David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

David Kafulila amvaa Luhaga Mpina deni la Taifa

Huwezi kuichukia rushwa ukiwa ndani ya mfumo wa serikali ya ccm. Hujitambui wewe. Viongozi na watendaji wote wa taasisi za umma ni wala rushwa. Ndiyo maana hata watumishi wa chini wote kwenye taasisi za umma wanapokea rushwa kwa kwenda mbele. Kafulila yeye ni nani? Au ni Malaika? Nchi zote duniani zilizofanikiwa kutokomeza au kwa kuipunguza rushwa to an acceptable level walitunga sheria kali ikiwemo na kifo kabisa. Rushwa haikemewi kwa matamko kama ya kina Samia na chawa wake, it's the process of judiciary reform and other government instruments.
Kuna chama Cha rushwa kama CHADEMA?
 
Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona ee?!!!!
Tatizo la kuibua mambo kwa lengo la kupata sifa ni kwamba Kuna Kuna umakini flani unakutoka wakati wa kusema, ukishamaliza ndo unajua kuwa Kuna sehemu kumbe ulichemka.
 
Hoja ya msingi ni deni la Taifa kuwa kubwa sana hali inayo sababisha 1/3 ya makusanyo ya kodi kwenda kulipa madeni ya mikopo na riba zake. Mkopo ni mkopo, haijalishi umeingia kwenye mfuko mkubwa wa serikali ama umeenda kwenye mradi moja kwa moja; kimsingi mikopo yote huwa inasajiliwa.
 
Wewe ndio taahira wa kiwango Cha lami,

Kutwa kupinga kila kitu chema Cha Serikali,

Sasa mbona ulichokisema ndicho alichosema Kafulila?

Mpina anapotosha Umma kwa masilahi yake mwenyewe,

Sio pesa zote za Mkopo zinazoingizwa kwenye akaunti ya hazina ili liko wazi,

Hata WB na IMF mara nyingi wanalipa Mkandarasi directly,

Maana yake hizo pesa hazitapita hazina na ndicho anachokisema Mpina,

Ila Watanzania wajue hakuna Senti moja ya Mkopo imeliwa na mtu binafsi kwa matumizi binafsi
Wewe ni kama nani hapo hazina?

Wewe ni CAG mpaka useme hakuna pesa zinazoibiwa?

Kuhusu mkataba wa DP world umeshapelekwa bingeni au zuga zenu maccm kuwafanya eananchi mazuzu?

Ni lini ccm kumekuwepo watu wenye brain usiochakachuliwa?
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Pesa za kuendeshea Singuda black stars zinatoka hazina
 
Wewe ndio taahira wa kiwango Cha lami,

Kutwa kupinga kila kitu chema Cha Serikali,

Sasa mbona ulichokisema ndicho alichosema Kafulila?

Mpina anapotosha Umma kwa masilahi yake mwenyewe,

Sio pesa zote za Mkopo zinazoingizwa kwenye akaunti ya hazina ili liko wazi,

Hata WB na IMF mara nyingi wanalipa Mkandarasi directly,

Maana yake hizo pesa hazitapita hazina na ndicho anachokisema Mpina,

Ila Watanzania wajue hakuna Senti moja ya Mkopo imeliwa na mtu binafsi kwa matumizi binafsi
Wewe kichwa nazi kweli? Naomba utuoneshe hiyo miradi ya trillion 7 ambayo serkali imejenga au kufanya!
Chawa kama nyinyi ndo mnarudisha nyuma sana maendeleo!
 
Kitu kimoja napenda toka kwa Kafulila anaweza akakukibu mpaka ukajiona huna akili kabisa,
We kweli huna akili, ilitakiwa huyo tumbili wako atoe ushahidi wa hayo anayoyasema ili tujiridhishe kama ni kweli...hapo kaongea kiujumla ni rahisi kusema uongo!.
Atoe lists ya miradi kadhaa na kiasi cha pesa kimetolewa.
Kwa mtu mwenye akili, haya majibu ya tumbili yanazidi kukazia madai ya mpina ni ya kweli kabisa!!.
 
