David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

First things first mimi si fan wa Mpina wala Kafulila. Naangalia mantiki tu.

Suala la namba hujibiwa kwa namba.

Hata kama jibu la Kafulila lina ukweli, jibu limepwaya kwa sababu Mpina kaweka namba, ilitakiwa Kafulila naye aweke namba wakopeshaji wangapi wamepeleka fedha kiasi gani moja kwa noja kwenye miradi.

Kwa sababu, bila namba, jibu la Kafulila linaweza kuwa kweli, lakini tuhuma za Mpina bado zikawa na maana kama kuna gap kati ya fedha za wakopeshaji wanaopeleka fedha zao moja kwa moja kwenye miradi na figure ya Mpina.

Nimeeleweka?

Kwa nini Kafulila hajaweka namba? Ni mzembe? Kafulila si mzembe hivyo.

Hazipo? Namba muhimu kama hizi haziwezi kukosekana serikalini.

Anaficha kitu?

Kitu gani?
Kafulira hawezi fanya huo upuuzi Kwa sababu Mpina anahitani jibu la Jumla tuu la Elimu kwake na Kwa Umma.
 
Kafulira hawezi fanya huo upuuzi Kwa sababu Mpina anahitani jibu la Jumla tuu la Elimu kwake na Kwa Umma.
This logical fallacy is called ad hominem.

Hapa kuna hoja kubwa zaidi ya Mpina, lakini wewe hujaweza kuiona hoja umeishia kumuangalia Mpina.

Hapa kuna hoja ya uwajibikaji, uwazi, kuna uhasibu unatakiwa kunyooshwa.

Haya mazungumzo inawezekana kayaanzisha Mpina, lakini, ni mazungumzo ya kitaifa watu wote wanayaangalia.

Kwa hivyo, inabidi muangalie kujibu hoja na si kumjibu mtu.

Hoja ya namba hujibiwa kwa namba.

Jibu la Kafulila bado limepwaya kwa sababu halina namba.
 
Kafulila kageuka msemaji wa Serikali kuhusu madeni.
 
This logical fallacy is called ad hominem.

Hapa kuna hoja kubwa zaidi ya Mpina, lakini wewe hujaweza kuiona hoja umeishia kumuangalia Mpina.

Hapa kuna hoja ya uwajibikaji, uwazi, kuna uhasibu unatakiwa kunyooshwa.

Haya mazungumzo inawezekana kayaanzisha Mpina, lakini, ni mazungumzo ya kitaifa watu wote wanayaangalia.

Kwa hivyo, inabidi muangalie kujibu hoja na si kumjibu mtu.

Hoja ya namba hujibiwa kwa namba.

Jibu la Kafulila bado limepwaya kwa sababu halina namba.
Mnachezeshwa Michezo ya ujinga wa siasa na wewe unadandia tuu.

Hivi Mpina amewambia kwamba Mkoani kwake Kuna mradi mkubwa wa Maji Kwa Fedha za Mkopo? 👇👇
Screenshot_20250130-173909.jpg



View: https://www.instagram.com/reel/DEwqeTlIiBu/?igsh=MTZibHVqcWlucXl2cA==
 
Kwa nini lisijibu? Mumeambiwa hela zinaenda kwenye miradi directly wewe unataka kujibiwa.

Mfano hata mradi wa Miji 28,India inatoa directly kwenye miradi maana wakandarasi ni WA kwake.
Hela zilizoenda directly kwenye miradi ni ngapi? Katoa nani? Zimeenda kwenye miradi gani?

Wekeni hesabu za hela hizo tulinganishe na hesabu za Mpina halafu tuone kama kuna gap.

Kwa sababu, inawezekana kuna hela zinaenda directly kwenye miradi lakini hazijafikia hizo alizosema Mpina. Hapo hoja ya Mpina bado itakuwa imesimama.

Usichoelewa nini?
 
Hela zilizoenda directly kwenye miradi ni ngapi? Katoa nani? Zimeenda kwenye miradi gani?

Wekeni hesabu za hela hizo tulinganishe na hesabu za Mpina halafu tuone kama kuna gap.

Kwa sababu, inawezekana kuna hela zinaenda directly kwenye miradi lakini hazijafikia hizo alizosema Mpina. Hapo hoja ya Mpina bado itakuwa imesimama.

Usichoelewa nini?
Nani aanze kukifanyia hesabu hizo? Tunakupa miradi tuu eg 👇 👇

View: https://www.instagram.com/reel/DEstT-3oI2e/?igsh=ZjRpYWY2c2wzeHVk
 
Hizi taarifa zilitakiwa ziwekwe wazi kwenye website za hazina. Ujenzi. Trc ili kuondoa sintofahamu.
 
