David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

David Kafulila: Ajabu ni ipi Tanzania yenye ziada ya umeme kununua umeme?

Mqinjinia waongezewe kozi ya siasa uchwara. Mara ya mwisho kufuatilia kwa kuumiza kichwa masuala ya umeme nchini ilikiwa enzi za Mchungaji Engineer Mramba na Gesi. Tulupigwa sarakasi za kitaalam san
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

A
 
Ajabu ya kujengwa Nyerere dam na kwenda kununua umeme nje ya nchi, taahira pekee ndio ataona si ajabu .viongozi mataahira wanaongoza nchi kwa Sasa 📢📢📢📢📢📢📢💀💀📢🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️
 
Ajabu ya kujengwa Nyerere dam na kwenda kununua umeme nje ya nchi, taahira pekee ndio ataona si ajabu .viongozi mataahira wanaongoza nchi kwa Sasa 📢📢📢📢📢📢📢💀💀📢🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️
Unaishi Mkoa Gani na unaelimu gani?
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

Walinzi lazima kwenye chama
 
Utetezi wa hovyo kabisa, mbona sukari, mbolea na bidhaa nyingine zinazopatikana kwa urahisi impala I zinapigwa marufuku, lakini umeme Jatakas tuone ni Sawa?
Lakini zaidi sana, kwani kutoka Rufiji mpaka Arusha ni mbali zaidi kuliko kutoka Ethiopia?au kutoka Ethiopia unakuja bila kujengwa miundombinu?
Umeambiwa umeme unapotea njiani na ni hasara kwa shirika, ukichukuliwa pale Namanga kuna ukaribu na unakwenda kuhudumia sehemu kubwa ya mikoa ya kaskazini.

Sio kila kitu kukipinga tu, tunaishia kuonekana tuna agenda chafu zenye nia mbaya kwa kinachotegemewa kufanyika.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.

Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.

D.K. anamaanisha nini anaposema "ziada ya umeme"?
Naomba kujuzwa, kwani inawezekana ukazalisha umeme zaidi ya mahitaji yako? Umeme unaozidi unauweka wapi au unautunza vipi?
 
Back
Top Bottom