Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumia hoja ya kwamba power transmission system ya TANZANIA inasafirisha umeme ukiwa katika msongo mkubwa wa umeme wa mawimbi HVAC (High voltage alternating current ) tofauti na mfumo wa Ethiopia na Kenya wa HVDC (High voltage direct current ) yaani msongo mkubwa ukiwa katika umeme mnyoofu.ni kweli kwamba mfumo wa HVAC huwa kuna losess lakini si kwa scale ya exaggeration hiyo ya hawa wapuuzi wanasiasa wa Bongo na vilaza wao humo TANESCO na wizarani ,hawa ni majambazi wanaovizia deals za kufanya ufisadi hapo ,hamna kingineKama tatizo ni power loss kutokana na umbali wa kusafirisha kutoka Rufiji kwenda maeneo mengine ya nchi hii ikiwemo Arusha, inakuwaje hakuna power loss kutoka Ethiopia hadi Kenya hadi Arusha? Kinachostabilize umeme kutoka Ethiopia Hadi Namanga Kenya inashindikana nini kuwa installed katika transmission system zetu za Tanzania ili kusambaza umeme hapa nchini bila upotevu unaodaiwa?
Na suala la nishati ni issue ya national security ,hakutakiwi kuwa na compromises za kisiasa za kijinga tu kwamba gharama, wtf is gharama ?Angalia suala na kuuziana umeme kati ya USA na Canada. Tutauziana umeme na Rwanda siku nyingine mnajikuta mnazipiga huko DRC, Tanzania upande wa DRC na Rwanda upande wa M23. Mnaanza kukatiana umeme
Why would our Country allow another Country to supply us with electricity, even for a small area? Who made these decisions, and why? And can you imagine Canada stooping so low as to use ELECTRICITY, that so affects the life of innocent people, as a bargaining chip and threat?" Trump vented on his Truth Social app.
Canada inauza umeme kwa kaya karibu milioni 1.5 huko USA katika miji ya Minnesota, Michigan na New York.
This is a case of the chickens coming home to roost.Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.
Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.
Mama atakuwa anampenda sana chawa wakeSawa mtoto mpendwa wa mama Samia
Mkuu unajua sanaThis is a case of the chickens coming home to roost.
1. Serikali imevundika ujinga kwa miaka mingi Tanzania kiasi watu hawawezi kufanya logical/critical thinking. Ujinga mwingi miongoni mwa raia. Hoja nyepesi tu kuichakata kazi.
2. Serikali yenyewe haiaminiki. Raia hawaiamini kwa sababu imefanya madudu mengi. Wananchi wanakwenda kwa methali ya "Ukishaumwa na nyoka, ukiona unyasi tu unastuka".
3. Kwa sababu ya 3 hapo juu, kila kitu kinatafsiriwa kwa muktadha wa siasa, tena siasa negative. By default. Before investigation.
4. Serikali yenyewe ina usiri mwingi, haitoi taarifa hata za kuisaidia yenyewe kutetea hoja zake. Inaficha kila kitu hata habari za kawaida. Inatoa fafanuzi ambazo zinahitaji fafanuzi zaidi. Hata pale kunapokuwa na hoja za msingi zinazoongelewa, zinaongelewa in a "by the way" style bila kuwa na comprehensive, consistent, documented way. RC Chalamila pamoja na uropokaji wake wote, to his credit, alishawahi ku set expectations kuwa hata baada ya bwawa la Mwalimu Nyerere kukamilika, bado kutakuwa na changamoto nyingi za kusambaza umeme nchini. Kama kauli ile ya Chalamila ingefanyiwa kazi, ingeelezwa vizuri, kwa documentation, na consistency, serikali isingekuwa na tatizo hili la expectations kwa wananchi linaloonekana sasa.
5. Haya mambo si mepesi hata kwa watu wanaojipanga na kuwa makini. Kwa hawa viongozi wetu wasiojipanga wala kuwa na umakini hili ni janga zaidi.
Tuchukulie Tumbili ana Mahindi gunia kumi toka ruvuma pale Tandale na bado haja ya uza , halafu anasikia kuna Mahindi mengine bei nafuu huko Tanga hivyo anaenda kuyanunua magunia 10 na kuwaweka pamoja na ya Yale ya ruvuma jumla ana gunia 20. Lakini mteja wake ana hitaji magunia 10. Utamshauri vipi TumbiliMkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila hivi ndivyo alivyoandika baada ya baadhi ya Watanzania kushangaa kauli ya Rais Samia Suluhu kuhusu Tanzània kununua Umeme nje ya nchi, Ethiopia.
Mkurugenzi Kafulila anasema pamoja na kwamba nchi kubwa na tajiri duniani kama Marekani ( USA ), Ujerumani, Norway, Sweden au Australia wanaumeme mwingi kiasi Cha kuuza nje ya nchi zao bado na wao kwa Upande mwingine wa nchi zao wananunua umeme kutoka nje ya nchi zao.
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Kafulila anasema kuwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu hasa maeneo ya mipakani gharama ya kuzalisha, kusafirisha na kufikisha umeme maeneo hayo ni kubwa pengine kuliko gharama ya kuuvuta na kuununua umeme toka nchi za jirani.
Zazibar imo Tanesco,Hapana sio kila pembezoni.. njia ya zambia mbeya.. Tanzania inakamilishwa. Hivyo Tanzania atamuuzia Zambia
Pia zanzibar na yeye anauziwa na Tanesco.
Njaa tu kiongoziHili zwazwa linasema wanazalisha umeme wa ziada. Je sisi tunazalisha hata wa msingi? Hili likafulia sijui kama ni zima upstair au lina kaugonjwa ka licesiasis aka uchawa.
Nani mwenye njaa kati yako na Kafulila?Njaa tu kiongozi
Jibuni hoja haya maujinga hayasaidiiTuchukulie Tumbili ana Mahindi gunia kumi toka ruvuma pale Tandale na bado haja ya uza , halafu anasikia kuna Mahindi mengine bei nafuu huko Tanga hivyo anaenda kuyanunua magunia 10 na kuwaweka pamoja na ya Yale ya ruvuma jumla ana gunia 20. Lakini mteja wake ana hitaji magunia 10. Utamshauri vipi Tumbili
Jibuni hoja haya maujinga hayaTuchukulie Tumbili ana Mahindi gunia kumi toka ruvuma pale Tandale na bado haja ya uza , halafu anasikia kuna Mahindi mengine bei nafuu huko Tanga hivyo anaenda kuyanunua magunia 10 na kuwaweka pamoja na ya Yale ya ruvuma jumla ana gunia 20. Lakini mteja wake ana hitaji magunia 10. Utamshauri vipi Tumbili
Kwani wewe ni TumbiliJibuni hoja haya maujinga hayasaidii