama mkurugenzi wa PPP ni vipi kainadi kwa weledi proposal ya serikali ya Tanzania ambayo imepeleka World Bank.

Lazima muambie ukweli (simpletons). About his speech it wasn’t much about his eloquence in English language but more on his ability to sell the energy proposal submitted by the government.

The nonsense in this forum is beyond me, 99.9% amjasoma hiyo ‘national energy compact’ business proposal Tanzania iliyonadi ili kushawishi uwekezaji. Na kupima kama speech ya Kafulila kama ipo ‘in toe’ na government goals

Lazima muambiwe ukweli, kiwango chetu cha ujinga is something else.
Mr. KnowItAll the right honourable mayor si kila mtu ana muda wa kufuatilia kwa kiwango hicho hicho unavyofuatilia. Na kama wewe mwerevu ulifuatilia ukahisi wajinga sisi hatujaisoma... why hukutumia werevu wako kuileta hiyo proposal humu jukwaani?
Kwa hiyo kipimo chako cha kiwango chetu cha ujinga ni kutokusoma proposal ya serikali kuhusu nishati? How are they related?
 
Mr. KnowItAll the right honourable mayor si kila mtu ana muda wa kufuatilia kwa kiwango hicho hicho unavyofuatilia. Na kama wewe mwerevu ulifuatilia ukahisi wajinga sisi hatujaisoma... why hukutumia werevu wako kuileta hiyo proposal humu jukwaani?
Kwa hiyo kipimo chako cha kiwango chetu cha ujinga ni kutokusoma proposal ya serikali kuhusu nishati? How are they related?
Ukweli ni kwba Upinzani kwa Kafulila tumepoteza mtu muhimu sana tu
 
Hilo jukumu lilifanywa na Waziri wa Nishati nenda kamsikilize pia
Baada ya hapo ulitakiwa kuweka link/clip ya serikali ili watu wasikilize.

Sasa ukisema nenda kasikilize alichosema waziri hiyo clip natoa wapi; social media ya wizara ya nishati hawana yake, TBC hawana hotuba yake, independent media zote main stream and online hawana hotuba. To make things easy.

Otherwise hakuna mtu wa kuangalia video za masaa saba kutafuta sehemu ambayo waziri wa nishati kaongea; ni jukumu lake kuweka maafisa habari ambao taarifa zake zinafikia umma kwa kwa uraisi.m

Ain’t nobody got time to search for nonsense.
 
Mr. KnowItAll the right honourable mayor si kila mtu ana muda wa kufuatilia kwa kiwango hicho hicho unavyofuatilia. Na kama wewe mwerevu ulifuatilia ukahisi wajinga sisi hatujaisoma... why hukutumia werevu wako kuileta hiyo proposal humu jukwaani?
Kwa hiyo kipimo chako cha kiwango chetu cha ujinga ni kutokusoma proposal ya serikali kuhusu nishati? How are they related?
Akili zako zinakutosha mwenyewe
 
View attachment 3217060
View attachment 3217061

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.

Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.

Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.

Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.

Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Kama hujui ni wewe tu
 
Baada ya hapo ulitakiwa kuweka link/clip ya serikali ili watu wasikilize.

Sasa ukisema nenda kasikilize alichosema waziri hiyo clip natoa wapi; social media ya wizara ya nishati hawana yake, TBC hawana hotuba yake, independent media zote main stream and online hawana hotuba. To make things easy.

Otherwise hakuna mtu wa kuangalia video za masaa saba kutafuta sehemu ambayo waziri wa nishati kaongea; ni jukumu lake kuweka maafisa habari ambao taarifa zake zinafikia umma kwa kwa uraisi.m

Ain’t nobody got time to search for nonsense.
Naona umekimbilia huku,

CHADEMA tangu mkose pesa ya kampeni mmekuwa mazezeta
 
Kwa wasiojua kiingereza ni sawa kaongea kiingereza ila kwa mm naona ni mwanafunzi sana huyo.
Kwenye hako ka clip ka mwanzo hapo mwisho anaposema "society achieve"ni broken English isiyopaswa kuzungumzwa na mtu aliyemaliza F4.
 
Kwa wasiojua kiingereza ni sawa kaongea kiingereza ila kwa mm naona ni mwanafunzi sana huyo.
Kwenye hako ka clip ka mwanzo hapo mwisho anaposema "society achieve"ni broken English isiyopaswa kuzungumzwa na mtu aliyemaliza F4.
Hebu sawa basi weka usahihi ni Upi?
 
Unajichanganya hoja zako hazieleweki kabisa
Shida inaanza na uwezo wako.

Hujui taratibu za ku-register deni la taifa

Namna linavyosimamiwa.

Jinsi linavyikuwa audited and so forth.

Nafasi ya Kafulila, uelewa wake (kwa elimu kuhusu hayo mambo) na authority ya nafasi yake kutolea ufafanuzi hayo mambo.

Mtu wa kumjibu Mpina na Mwigulu sio, Kafulila na chawa wake kama ndio kabisa; huna unachojua kuhusu taratibu za mikopo zaidi ya kutuandikia ujinga tu humu.
 
Shida inaanza na uwezo wako.

Hujui taratibu za ku-register deni la taifa

Namna linavyosimamiwa.

Jinsi linavyikuwa audited and so forth.

Nafasi ya Kafulila, uelewa wake (kwa elimu kuhusu hayo mambo) na authority ya nafasi yake kutolea ufafanuzi hayo mambo.

Mtu wa kumjibu Mpina na Mwigulu sio, Kafulila na chawa wake kama ndio kabisa; huna unachojua kuhusu taratibu za mikopo zaidi ya kutuandikia ujinga tu humu.
Mwigulu hawezi kujibu ujinga ujinga huu, Hata Kafulila ameamua ku-comment kwa kifupi sana,

Mpina hana hoja hapo.

Sijui una level gani ya Elimu aiseee,

Haya unayoandika si ni hayo hayo Kafulila ameyasema?

Deni liko registered tayari isipokuwa pesa kalipwa mzabuni moja kwa moja toka kwa Mkopeshaji,

Hapa wewe hujaelewa wapi?
 
Back
Top Bottom