Weka hesabu, acha longolongo.
Waziri mhusika atakupa majibu wakati wa Bunge la Bajeti au mtag yupo humu akupe majibu ya mradi mmja baad ya mwingine Kwa thamani.

Mimi nakupa Baadhi ya miradi ambayo inafadhikiwa Kwa program za directly eg RISE ya World Bank kama unavyoona kazi inaendelea 👇 👇

View: https://x.com/TaruraTz/status/1884970360832999726?t=Z1L3QSbYF-Wkzzpaj-vwmA&s=19

View: https://x.com/TaruraTz/status/1884501913946726665?t=Wp64xE7bLKyn3B8_Lrs6vg&s=19
 
Waziri mhusika atakupa majibu wakati wa Bunge la Bajeti au mtag yupo humu akupe majibu ya mradi mmja baad ya mwingine Kwa thamani.

Mimi nakupa Baadhi ya miradi ambayo inafadhikiwa Kwa program za directly eg RISE ya World Bank kama unavyoona kazi inaendelea 👇 👇

View: https://x.com/TaruraTz/status/1884970360832999726?t=Z1L3QSbYF-Wkzzpaj-vwmA&s=19

View: https://x.com/TaruraTz/status/1884501913946726665?t=Wp64xE7bLKyn3B8_Lrs6vg&s=19


Kwa hiyo unatetea kitu ambacho hukijui unakwenda kama ng'ombe tu kwa kuamini waziri muhusika katika jambo ambalo hata hajalitolea ufafanuzi wa data?

This logical fallacy is called argument from authority.
 
What’s mutual condition? (.uwezi kujiandikia terminologies).

Either way in practice mkandarasi analipwa on certificate ambayo anapeleka serikalini, sasa serikali nae akipeleka hiyo certificate kwa mtu wa nje alipe sijui huyo CAG ana tracę vipi bank conciliation za serikali.

That’s just auditing, achana na public debt assessment.

Ujinga mtupu alichoandika Kafulila.

Sio kila mtu poyoyo humu, wa kujiandikia ujinga.
Kafulila amekuwa muumini mzuri sana wa kutetea tetea madeni mpaka tunapata mashaka naye kwamba huenda ni mnufaika wa hayo mambo !
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Hili jibu la kutudhalilisha kama Taifa. Yaani mtu anatukopesha kama nchi alafu aseme kuwa haniamini namna ninavyosimamia pesa, kweli??? Black people 🤣🤣🤣🤣 Yaani nchi za Africa unaweza kuomba viongozi wooote wajiuzulu
huyu kafulila amesahau yaliyomkuta bashe kuhusu sukari..mwenzie bashe alibishaga hivi hivi ila baada ya mpina kumwaga ushahidi tena kwa facts..sasa huyu nae anajitia kimbelembele wanataka kuvuliwa nguo sio..huyu mpina mpaka anasema hayo yaTrillion 7 ya mikopo haijaingia hazina imeliwa na wajanja labda mpina tayari ana ushahidi wake ilikopelekwa hiyo trillion 7 au labda iliingizwa akaunti binafsi ya mtu atakuwa anazo data zote za hiyo trilion 7..mpina haongei vitu nyeti kama hivyo bila kuwa na ushahidi au vielelezo pembeni ni suala la wahusika kujichanganya tu kutibua zigo la nyuki tufunuliwe yaliyo sirini..
 
huyu kafulila amesahau yaliyomkuta bashe kuhusu sukari..mwenzie bashe alibishaga hivi hivi ila baada ya mpina kumwaga ushahidi tena kwa facts..sasa huyu nae anajitia kimbelembele wanataka kuvuliwa nguo sio..huyu mpina mpaka anasema hayo yaTrillion 7 ya mikopo haijaingia hazina imeliwa na wajanja labda mpina tayari ana ushahidi wake ilikopelekwa hiyo trillion 7 au labda iliingizwa akaunti binafsi ya mtu atakuwa anazo data zote za hiyo trilion 7..mpina haongei vitu nyeti kama hivyo bila kuwa na ushahidi au vielelezo pembeni ni suala la wahusika kujichanganya tu kutibua zigo la nyuki tufunuliwe yaliyo sirini..
Mpaka muda huu kafulila alitakiwa awe amejiuzulu au kuachishwa kazi, waziri apigwe chini, waziri mkuu na rais wote wajiuzulu kwa kudhalilisha nchi
 
Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
Mwenye akili anaweka data na takwimu kamili asiye na akili anajibu kisiasa kama alivyojibu
 
Back
Top Bottom