David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

Kafulila kwa nini upo busy kutolea mfano na USA wakati wenzetu ishu ya chakula na matibabu kwa raia wao sio ishu kubwa kwa nini unatolea mifano kwa waliokuzidi hata uwezo wa kufikiri yaani unawezaje kumueleza mtu kuwa kununua kitu Nje kinapunguza hasara kuliko kutumia kitu chako mbona mnakua hamna uchungu na raia mnaowaongoza hata kwa vitu vinavyoonekana kwa macho..
 
Huyu tokea kuachwa ukijumlisha na lile neno tumbili walilomuita bungeni ni kama yupo yupo tu
 
Hizi ni sababu za zisizo na mantiki eti kwa kuwa fulani anafanya na sisi tufanye...tukienda hivyo tutahalalisha haramu nyingi kisa tu zinafanyika ulaya
Waige na ushoga & usagaji basi wasibague...tuanzie na huyo huyo kafulila!
 
The true meaning of stupid leader 👏
 
Ug na hata hapo Bk umeme haukatikagi..
Enzi izo pale IHUNGO BOYS Kuna muda tulitamsni umeme ukstike ili tusiende prepo Ila umeme wa Uganda haukatikagi ukitokea umekatika Basi nikama OFF/ ON vile
Nilikaa Bukoba mwezi mzima
Umeme ulikatika mara moja tu na ukarudi. Mvua ilikuwa inanyesha
 
K
Kwanza huo si utetezi ni ufafanuzi serikali haijashtakiwa mpk ijitetee
Singing shule Hawa mnaenda kufanya nini ikiwa hata haya mambo madogo yanawashinda, yaani kuusafirisha umeme kutoka Ethiopia mpaka Arusha I’ve rahisi kuliko kuutoa Rufiji kwenda Arusha?

Then unaletwa ufafanuzi wa kipuuzi kabisa kwamba ujenzi wa miundombinu ni gharama kutoka Rufiji na kuona bora kununua kutoka Ethiopia! Stupid kabisa!

Na wewe umetoka nyumbani kwako kwa heshima ya baba kabisaaaa, lakini kichwani ndo pako hovyo namna hii!!!!
 
Tz hauchukulii umeme ethiopia

Tz tunachukulia umeme wa ethiopia Namanga kenya . Ambapo kuna substation ilijengwa wakati ethiopia anamuuzia umeme kenya.

Hivyo kutoka Namanga to Arusha ni pafupi sana
Tafadhali, soma kwa makini ulichoandika kisha fikiria kwa makini!!!! Unafikiri uko sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…