David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

Ndg yangu mi pamoja na ufafanuzi wao wooote bado nashindwa kuwaelewa viongozi wetu bila kuwasahau wataalam pia. Kwann miaka yooote tunapata shida ya umeme na migao ya kufa mtu hawakuyafanya haya? Leo Rais akisema nimeshauriwa na wataalam wa China umeme huo ni ghali sana, ndo utabloo. Wanasiasa, wataalam na wafuasi wa mama wote utasikia wanavokupa data na analysis ya ughali wa umeme kutoka Ethiopia.
Vp ethiopia ambaye umeme wake umefika mpk TZ?
Ni mjinga?

Vp ethiopia ambaye umeme wake umefika mpk TZ?
Ni mjinga?
 
Ukiwa na viongozi kama Kafulia aliyeshindwa hata mkewe au akina Makonda na miungu yao unategemea nini?
Ukiwa na binadamu wanaofurahia na kupenda kuitwa machawa, unategemea nini?
Ukiwa na viongozi wanaojivunia kufuga chawa, unategemea nini mwanangu?
Tuna shida kubwa sana, tuseme wako sahihi, miaka yote tunapata shida ya migao ya umeme nchi nzima hawakujua kuwa kuna umeme wa kununua Ethiopia?
 
Ndg yangu mi pamoja na ufafanuzi wao wooote bado nashindwa kuwaelewa viongozi wetu bila kuwasahau wataalam pia. Kwann miaka yooote tunapata shida ya umeme na migao ya kufa mtu hawakuyafanya haya? Leo Rais akisema nimeshauriwa na wataalam wa China umeme huo ni ghali sana, ndo utabloo. Wanasiasa, wataalam na wafuasi wa mama wote utasikia wanavokupa data na analysis ya ughali wa umeme kutoka Ethiopia.
Punguza tu makasiriko kwanini unalazimisha Taifa lipate hasara kiasi hicho?
 
Punguza tu makasiriko kwanini unalazimisha Taifa lipate hasara kiasi hicho?
Nimepunguza tayar ndg wala hatugombani, maana ikishaamuliwa hata upasuke utekelezaji lazima ufanyike. Ni mawazo tu, hatuwezi kuwaza sawa. So kuwa na amani tu
 
Kafulila yupo sahihi.. ni ujinga kusafirisha umeme kutoka rufiji mpaka kagera. Maelfu ya kilometa.

Huku ukiwa kagera unaweza kununua umeme uganda ukafika kagera kwa urahisi maana pafupi sana
Duu kwa hiyo ukitoka Rufiji ni moja kwa moja hadi Kagera hata substations hakuna?
 
Tz hauchukulii umeme ethiopia

Tz tunachukulia umeme wa ethiopia Namanga kenya . Ambapo kuna substation ilijengwa wakati ethiopia anamuuzia umeme kenya.

Hivyo kutoka Namanga to Arusha ni pafupi sana
Kwamba Ethiopia ameweza kusambaza umeme ndani ya nchi yake, akavuka mpaka na kumletea mkenya, na sasa anauvusha kenya kuuleta Tanganyika. Huku Tanganyika imeshindwa kusambaza umeme ndani ya Tanganyika na imeona inunue umeme wa masafa marefu ambao wenyewe haupotei njiani maana una gps...
 
Kafulila ni amekuwa Squealer wa kisasa. Nchi kama Norway na Sweeden wanategemea sana umeme wa maji. Wakati wa baridi maji huganda na uzalishaji hupungua hivyo wananunua nje. Kipindi cha kiangazi uzalishaji huongezeka na kuzidi hivyo huuza nje, win win. Hivyo hivyo kwa Marekani na Canada etec. Ndivyo power pools hufanya kazi. Na kwetu ingekuwa hivyo kama umeme mwingi tuupeleke Kenya kupitia Namanga, kama mchache ndiyo tununue. Lakini habari za kusema kupeleka umeme kaskazini ni gharama hivyo tutanunua wa Ethiopia uliotoka mbali zaidi ni usanii na kuna harufu ya ufisadi.
 
