Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Watanzania wana imani kubwa sana na CCM na ndio maana wana wachagua wabunge wengi wa CCM kwenda Bungeni.maana wanajuwa hao ndio wenye kutetea maslahi yao ,tofauti na wapinzani hususani CHADEMA ambao wao huwa ni pinga pinga kwa kila kitu.Hivyo vikao vya CCM kwenye ukumbi wa bunge vimepoteza mvuto hadi mnatumia PR !
Hivi kwa hali ilivyokuwa 2006 -2020 nani asingekuwa makini kufuatilia humu ??
Yani habari za bunge tunazikuta kwa chawa wa CCM !