David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

Hebu Lete yako tuone unavyomwanga ngeli
 
Ndiyo nyinyi mnaodhani mtu akiongea kiingereza kwa lafudhi safi eti ndiyo msomi sana na ni mtendaji mzuri. Tuna safari ndefu. Angeongea kiswahili pia mngesema kumbe hamna kitu kichwani. Sifieni na vya kwenu
 
Ndiyo nyinyi mnaodhani mtu akiongea kiingereza kwa lafudhi safi eti ndiyo msomi sana na ni mtendaji mzuri. Tuna safari ndefu. Angeongea kiswahili pia mngesema kumbe hamna kitu kichwani. Sifieni na vya kwenu
Tatizo la Elimu yenyewe ndio hivyo tena ya watu
 
Hakuna kitu hapo!

Shida umesoma St Likud! Hiyo ngeli ni ya newcomer wa miezi minne English Medium Schools aliyetoka Kayumba.
 
I charge £10 for 100 worlds (and I am not short of customers). Walipe niandike. A good proposal is 12000-15000 do the maths; tena kwa sababu ni ya serikali may be I ought to charge £20 per 100 words.
Are you charging for worlds or words?
Uaandike tena? Si kwanba unalete ulichokuwa unasema kipo?
 
Are you charging for worlds or words?
Uaandike tena? Si kwanba unalete ulichokuwa unasema kipo?
Words? Typo

Maandishi na proposal za serikali ni nyingi latest waliyouza majuzi kwenye energy summit 👇


Wewe sasa unataka kutushangaza maana una imply Kafulila mkurugenzi wa PPP alikuwa anapiga kelele tu bila ya kupitia proposal ya uwekezaji serikali iliyokuwa inainadi kwenye huo mkutano.

Surely alikuwa anaongea after having read what the government was selling kwenye huo mkutano (vinginevyo itakuwa. serikali ya hovyo mno duniani) isiyo na coordination ya activities zao. Yaani hovyo mno kama unatuambia Kafulila hajui mpaka leo hiyo document na hata JF ipo toka jumanne.

Anyway hiyo proposal yenyewe doesn’t look convincing, poorly written to lure any serious private investors.
 
But huo mkutano haukuwa kwaajili ya kunadi biashara ila ni kujenga mikakati ya pamoja
 
Kafulila ni mtu mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…