Tz hauchukulii umeme ethiopia

Tz tunachukulia umeme wa ethiopia Namanga kenya . Ambapo kuna substation ilijengwa wakati ethiopia anamuuzia umeme kenya.

Hivyo kutoka Namanga to Arusha ni pafupi sana
Dah amakweli ujinga ni mzigo. Yaani unakiri kabisa kuwa umeme kutoka Ethiopia ndio umefika kenya kuja Tanzania halafu unasema tena hatununui umeme Ethiopia.
 
Kafulila ni amekuwa Squealer wa kisasa. Nchi kama Norway na Sweeden wanategemea sana umeme wa maji. Wakati wa baridi maji huganda na uzalishaji hupungua hivyo wananunua nje. Kipindi cha kiangazi uzalishaji huongezeka na kuzidi hivyo huuza nje, win win. Hivyo hivyo kwa Marekani na Canada etec. Ndivyo power pools hufanya kazi. Na kwetu ingekuwa hivyo kama umeme mwingi tuupeleke Kenya kupitia Namanga, kama mchache ndiyo tununue. Lakini habari za kusema kupeleka umeme kaskazini ni gharama hivyo tutanunua wa Ethiopia uliotoka mbali zaidi ni usanii na kuna harufu ya ufisadi.
Unajua haka kajamaa na zitto kabwe huwa vinajiona kuwa vipo smart sana na ndio wana upeo mkubwa wa kufikiri kuliko mtu yoyote hapa Tanzania.

Hivi vijamaa huwa vinahisi takwimu zao haziwezi kuwa challenged na wakiongea then hakuna mtu wa kuziquestion.

Nakumbuka tulikutana na zitto kabwe kule "clubhouse". Akaanza kutujia na data zake kuhusu bandari ya bagamoyo. Aisee watu walimjia na data zilizonyooka wakamuweka kati alijiona mjinga sana tokea siku ile sikumuona tena akileta ujuaji mtandaoni.

Huyu nae ni wa kukutana nae live halafu kumchallenge na data zake za kubanika hizi.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Kagulila kama hujui usijibu kiti.
Msililize Mramba alichoeleza- Poor National Power Grid stability leading to multiple failures
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Ni kweli usemayo Mheshimiwa
Kusafirisha umeme kutoka up[ande mmoja kwenda mwingine ni gharama sana.

Sasa kunasehemu bora kuuza na sehemu bora kununuwa
 
Tz hauchukulii umeme ethiopia

Tz tunachukulia umeme wa ethiopia Namanga kenya . Ambapo kuna substation ilijengwa wakati ethiopia anamuuzia umeme kenya.

Hivyo kutoka Namanga to Arusha ni pafupi sana
Kama tatizo ni power loss kutokana na umbali wa kusafirisha kutoka Rufiji kwenda maeneo mengine ya nchi hii ikiwemo Arusha, inakuwaje hakuna power loss kutoka Ethiopia hadi Kenya hadi Arusha? Kinachostabilize umeme kutoka Ethiopia Hadi Namanga Kenya inashindikana nini kuwa installed katika transmission system zetu za Tanzania ili kusambaza umeme hapa nchini bila upotevu unaodaiwa?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

HUYU ANA AKILI KWELI? Sasa sisi sababu yetu ya kununua umeme nje ni ipi?
 
Kama tatizo ni power loss kutokana na umbali wa kusafirisha kutoka Rufiji kwenda maeneo mengine ya nchi hii ikiwemo Arusha, inakuwaje hakuna power loss kutoka Ethiopia hadi Kenya hadi Arusha? Kinachostabilize umeme kutoka Ethiopia Hadi Namanga Kenya inashindikana nini kuwa installed katika transmission system zetu za Tanzania ili kusambaza umeme hapa nchini bila upotevu unaodaiwa?
Machawa huwa yanatetea hata wasichokijua. Achana nao tu
 
Back
Top Bottom