Aisee, issue sio kutetea kila kitu.

Kukopa ni jambo jema tu kama hela inakwenda kwenye matumizi sahihi na mianya wizi na ujinga ujinga havipo.

Unawezaje kutetea kukopa huku ndani ya nchi Kila siku ni kubomoa na kujenga kwasababu ya kukosa plan, unaweza kutetea mikopo kama miradi mingi serious tunashindwa kuiendesha mfano SGR, ATCL, TTCL nk

Unaweza kutetea kukopa wakati matumizi ya serikali yapo juu, watu wanakwiba na kuchezea hela za umma, watu wanatumia hovyo hovyo tu vitu na mambo ya ajabu.

Naamini tunaweza kutetea mikopo kama Kila kitu ndani kinakwenda sawa, na hiyo mikopo kweli tutakuwa tunaihitaji.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Majibu yasiyokuwa na akili kabisa Ndio haya! Anaona Kila Mtanzania ni mjinga mjinga. Kwahiyo anathibitisha kwamba ni kweli serikali ya chama chake Ina matumizi mabaya ya fedha za mikopo na zile za wahisani! Kiasi kwamba hawaaminiki tena na jamaa wanaenda field Moja kwa Moja? What a waste
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali
Huyu chawa ana jipya gani zaidi ya kutetea tumbo lake kwa waliomteua?
 
Nimewaambia mara nyingi kwamba Mpina ni mzushi na ndio sababu hakuna mission yake yeyote iliyowahi faulu Toka aanze uzushi.

Alifanimiwa kumtikisa Bashe kidogo ila Kwa Nchemba ameshindwa vibaya.

Kwa namna yeyote Ile haiwezekani Waziri akakoa hela yote hiyo bila maelezo.
Mmh
Chini ya huyu mazeri wako lolote linawezekana...hata ye mwenyewe haelewi!.
 
View attachment 3218277
===
Kafulila akijibu tuhuma ya Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Mpina kwamba Waziri wa Fedha ametumia zaidi ya Trilioni Saba (TZS7T) bila fedha hizo kupita katika mfuko mkuu wa Serikali hazina,

Haya ndio majibu ya Kafulila kwa Luhaga.

" Cde Mpina lazima uelewe Kuna baadhi ya wakopeshaji wanapeleka pesa zao moja kwa moja kwenye miradi husika bila kupitisha pesa zao hazina. Hivyo hazina wanapewa taarifa tu kwa sababu wao wanamlipa mkandarasi wenyewe wakiamini hiyo huenda ikaepusha pesa yao kutumiwa kwa matumizi yasiyo kusudiwa au nje ya malengo ya mkopo"


Pia soma Luhaga Mpina: Waziri wa Fedha amekopa na kutumia Zaidi ya Tsh. Trilioni 7 Bila kuingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali

First things first mimi si fan wa Mpina wala Kafulila. Naangalia mantiki tu.

Suala la namba hujibiwa kwa namba.

Hata kama jibu la Kafulila lina ukweli, jibu limepwaya kwa sababu Mpina kaweka namba, ilitakiwa Kafulila naye aweke namba wakopeshaji wangapi wamepeleka fedha kiasi gani moja kwa noja kwenye miradi.

Kwa sababu, bila namba, jibu la Kafulila linaweza kuwa kweli, lakini tuhuma za Mpina bado zikawa na maana kama kuna gap kati ya fedha za wakopeshaji wanaopeleka fedha zao moja kwa moja kwenye miradi na figure ya Mpina.

Nimeeleweka?

Kwa nini Kafulila hajaweka namba? Ni mzembe? Kafulila si mzembe hivyo.

Hazipo? Namba muhimu kama hizi haziwezi kukosekana serikalini.

Anaficha kitu?

Kitu gani?
 
Back
Top Bottom