Mwanahabari Huria
Member
- Jan 29, 2025
- 68
- 16
Hebu Lete yako tuone unavyomwanga ngeliHamna kitu, nikampa vitanza ulimi secondary.
🤣🤣🤣🤣 "Kantai Is a masai man who can tie a tie, if Kantai can tie a tie why can't you tie a tie...."
"We have to time time, before time times you"
Hamna kitu hapo ,sarufi matamshi ni shida tupu sema we kwa level yako unaona huyo "tumbili" katema YAI ngeli!!🤣🤣🤣😅🤣😅🤣
Mods não wanafurahisha eti huu não ni Uzi??🤣🤣🤣
Kasema We need governments hata Mimi nimesikiaSikiliza video wewe labda kama ni kiziwi. Amesema "we need government".
Mayor Quimby lete proposal watu wapitieMimi bado nasubiri hiyo Proposal
CHADEMA huyo amefurushwa pale Makao makuuMayor Quimby lete proposal watu wapitie
Things are cotton on fire😅😅😂When I come to English IAM fire of dreaming far don't joke me, play others not me I will show you am another creature
Ndiyo nyinyi mnaodhani mtu akiongea kiingereza kwa lafudhi safi eti ndiyo msomi sana na ni mtendaji mzuri. Tuna safari ndefu. Angeongea kiswahili pia mngesema kumbe hamna kitu kichwani. Sifieni na vya kwenuView attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
alijichelewesha kwenye siasa, but any way potential yake ndyo ilionekana hukoHuyu jamaa ni hazina kwa Taifa
Kafulila yuko vizuri ila alipashwa kupewa Wizara ili asimamie haya yote anayoyatamanialijichelewesha kwenye siasa, but any way potential yake ndyo ilionekana huko
Tatizo la Elimu yenyewe ndio hivyo tena ya watuNdiyo nyinyi mnaodhani mtu akiongea kiingereza kwa lafudhi safi eti ndiyo msomi sana na ni mtendaji mzuri. Tuna safari ndefu. Angeongea kiswahili pia mngesema kumbe hamna kitu kichwani. Sifieni na vya kwenu
I charge £10 for 100 worlds (and I am not short of customers). Walipe niandike. A good proposal is 12000-15000 do the maths; tena kwa sababu ni ya serikali may be I ought to charge £20 per 100 words.Mayor Quimby lete proposal watu wapitie
Are you charging for worlds or words?I charge £10 for 100 worlds (and I am not short of customers). Walipe niandike. A good proposal is 12000-15000 do the maths; tena kwa sababu ni ya serikali may be I ought to charge £20 per 100 words.
Words? TypoAre you charging for worlds or words?
Uaandike tena? Si kwanba unalete ulichokuwa unasema kipo?
But huo mkutano haukuwa kwaajili ya kunadi biashara ila ni kujenga mikakati ya pamojaWords? Typo
Maandishi na proposal za serikali ni nyingi latest waliyouza majuzi kwenye energy summit 👇
Wewe sasa unataka kutushangaza maana una imply Kafulila mkurugenzi wa PPP alikuwa anapiga kelele tu bila ya kupitia proposal ya uwekezaji serikali iliyokuwa inainadi kwenye huo mkutano.
Surely alikuwa anaongea after having read what the government was selling kwenye huo mkutano (vinginevyo itakuwa. serikali ya hovyo mno duniani) isiyo na coordination ya activities zao. Yaani hovyo mno kama unatuambia Kafulila hajui mpaka leo hiyo document na hata JF ipo toka jumanne.
Anyway hiyo proposal yenyewe doesn’t look convincing, poorly written to lure any serious private investors.
Tafuta source ya mkutano mkuu.But huo mkutano haukuwa kwaajili ya kunadi biashara ila ni kujenga mikakati ya pamoja
Hii mbona inajupikana waziTafuta source ya mkutano mkuu.
Sababu za mkutano mbona zipo kwenye website ya World Bank na chief speakers kwenye panel wamezuridia.Hii mbona inajupikana wazi
Kafulila ni mtu mzuriView attachment 3217060
View attachment 3217061
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.
Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.
Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.
Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.
Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Tunaweza kuzipata na sisiSababu za mkutano mbona zipo kwenye website ya World Bank na chief speakers kwenye panel wamezuridia.
kuongea kiingereza peke ako chumbani huwa ni rahisi sana, ila usifikiri kusimama kwenye podium hivyo mbele ya kadamnasi na kukiongea ni rahisi hivyoKwani wewe ukiandikiwa huwezi kusoma?